Mwenyekiti wa Baraza la Wazee la CHADEMA aliyekamatwa Zanzibar, Hashimu Issa Juma apelekwa Kisutu

Mwenyekiti wa Baraza la Wazee la CHADEMA aliyekamatwa Zanzibar, Hashimu Issa Juma apelekwa Kisutu

Hakuna cha system, nchi zaidi ya 35 za kiafrika kati ya 54 zimewahi kupinduliwa na jeshi sasa kwenye hizo nchi hamna hiyo system unayoiongelea.

Huyo Abdallah Hanga aliuwawa kwa amri ya Karume na hilo linafahamika vema. Hakuna kitu kinachoitwa system la sivyo mabadiliko ya utawala yasingekuwa yakifanyika.

Huu utawala wa ccm ni swala la muda tu hauatukuwepo, pale shinikizo ya kuwataka wafanye sweeping political reforms itakapoongezeka kwa siku zijazo kwani serikali haiwezi ku-survive bila kupata uungwaji mkono kutoka kwa mataifa tajiri.
MBONA LISSU,ROMA HAWATAK KURUD IKIWA ADUI YAO HAYUPO......WANAOGOPA NN......
 
Mwinyi Jr anaogopa kunyang'anywa tonge kwenye uchaguzi ujao..
 
View attachment 1961683

Hii ndio Taarifa mpya kutoka Chadema kwa sasa, ambapo watu wasiofahamika wakiwa na bunduki wamemchukua Mzee Hashimu Issa nyumbani kwake Unguja na kuondoka naye, tena bila kusema wanampeleka wapi.

Taarifa zaidi zitaendelea kuwajia kwa kadri zitakavyotufikia.
Nimesoma mahali eti anapelekwa Dar kwa boti toka Zanzibar!
 
Unaweza kuta hawa CHADEMA huyu mzee kajiteka mwenywe ila wapate huruma ya wananchi.
Mbinu kama za mwenyekiti wao alijipiga gwara mwenyewe na Konyagi akasingizia kapigwa na vibaka wa CCM
Huu ujinga baki nao huko ghetto kwa le mutuz mnaposhinda mkivuta Bangi na kudhani watanzania ni wajinga kama nyinyi
 
HUIJUI HISTORIA YA HII NCHI

wana hoja,system iliwahi kumuondoa makamu wa raisi...

Alipotea makamu wa RAIS Abdallah Hanga huko Zanzibar Hadi leo hajapatikana

Muulize lissu,Roma mbona adui yao JPM hayupo, lkn wanaogopa kurudi...wanaogopa nn....hadi roma katelekeza familia...au JPM yupo
Walikuwepo akina Bokasa chiluba Abacha mabutu Idd Amin dada Albashiri Sadam Hussein Gadafi na wenzao wapo wapi sasa? Hakuna mabaya yasiyo na mwisho
 
Unaweza kuta hawa CHADEMA huyu mzee kajiteka mwenywe ila wapate huruma ya wananchi.
Mbinu kama za mwenyekiti wao alijipiga gwara mwenyewe na Konyagi akasingizia kapigwa na vibaka wa CCM
Duu nimechekaa ila Vanni kichwa kikubwa akili kijiko cha chai.
 
MBONA LISSU,ROMA HAWATAK KURUD IKIWA ADUI YAO HAYUPO......WANAOGOPA NN......
Remember, Samia Hassan inherited the same brutal instruments 🔫 🔫 that the late dictator John Pombe Joseph Magufuli used to torment his critics and she is using them effectively against her detractors.
 
Hata Lissu akiwa rais watu watatekwa kama kawa, KUNA SYSTEM nyuma ya rais,Ndio maana tunaoijua hii nchi, tunajua Mbowe sio Gaidi ila SYSTEM imefanyabyake, angekuwepo JPM angetupiwa kila lawama...

SAMIA awali hakuijua Vzr SYSTEM..... akataka aendeshe nchi yeye kama yeye, ndipo SYSTEM ikamuambia kina mbowe watamzid kete...

Now Mbowe yupo korokoroni.....
Hamna cha System wala nini bali ni kikundi cha wachumia tumbo ambao wapo tayari kufanya lolote ili wakidhi njaa zao tu.
 
Hamna cha System wala nini bali ni kikundi cha wachumia tumbo ambao wapo tayari kufanya lolote ili wakidhi njaa zao tu.
WEE JAMAA UNA FIKIRIA ....HAWA NI WAGANGA NJAA ...ETI SYSTEM?...system ya kutengeneza project za kula pesa ya serikali/wananchi na vi sinema za kupambana na chadema jogging na mbowe
 
Back
Top Bottom