Wewe dr namugari umeamua kumuabudu Magufuli, endelea tu hukatazwi kwa undezi wako. Sisi tunaombeza tutaendelea kumbeza shetani wa chato. Kila mtu ashinde mechi zakeAcha ujinga magu siyo wa kubezwa Kam una akili timamu
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Angekuwa na uwezo wa kutia mimba asingekufa kwa mafua ya coronaMimba yake aliokuachia hujazaa tuu
Siwezi kuacha kumuita Magufuli shetani wa Chato kwa namna alivyokuwa anatenda. Kama unaweza amrisha Tundu Lissu apigwe risasi akiwa bungeni, ukamnyima matibabu, ukamnyang'anya ubunge na kumyima stahiki zake za ubunge wewe ni SHETANI tu. Hakuna binadamu anaweza akatenda hayo kwa mtu mmojaNa wewe kila siku shetani wa chato,shetani wa chato utakufa mdomo upande huku unasema shetani wa chato wakati mwenyewe ni shetani.
Wanachama wana paswa kuushinikiza uongozi kujiweka kando na maridhiano na waalifu na sio kukigeuza chama kama mali yao binafsi viongozi.Sasa kama wanafahamu, kwa nini wanaendelea kucheza?
Ulayapima weweAngekuwa na uwezo wa kutia mimba asingekufa kwa mafua ya corona
Chama kinaondoka hivo we umekazana na Magufuli.. Endelea kumkazia marehem tuone uchaguzi ujao utaibuka na kata ngapiHizi ndiyo siasa. Vyama vya upinzani viko kikatiba na wapinzani ni wananchi wenzetu.
Ila yule shetani wa Chato aliufanya upinzania ni uadui. Asante Mungu kwa kusikia maombi yetu hatimaye akasepeshwa jehanam mnamo 17/ 03/ 21
Kiukweli kabisa usione vyaelea, vimeundwa!.In politics nothing happens by accident
View attachment 2466049
Umeandika uongoWanachama wana paswa kuushinikiza uongozi kujiweka kando na maridhiano na waalifu na sio kukigeuza chama kama mali yao binafsi viongozi.
Jambo nililo gundua ni kuwa wanachama wa Chadema ni waoga kwa viongozi wao hasa hasa viongozi wa juu wa chama kuanzia mwenyekiti, jambo linalo fanya mambo mengi ndani ya chama kutekelezwa kutokana na nguvu ya mwenyekiti na sio maridhio ya wanachama kwa asilimia kubwa.
Chama Cha Chadema chini ya Mbowe hakina tofauti na Chama Cha Kikomunisti cha China kipindi Cha mwenyekiti Mao maamuzi mengi ya Chama yalifanywa kutokana na nguvu zake na sio maridhio ya wanachama kwa asilimia kubwa.
Unaandika uongo kwa faida ya nani ?Kiukweli kabisa usione vyaelea, vimeundwa!.
Mpaka hapo unapowaona, ujue kuna kazi kubwa imefanyika, watu wamemuombea mtu msamaha, Watanzania tumshukuru Mungu kupata mtu mwenye moyo wa kusamehe. Je, tumuombe asamehe tu bila kuombwa msamaha au akomae naye? View attachment 2466068
Mtu akasamehewa, pesa za vikao kuendesha zile kangaroo courts zikatolewa!, fedha za uendeshaji wa chama zinatolewa!, fedha za trips pia zinatolewa...
Tunaeleea pazuri.
P
Mahali gani ?Umeandika uongo
Hisia zako tu.Approach ya mbowe naielewa sana ila kutokana na ulafi wa baadhi ya wenzake ndani ya chama wanahisi kama kuna namna anafaidika na ikulu ya mambuzi.
Hizo pande zinazoridhiana ndo zimepeleka ripoti kwa RaisSelikali ndo imeipa upinzani au upinzani ndo imeipa selikali hiyo ripot?
Katiba mpya na Tume huru ya uchaguziHivi Mbowe na Chadema yake wanataka nini katika haya yanayoitwa maridhiano? Wao hasa wanataka kutimizwa nini??
Njoo nikutoe nye.ge utulieImekuuma meza wembe
Wangekutana bila kupiga picha kungekuwa na faida yeyote kwa CHADEMA?Nimekuuliza hizi picha zitawafaidisha nini CHADEMA ?
Kwani wewe umekatazwa kuanzisha Chama chako?Chama kinaondoka hivo we umekazana na Magufuli.. Endelea kumkazia marehem tuone uchaguzi ujao utaibuka na kata ngapi