Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe akutana na Rais Samia Ikulu leo Desemba 31, 2022



Raisi Samia wengi hawajui sababu ya kumchagua kinana kuwa makamu na si mtu mwingine.

Sababu kubwa ni kwamba Kinana yuko tofauti kidogo kwenye utendaji wake. Kwanza amekulia Arusha na anaona vitu kama watu wengi wa Arusha kwa mtazamo wa biashara zaidi na sio siasa. Hivyo Kinana anaweza kabisa kuelewana na wakina Mbowe kwasababu hii. Yeye kinana anapima vitu na kuweka strategy na sio ushabiki. Anajua fika nchi hii asilimia 40-45 ni wapinzani ni bora kushinda kwa 50-55 kama majirani wa kenya na kuna na imani kuliko kushinda kwa feki kwa 80% na nchi ikawa kama Magu alivyo iacha kisiasa. Na sasa tunaona kumbe hata watu wengi walikuwa hawapendi zile chaguzi bila kujali chama. Kinana ni 70 years plus naye Mama ni muhula wa mwisho hivyo hana sababu ya kungangania vitu na watu ambao hata hawampendi na ni wa nafiki ndani ya CCM.
 
Hizi ndiyo siasa. Vyama vya upinzani viko kikatiba na wapinzani ni wananchi wenzetu.

Ila yule shetani wa Chato aliufanya upinzania ni uadui. Asante Mungu kwa kusikia maombi yetu hatimaye akasepeshwa jehanam mnamo 17/ 03/ 21
Samehe 7*70 mkuu...ametangulia ,tumuache apumzike..
 
Hizi picha wenzake wanazitumia vibaya. Bora akutanenao kimyakimkya tu na matokeo yakiwa mazuri, ndio ajitokeze hadharani kupiga nao picha.

Pia, Mbowe akumbuke kauli za Makamba na kikwete za hivi kariibuni kwenye Mkutano Mkuu wa CCM.
Wivu tu ndio umekujaa mpaka umekuwa Kama mtoto mdogo
 

Majungu. Na wewe kalambe asali.
 
CHADEMA akili walizokuwa nazo wamepeleka wapi ?

Hivi bado hamjaelewa kuwa siasa za awamu hii ya Samia ni siasa za picha na vyama pinzani ???


Hivi hamjui kuwa mnahalalisha uvunjwaji wa katiba unaofanywa na wenzenu kwa matukio ya picha kama haya???

Hamkuona matokeo ya kikosi kazi ???

Mnadhani hizi picha zitawapa haki yenu ya kufanya mikutano ya hadhara??

Subirini muda utawapeni majibu ila mtakuwa mmeshachelewa sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…