Kwani JK na Mkapa nani aliwapinga term ya pili?
2010 JK alipingwa na Shibuda wakamfukuza ccm!
Hawakuzuia watu kuchukua fomuKwani JK na Mkapa nani aliwapinga term ya pili?
Alichukua fomu?
Mark MwandosyaTaja aliyechukua fomu 2010 acha uwongo
Kwani JK na Mkapa nani aliwapinga term ya pili?
Mark Mwandosya
Mark Mwandosya
Mleta Hoja Nina swali nataka nikuulize
Je Rais Magufuli amewakataza wengine wasichukue fomu?
Lumumba wakiongozwa na Bashiru wamefunga milango Jana na bila shaka hawataki mwingine aje kuchukuwa....Maskini Membe labda aende stationary kuchapa fomu yake mwenyewe.Subiri atachukua membe achuane na Magufuli
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. John Magufuli amechukua fomu ya kuwania kinyang'anyiro cha Urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu. Magufuli amekabidhiwa fomu hiyo na Katibu Mkuu wa CCM Taifa, Dkt. Bashiru Ally, Makao Makuu ya CCM, Dodoma.
Maendeleo hayana vyama!
Sasa hizo nderemo na vifijo vya nini wakati Pelepole alisema vitakuwepo tu baada ya mtu kupitishwa na chama hicho? au ndo tayari mambo yamekwisha hivyo?
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. John Magufuli amechukua fomu ya kuwania kinyang'anyiro cha Urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu. Magufuli amekabidhiwa fomu hiyo na Katibu Mkuu wa CCM Taifa, Dkt. Bashiru Ally, Makao Makuu ya CCM, Dodoma.
Maendeleo hayana vyama!
CHADEMA ikiwa na utamaduni wake kuhusu mboweCCM ina utamaduni wake!
Nimekuelewa bwashee!CHADEMA ikiwa na utamaduni wake kuhusu mbowe