NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Ngoja na mimi nikachukue fomu!wasiojulikana wakini ua basi!!NAOMBENI MNICHANGIE JAMANI NISHINDANE NA MAGUFULI NDANI YA CHAMA!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani hajipendi.Mwingine nani kachukua?
Kuna muda huwa sikuelewi kabisa Kaka Pascal Mayalla.Yes nimemuona live kupitia TBC rais Magufuli akichukua fomu ya kugombea urais kupitia CCM.
Kule tuu kuonyeshea live kupitia TBC ni kitu kizuri kwa kuonyeshea transparency ya zoezi hili zima, na kwa vile TBC ni public broadcasting station yaani TV ya umma, imetimiza wajibu wake kikamilifu kututangazia live, na natoa wito kwa vyama vyote vya siasa vitakavyo simamisha wagombea urais, kutoa ushirikiano kwa TBC ili TBC iwatangazie live Watanzania wagombea wao na kuwapa fursa Watanzania kuwaona wagombea wote wakipewa haki sawa kwenye vyombo vya habari vya umma.
Pili nimemnote rais Magufuli akitumia usafiri wa gari lenye number binafsi. This is very good thing kwasababu rais Magufuli ametenganisha shughuli za chama na shughuli za serikali. Rais Magufuli hakutumia gari za serikali, wala hakutembea na msafara ikiwemo battalion, rais Magufuli ametumia gari moja tuu yenye number za kiraia,
Hatua hii ni hatua yenye essence kubwa sana kwenye mustakabali wa usawa wa kidemokrasia na usawa wa uwanja wa mapambano kujenga uwanja sawa, the level playing field, hivyo ni hatua muhimu kuifuta ile dhana ya kugombea urais Tanzania kufananishwa na kugombea kisu cha makali kuwili huku mgombea mmoja ameshika mpini na kuwashikisha wapinzani wake upande wa makali kuwili
P
Katiba ya CCM Magufuli Hadi 2025, wengine watajitkeza 2025.Mwingine nani kachukua maendeleo hayana vyama tunataka demokrasia imara.
Dhidi ya Mbowe. Nasikia Lissu Hana ridhaa ya mwamba.Anagombea dhidi ya nani?
Mkuu Kalisheshe, pole kwa kutonielewa na hauko peke yako, ili unielewe ni lazima unisome huku umetulia, umetuliza akili na pia uwezo wako wa uelewa uwe ni wa level ya kiwango fulani cha uelewa kunielewa, hivyo ukijikuta hunielewi kabisa, naomba unisamehe tuu, hiyo ndio level yako.Kuna muda huwa sikuelewi kabisa Kaka Pascal Mayalla.
Mashindano yalikuwa 2015, mengine 2025 kwa kufuata utaratibu wa CCM.Anashindana na Nani hapo ccm?
Nani mwingine kachukua?Nani kazuiwa?
Kama vile wabunge wa chadema wanavyompa mshahara wao Mbowe na wabunge wa CCM hawampi mshahara wao Magufuli. Ni utaratibu wa kila chama.Kuchukua fomu ni hiari sio lazima ukiona hakuna mwingine kachukua jua ni hiari .CCM tuko kidemokrasia mtu ana hiari ya kuchukua au kutochukua fomu.Hivyo ukiona hakuna aliyechukua zaidi Ya raisi Magufuli ujue wazi kuwa watu wametumia hiari yao kutochukua fomu sio kesi
Watachukua 2025, kwa kukumbusha membe na January walichukua form 2015.Mtifuano ungekuwa mkali kama hawa pia wangechukua fomu Kinana, Membe na January,
Nyie chadema ongeleeni mgombea wenu wa CCM anawahusu Nini? Au wenu Hana ubavu wa kupambana na JPM? Ni wakati wenu kuchukua nchi chagueni wa kumbwaga JPM asubuhi mapemaa!Hakuna hata mgombea mwingine wa kufanya maigizo ya kuchukua fomu huko ili aoneshe Mwenyekiti wenu sio dikteta, ameruhusu ushindani ndani ya chama chake?
Kwani chadema hamna wa kushindana na CCM?Kuna haja ya kuchukua fomu wakati hakuna anayeshindana naye
Mbowe ni kivuli?Kivuli
Labda J J Mnyika katibu mkuu wa chama alijiteuwa mwenyewe.Ivi Katibu Mkuu wa chama uteuliwa na nani!?
Hao madikteta uchwara uwasikie tu ...si ajabu akadai kasukumiziwa!Akisema hii kazi ni ngumu.. Nilidhani hatachukua tena