Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Kwani katajwa sehemuMama hawezi kufanya huo ujinga, acheni kumzushia mabaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani katajwa sehemuMama hawezi kufanya huo ujinga, acheni kumzushia mabaya
Wangetokea gangs kama wa Haiti, na wale wapambanaji shupavu wa Palestine, hamas(umkhonto we sizwe wa kia Arab), wakayateka ma ccm yote na kuyappteza, au, kuyajambisha mishuzi, Inge kuwa poa Sana.Wanachama wa chama cha mapinduzi, wilaya ya Hai, huko Kilimanjaro, wameshinda ofisi ya chama Wilaya, wakimtafuta Mwenyekiti wao wa Chama Wilaya, siku ya 5 Sasa haonekani.
Mwenye taarifa za kupoteza kwake tafadhali!
Eti na chicha la nazi aisee [emoji3][emoji3]Hapo katulia kwa nyumba ndogo anasafishwa p*mbu na chicha la nazi, hajui km anasumbua familia kumtafuta
Mlishazoea kuua na kuteka watu.Duh...!.
P
Mzee Paskali kuwa makini, nimeambiwa na wewe utachukuliwa ukawe mpishi ww Ikulu ya Diamond.Duh...!.
P
Nimekuelewa mkuu, japo sina uhakika wa hicho mnachoaminiKwani mama anaenda kugombea kiti chochote huko Hai?
Basi sawa mkuu, nimekuelewaKwani katajwa sehemu
chadema hawaonji sumuWanaccm hawaachiani maji ya kunywa mezani - Kikwete
Damu ya Ole Tadei haitakuacha salama, iko siku yatakukutaAtakua yupo na Manyapaa
Hahaha
Umesahau Manyapaa alifumaniwa na nke ya ntu katibu wenu wa sakosi ya Mtei
Bwege weweNadhani ni sabaya sasa analipiza kisasi kwa waliokuwa mstari wa mbele kupambana naye wkt anasulubiwa goligotha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwn aliondoka na watenda kz?? Si hao wapo akina Bashite na Sabaya??Si tulishakubaliana kwamba Magufuli ndo alikiwa anawpoteza na kwamba sasa tuna mama mfariji mkuu,ameimarisha demokrasia na kwamba anafungua nchi na ana upendo imekuwaje tena?
Hiyo ofisi ni kubwa kiasi gani mpaka wanachama wasiweze kumwonawameshinda ofisi ya chama Wilaya, wakimtafuta Mwenyekiti wao wa Chama Wilaya,
Siku wakikutia mkononi ndo utaitamka vzr hiyo Congo, kama ni congo kinshasa au Congo Brazzaville....very soon ita enjoy chensooBwege wewe
Urudi kwenu Kongo
MmmmWashaanza kutafunana sasa. Uchaguzi umekaribia