Uchaguzi 2020 Mwenyekiti wa CCM, Dkt. John Magufuli achukua fomu ya kugombea Urais wa Tanzania kwa muhula wa pili

Kumbe anataka😀😀last time alisema amejikuta tu ikulu, hapendi hata!
 
Si alikuwa anasema hiyo kazi inachosha na ni nzito mbona ndo wa kwanza kuchukua fomu kwenye chama chake
Mhh wanaita face value, lakini ndani ya moyo ni arua:-
Salute,gwaride,makofi,ngoma ,nyimbo,magari yenye escort,ndege,Ikulu, wimbo wa taifa,picha ya ukutani.washauri,mawaziri.
 
Mkuu hivi una nini lakini wewe 🤣🤣🙌
 
Huo ndiyo upeo wa akili zako umegotea hapo
 
Nonsense
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…