Uchaguzi 2020 Mwenyekiti wa CCM, Dkt. John Magufuli achukua fomu ya kugombea Urais wa Tanzania kwa muhula wa pili

Ngoja na mimi nikachukue fomu!wasiojulikana wakini ua basi!!NAOMBENI MNICHANGIE JAMANI NISHINDANE NA MAGUFULI NDANI YA CHAMA!!
 
Hili linaitwa igizo la kukamilisha matakwa ya kikatiba.

Natamani kuona akijitokeza mtu mwingine achukue fomu ya kuombea nafasi ya urais

Lakini naambiwa mwenye ccm yao wanautamaduni wao, ukianza moja sharti uachiwe utimize mpaka kumi.

Ifike wakati wabadilishe huu utamaduni tufate katiba inavyotaka tuachane na utamaduni

Ukiwepo ushindani baada ya miaka mitano unatoa nafasi ya kiongozi kufanya kazi ufanisi zaidi
 
Hivi hakuna wanaopiga makofi akinywa maji?
Make MATAGA mnasifia hata visivyosifiwa.
 
Hili ni ONYO sasa ajitokeze mwanachama yeyote anaewashwa washwa na urais
 
Kuna muda huwa sikuelewi kabisa Kaka Pascal Mayalla.
 
Kuna muda huwa sikuelewi kabisa Kaka Pascal Mayalla.
Mkuu Kalisheshe, pole kwa kutonielewa na hauko peke yako, ili unielewe ni lazima unisome huku umetulia, umetuliza akili na pia uwezo wako wa uelewa uwe ni wa level ya kiwango fulani cha uelewa kunielewa, hivyo ukijikuta hunielewi kabisa, naomba unisamehe tuu, hiyo ndio level yako.
P
 
Kama vile wabunge wa chadema wanavyompa mshahara wao Mbowe na wabunge wa CCM hawampi mshahara wao Magufuli. Ni utaratibu wa kila chama.
 
Hakuna hata mgombea mwingine wa kufanya maigizo ya kuchukua fomu huko ili aoneshe Mwenyekiti wenu sio dikteta, ameruhusu ushindani ndani ya chama chake?
Nyie chadema ongeleeni mgombea wenu wa CCM anawahusu Nini? Au wenu Hana ubavu wa kupambana na JPM? Ni wakati wenu kuchukua nchi chagueni wa kumbwaga JPM asubuhi mapemaa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…