twahil
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 4,100
- 2,795
RIP Mawazo kama mtanzania mwenzangu.
Kitendo kilichofanywa dhidi yako hakikubaliki na yoyote mpenda amani na utulivu.
Ni vizuri jeshi la polisi likawasaka na kuwakamata watu wote waliosababisha kifo chako. Hili ndugu zangu halina itikadi na tuuweke pembeni u CCM na u CHADEMA.
Waliofanya kitendo hicho ni wahuni na siamini kama wametunwa na chama chochote zaidi ya matakwa yao tu. Tuwe na amani na tusubiri ripoti kamili ya jeshi la polisi....tusiwe ns jazba na kukimbilia kusema tulipize kisasi kwa watu fulani bila ushahidi...
Kitendo kilichofanywa dhidi yako hakikubaliki na yoyote mpenda amani na utulivu.
Ni vizuri jeshi la polisi likawasaka na kuwakamata watu wote waliosababisha kifo chako. Hili ndugu zangu halina itikadi na tuuweke pembeni u CCM na u CHADEMA.
Waliofanya kitendo hicho ni wahuni na siamini kama wametunwa na chama chochote zaidi ya matakwa yao tu. Tuwe na amani na tusubiri ripoti kamili ya jeshi la polisi....tusiwe ns jazba na kukimbilia kusema tulipize kisasi kwa watu fulani bila ushahidi...