KING MAZENGO
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 755
- 200
TENA WAMEMWUA MCHANA KWEUPEE PEE....hakika MBOWE TOA NENO SIR.TUTATII...Jesus...nini hiki kwa komredi Mawazo....nakosa cha kusema...
R.I.P NIACHENI NILIE....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TENA WAMEMWUA MCHANA KWEUPEE PEE....hakika MBOWE TOA NENO SIR.TUTATII...Jesus...nini hiki kwa komredi Mawazo....nakosa cha kusema...
Afadhali wewe uliyeko huko. Wengine hapa mihemko tu na kujiapiza hata hawajui ukweli wenyewe. Inasemekana, inasemekana, inasemekana... na watu wanafyatuka utafikiri wanajua ukweli kamili wa tukio.. CCM wajinga waue mchana kweupe? Huyo atakuwa ni visasi au Kala hela za watu. Tusubiri ukweli utajulikana tu!Me niko katoro ambapo linatokea tukio likuwa mbali kidogo lkn ripoti kamili kamanda mawazo alikuwa anakikao na wachama wake kuhusu mawakala wa kusimamia uchaguzi hapo kesho wa diwani kata ya ludete wakiwa ukumbini gari 1 ilikuja na akatoka mtu mmoja na akaanza kuchukua video bila ya idhini yao dipo vurugu zilianza ikasemekana mtu huyu ametumwa na ccm kupeleleza wachokiongelea
TENA WAMEMWUA MCHANA KWEUPEE PEE....hakika MBOWE TOA NENO SIR.TUTATII...
R.I.P NIACHENI NILIE....
anza na mie niliye karibu yako
Pesa mbaya sana rafiki yangu. Unajua sasa hivi mamvi kachanganyikiwa. Mbowe ndiyo kachanganyikiwa balaa.Wanaojua wanasema ni vijana wa green guard,munaoamini munasema waliokula hela wote watakufa!! Basi mutaendelea kuua hadi muwamalize wote? Kwa kuamini tu?
Kwani Kuna mtu yyte aliyehusika na hili tukio kakamatwa?
Hakuna aliye juu ya sheria.
Hao wahuni wakamatwe na wachukuliwe hatua.
CCM wanataka madaraka kwa gharama yoyote ile hata kwa damu ya watu ndio maana zenji hawakubari kuachia mpaka damu imwagike
RIP Kamanda Mawazo!. Mungu atakulipia kupitia Karma!.
Pasco
RIP kamanda mawazo
Wazungu wanasema what goes around comes around. Ukishakuwa muhubiri wa siasa za shari na mihemko uwe tayari kutafuna matunda yake. Ukiwa mhamasishaji mzuri wa "lazima damu imwagike" "patachimbika " lazima utambue damu ya kumwagika haichagui sura inaweza ikaanza na wewe.
Ushauri wangu kwa wanasiasa haswa wa chadema na cuf tuachane na siasa za mihemko kujazana jazba tufanye siasa za sera tutaeleweka tu na raia.
Akamatwe nani utasikia kamanda wa polisi anadai ameuawa na watu wasiojulikana. Tumshtakie Mungu
Tarime walikamatwa ???????!!