Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na mbunge Esther Matiko waachiwa kwa dhamana baada ya kushinda rufaa ya dhamana

Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na mbunge Esther Matiko waachiwa kwa dhamana baada ya kushinda rufaa ya dhamana

Wasalaam, habari za kuaminika kutoka chanzo cha uhakika zinaeleza kuwa kwa sasa mh mbowe na ester matiko watapatiwa dhamana hivi karibuni. Habari zinaeleza kwamba lengo la kwasotesha ndani lilikua kutimiza mission mbowe akae ndani ili mh lowassa akusanye siri na mikakati ya chadema na kuipeleka ccm. Kwa kuwa mission imetimia inaelezwa ccm wameshaielekeza mahakama iwapatie dhamana washitakiwa hao.
Nafikiri Chadema hawajwahi kumwamini Lowassa kiasi cha kuweka mikakati yote mbele yake.Pia alivyoenda magogoni ndiyo alishajiondolea kabisa uhalali wa kuaminika,Lowassa alishajuwa hilo.Lakini hongera zako maana hapa buku 7 zinakuhusu.
 
Masikini ya Mungu pesa za matibabu na school fees za wanawe tumeona clip anaomba kwa diaspora huko US sasa pesa za kununua nafasi ya kugombea urais atazitoa wapi? Unafikiri Wachagga watampa bure hiyo nafasi?
Dr Slaa mwaka 2010 naye alinunua hiyo nafasi!!???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Yaliyojiri" yako wapi?

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Masikini ya Mungu pesa za matibabu na school fees za wanawe tumeona clip anaomba kwa diaspora huko US sasa pesa za kununua nafasi ya kugombea urais atazitoa wapi? Unafikiri Wachagga watampa bure hiyo nafasi?
Too low !
 
umeongea upuuzi, maana hakunaga kitu kama hicho

ebu tupekue vifungu vya sheriw vya kumtetea MBOWE ATOKE NDANI

msaidie mwanasheria kutafuta vifungu na omba atoke

umeongea kama mtanzania halisi na may be std 3 ambaye anauliza maswali badala ya ku focus kwenye KUFANYA jambo litokee
Bro wewe nii nani unaongea kwa confidence kubwa kiasi hicho!!!!!? . Ujuayo ni ya Leo ya kesho huyajui. Ephraem Kibonde alienda bk kumzika mfanyakazi mwenza, akapews na uemc wa shughuli yote. Tafakari maneno ya Mungu aliyosema. Leo Yuko wapi? Mungu Ni Mambo yote. Step down brother. Muache Mungu afanye yake, hata kwa akina Mbowe anafanya. Amen.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siri ndio nini,? Hivi unafikiria mikakati uwa inakaa Ile Ile tu? Ingekuwa hivyo basi wafanyakazi wanaoama taasisi moja kwenda nyingine wanayoiacha ingekuwa inakufa.

Mtu anahama kutoka NMB kwenda CRDB Ndio NMB inakufa?....

Au Yule jamaa alisefanya kaziVoda,,tigo na airtel sasa hv yupo sports pesa kenya ndio voda imekufa.?....

Au wakina Ibrahim Masood & Dinna kuhama Clouds kwenda Efm ndio clouds kufa?....

Taasisi itabaki kuwa taasisi tu na mtu atabaki kuwa mtu na hakuna taasisi inayokuwa na mbinu za aina Ile Ile muda wote.......

Hakuna mtu duniani anayeweza kuwa zaidi ya taasisi..

Sent using Jamii Forums mobile app
Swadakta !
 
Hata Matako ni jina pia sifahamu kwanini alijibadilisha.
Faiza ulikosa uteuz enzi za jk,wenzako wote waliokua wamejaaliwa neema za Allah kama ww ulivyo na tako kubwa walilamba uteuzi udc awamu hii unajipendekeza kwa kasi unatamani mpaka kuingia kanisani lkn hawakuoni tu pole sana
 
Siri ndio nini,? Hivi unafikiria mikakati uwa inakaa Ile Ile tu? Ingekuwa hivyo basi wafanyakazi wanaoama taasisi moja kwenda nyingine wanayoiacha ingekuwa inakufa.

Mtu anahama kutoka NMB kwenda CRDB Ndio NMB inakufa?....

Au Yule jamaa alisefanya kaziVoda,,tigo na airtel sasa hv yupo sports pesa kenya ndio voda imekufa.?....

Au wakina Ibrahim Masood & Dinna kuhama Clouds kwenda Efm ndio clouds kufa?....

Taasisi itabaki kuwa taasisi tu na mtu atabaki kuwa mtu na hakuna taasisi inayokuwa na mbinu za aina Ile Ile muda wote.......

Hakuna mtu duniani anayeweza kuwa zaidi ya taasisi..

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbina umetolea mfano vitu vya kipuuzi sana mkuu? Hii ni siasa siyo clouds au mpira.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nafikiri Chadema hawajwahi kumwamini Lowassa kiasi cha kuweka mikakati yote mbele yake.Pia alivyoenda magogoni ndiyo alishajiondolea kabisa uhalali wa kuaminika,Lowassa alishajuwa hilo.Lakini hongera zako maana hapa buku 7 zinakuhusu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Yani mtu umpe kugombea urais, kwamba anaenda kuwa rais wa nchi alafu usimpe siri na mikakati yenu? Kwa chadema ipi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Faiza ulikosa uteuz enzi za jk,wenzako wote waliokua wamejaaliwa neema za Allah kama ww ulivyo na tako kubwa walilamba uteuzi udc awamu hii unajipendekeza kwa kasi unatamani mpaka kuingia kanisani lkn hawakuoni tu pole sana
Una akili za kitumwa, niajiriwe serikalini nimekosa kazi za kufanya?
 
Watu kila Siku wanaamka na mawazo mapya,mikakati mipya ,nyie mnakusanya ya zamani iliyopitwa na wakati?
 
Ilikuwa nikila tarehe ya kusikilizwa kesi inayowakabili viongozi wa chadema inapofika,huyu bwana mkubwa tulikuwa tunaambiwa kalazwa anaumwa.
Tangu kawekwa kolokoloni sioni akiwa mahututi tarehe za kusikiliza rufaa yake,na pingamizi la rufaa yake.
Kumbe akiwa ndani haugui,naona nipazuri,panafaa aendelee kukaa ili kesi inayowakabili iende haraka.
Umefaidikaje kukaa kwake Ndani?
 
Back
Top Bottom