TANZIA Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo auawa kikatili mjini Katoro

Status
Not open for further replies.
Kama kweli MUNGU yupo atalipa ubaya wote... Yeye ndio hakimu wa kweli...
 
Nikweli Amefariki Muda Mfupi uliopita wakati akipata Matibabu katika Hospitali ya Wilaya ya Geita Mawazo alikuwa ametokea katika Mkutano wa Kampeni wa Uchaguzi mdogo wa Udiwani ndipo alipovamiwa hyo Jana nakupelekea Mauti yake.
 
Last edited by a moderator:
Tafadhari uongozi na management ya Jamii forum wasilianeni
na kamanda wa polisi wa mkoa wa geita kwaajili ya uthibitisho
kama kweli hili jambo limetokea....
 
Last edited by a moderator:
Aligombea katika Jimbo la Busanda,Pia alikuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Geita.
 
Magufuli tunataka haki itendeke lasivyo tunakushitaki kwa Mungu
 
Hii siku inaisha vibaya sasa.So sad. Wahusika wachukuliwe hatua mara moja
 

Ni busanda sio buchosa
 
Nchi hii basi haina haja ya Kuwa na Upinzani kama ni hivyo kwann watu wauane kisa Masiasa

Hivi hakuna wa kuweza kuwaroga hawa jamaa nyeti zihamie usoni? Inaumiza sana kwa hawa misukule wanavyowatenda upinzani
 
Tafadhari uongozi na management ya Jamii forum wasilianeni
na kamanda wa polisi wa mkoa wa geita kwaajili ya uthibitisho
kama kweli hili jambo limetokea....

Ni kwel imetokea ni hapa katoro
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…