waminywe tu hadi damu zivilie ndani wanazururazurura sanaWeee Mbowe miaka nenda rudi ndiye Mwenyekiti chadema hataki kuwaachia wenzake alafu eti tumpe urais! Sweka ndani
Magu aliwafyeka ndani wote wakatia adabu hawa wapiga deal wa hela ya umma eti ruzuku ya vyama wakati hata ofisi hawana!
Hapo Bado hujasema,aliyeshika mpini ni sa π―,hakuna mtu atapewa room ya kuvuruga amani ya Nchi hii,never.Ukiona hivi yupo desperate na kiti chake anapigwa nje ndani, huku Chadema kule kina January na Kinana kwanini asichanganyikiwe
Usikute unalipwa laki mbili kwa mweziwaminywe tu hadi damu zivilie ndani wanazururazurura sana
CCM ina hazina kubwa sana ya wapumbavu na majuha.Tia ndani hawa wapiga deals za hela ya ruzuku hawana lolote!
Huna akiliNgoja awanyooshe sawa sawa ndio tutajua imemshinda au hapana
Ila CCM ndiyo ina wapumbavuUnajikuta Gen Z au siyo? π€£π€£π€£π€£
Tanzania sio Nchi ya kuletea upumbavu.
Nchi yetu sote.Ngoja awanyooshe sawa sawa ndio tutajua imemshinda au hapana
CCM ingekuwa na wapumbavu mungeshakuwa mumeivuruga Nchi hii,Sasa mumedhibitiwa.Ila CCM ndiyo ina wapumbavu
Rais samia kwa sasa hafai tena kukabiliwa kwa siasa za kiungwana za
Mwenyekiti wa Chadema Taifa Mhe. Freeman Mbowe na Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa Mhe. John Pambalu wamekamatwa na Polisi muda huu uwanja wa ndege Songwe wakijiandaa kuelekea Mbeya, Ukamataji huu umeongozwa na RPC wa Mbeya.
Pia soma=> Lissu, Mnyika na Sugu wakamatwa na Polisi usiku huu. Baadhi ya Waandishi wa habari pia wakamatwa
Rais Samia kwa sasa haihitajiki tena siasa za namna ya kiungwana kama afanyavyo Mbowe.
Mwenyekiti wa Chadema Taifa Mhe. Freeman Mbowe na Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa Mhe. John Pambalu wamekamatwa na Polisi muda huu uwanja wa ndege Songwe wakijiandaa kuelekea Mbeya, Ukamataji huu umeongozwa na RPC wa Mbeya.
Pia soma=> Lissu, Mnyika na Sugu wakamatwa na Polisi usiku huu. Baadhi ya Waandishi wa habari pia wakamatwa
Kama unalijua Hilo usilete uchochesi wa vurugu Kwa kujikuta wewe ni Gen Z.Nchi yetu sote.
Ni kweli havutani na wafanyabiashara yeye biashara zake ni kuuza bandari na maliasili za Tanganyika tu.Kupora hela za wafanyabiashara,kuvuruga wawekezaji,kukimbiza matajiri,nk nk
Samia hachukui njia ya kuvutana na wenye pesa Wala kufukarisha jamii na sera za kijamaa ila naunga mkono kuwashughulikia Wanasiasa uchwara wa Upinzani.
Aliyesema anataka Mataji waishi kama mashetani ni nani? Unajua kampuni zilozohama Nchi hii? Acha kuwa punguani.
Sasa hapo anamnyoosha nani kama ni kamata kamata kwa CDM ni jambo la kawaida, hii inaonyesha tu kuwa CCM inaanza kukata punzi wanategemea mbeleko. Mbona siasa zilikuwa zinakwenda vizuri tuNgoja awanyooshe sawa sawa ndio tutajua imemshinda au hapana
Komaien akina nani kaka? Hawa jamaa mnawafunga mnaawachia miaka nenda rudi, unadhani ni mara ya kwanza? Hawatoacha kulalamika, lakin wanazoea badilisheni mbinuKama sio ya kwanza Sasa malalamiko ya nini? Komaeni ππ
Sawa ila hamtaruhusiwa kuvuruga Nchi Kwa kujifanya Gen Z ππNi kweli havutani na wafanyabiashara yeye biashara zake ni kuuza bandari na maliasili za Tanganyika tu.
Haaaaaa π€£π€£π€£π€£ hawa wapumbavu wa chadema niliwaambia humu kwa herufi kubwa sana ..kuwa wasifurahie kifo cha JPM bila kujua kama kina mikono ya watu au la ...maana kama kina mikono ya watu..kamwe siasa na nchi ya tanzania haziwezi kuwa njema ...maana hiyo mikono iliyo husika kwenye kifo kamwe awawezi kuruhusu haki au katiba mpya....niliwaambia kamwe samia awezi kuleta katiba mpya na sababu ni kifo cha jpm...walio nyuma ya hilo tukio kina ROSTAM AZIZI NA GENGE LAKE LA WAHUNI WA SOGA NA WAHUNI WACCM KWA UJUMLA awawezi kuatalisha maisha yao kwa kucheza sandakarawe...la sivyo wataangamia kwa vitendo vyao.
Mwenyekiti wa Chadema Taifa Mhe. Freeman Mbowe na Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa Mhe. John Pambalu wamekamatwa na Polisi muda huu uwanja wa ndege Songwe wakijiandaa kuelekea Mbeya, Ukamataji huu umeongozwa na RPC wa Mbeya.
Pia soma=> Lissu, Mnyika na Sugu wakamatwa na Polisi usiku huu. Baadhi ya Waandishi wa habari pia wakamatwa
Huyu mama kaanza kuchemsha.Samia nchi imemshinda asaidiwe atuachie Tanganyika yetu arudi kwao akale urojo