Mwenyekiti wa BAVICHA Mkoa wa Kilimanjaro akamatwa na Polisi akidaiwa kupiga picha gari la Mkurugenzi wa TISS

Mwenyekiti wa BAVICHA Mkoa wa Kilimanjaro akamatwa na Polisi akidaiwa kupiga picha gari la Mkurugenzi wa TISS

View attachment 1446830

Lembrus Mchome anadaiwa kukamatwa na polisi kwa tuhuma za kupiga picha gari la Diwani Athuman akiwa Kwao Mwanga , ambapo gari hiyo imeonekana mitandaoni ikiwa imeegeshwa maeneo ya Mwanga .

Bila shaka kesi hii ikifika mahakamani itavuta hisia za wengi , maana hata kama ni kweli , kupiga picha gari la serikali linalotumiwa na ofisa wa serikali kihalali hatujui adhabu yake itakuwa nini .

#Tuendelee kunawa mikono kwa maji tiririka ili kujikinga na virusi vya Corona
Hilo gari limeandika " Usipige Picha"?
Hu utawala unaishi kwa hofu sana, sana, bora hata kunguru kuliko huu utawala wa Jiwe na Gwajima
 
Mpaka hiyo gari inapigwa picha at 'a very close range' walinzi wa DG wa TISS walikua wapi?? Au dereva wa DG wa TISS ambaye naye ni mtu wa kitengo alikuwa wapi??? Tuanzie hapa
Hapana tuanzia hapa,kwani ukiwa DG wa TISS hauruhusiwi kwenda kwenu mpaka iwe ajenda kwenye mitandao na uonekane umekimbia corona kiasi cha gari kupigwa picha na kurushwa mitandaoni?
 
Chadema ingekuwa corona ungekuta imeshaisha siku nyingi. Serekali inatumia nguvu kubwa Sana kwa chadema kulipo kitu chochote
 
hizi harakati mavi zinawaponza sana.

na asitegemee kuna kesi yoyote itakayofunguliwa dhidi yake,atakaa sero mpaka akili za kiutu uzima zimrudie.
 
View attachment 1446830

Lembrus Mchome anadaiwa kukamatwa na polisi kwa tuhuma za kupiga picha gari la Diwani Athuman akiwa Kwao Mwanga , ambapo gari hiyo imeonekana mitandaoni ikiwa imeegeshwa maeneo ya Mwanga .

Bila shaka kesi hii ikifika mahakamani itavuta hisia za wengi , maana hata kama ni kweli , kupiga picha gari la serikali linalotumiwa na ofisa wa serikali kihalali hatujui adhabu yake itakuwa nini .

#Tuendelee kunawa mikono kwa maji tiririka ili kujikinga na virusi vya Corona
Kwanini apige picha gari ya TISS? Huyu ni jasusi anayetumiwa na mabeberu...inawezekana ni agent wa foreign intelligence...simwonei huruma kabisa kwa yatakayompata....Watanzania baadhi yetu siyo tu ni wajinga Bali ni wapumbavu pia...hivi mtu akipiga picha gari ya CIA, MOSAD, FSB au MI 5 atafanywa Nini??!!
 
Kwanini apige picha gari ya TISS? Huyu ni jasuso anayetumiwa na mabeberu...inawezekana ni agent wa foreign intelligence...simwonei huruma kabisa kwa yatakayompata....Watanzania baadhi yetu siyo tu ni wajinga Bali ni wapumbavu pia...hivi mtu akipiga picha gari ya CIA, MOSAD, FSB au MI 5 atafanywa Nini??!!
kwani mnaficha nini ?
 
Ok sawa...msiishie kupiga picha magari tu...pigeni picha na majengo yao na hata maafisa wenyewe..muone Cha mtema kuni...Kuna watu wajinga na wapumbavu Sana...nchi hii watu wamedekezwa Sana...freedom iliyopo imewafanya baadhi ya watanzania kuvimbiwa amani....
Shida iko wapi kwani , nani asiyemjua diwani Athumani ?
 
Watu nyeti wana kimbilia vijijini vp usalama wao ..waki dunguliwa uko kodi zetu zitumike kuwaomboleza wao na kushusha bendera ya nchi yetu nusu mligoti

sijui itakuaje
Jamaa hajakimbilia kijijini alienda msibani kumzika ndugu yake
Shida ni kuwa huyo aliyepiga picha alikuwa na nia ya kupotosha wakati anajua kabisa jamaa yupo kijijini kwa ajili gani
 
Back
Top Bottom