Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuwa Na roho ya utu wewe! Sidhani kama ukatili huu unafurahiwa Na mwanadamu yeyote awe ni wa itikadi gani. Huu ni unyama wa hali ya juu. Siasa zisitufikishe hata kiasi cha kugharimu damu za watanzania wenzetu. Hizi ni siasa tu. Leo upo ccm, kesho Act, baadae Cdm
Siku ya mazishi viongoz wa chadema washirik wote!tuiite mawazo day!nilifurah taifa starz kutoka suluhu,wakati mechi ikiendelea nikapata habar nikanywea mpaka mpira unaisha cjashangilia,nashukuru Mungu mashabik nao walinywea baada ya dk.90,tukaungana sote kwenye huzuni.Japo huzun yangu ilikuwa ya kumpoteza kamanda wangu Alphonce Mawazo.RIP kamanda sote tunakuja.
hizi laana zinachosha toka
Dr mvungi
Dr Ulimboka
Kibanda
Mwangosi
Tukio la Soweto
Moses Machali na Kiwia
Mch.Mtikila
hizi laana zote hawa watu wangekuwa vichaa na watoto wao
kweli sisi tunamwachia Mungu kila kitu
M&sng*e mkubwa you fool. Mmemuua nyie magamba
Na naona wafuasi na viongozi wao wanafurahia haya matendo haramu kwa kudhani kwamba wao wako salama.Wamewageuza Watanzania kama Nyumbu ambao mwenzao anakamatwa na kuliwa na Simba halafu wengine wanaendelea na taratibu za maisha kana kwamba kilichotokea ni jambo la kawaida lisilo na athari za kimaisha.Wanashindwa katambua ya kwamba unapotajwa kuwa kiongozi wa Tanzania moja ya dhamana kubwa uliyo nayo ni kulinda uhai wa kila Mtu awe Mtanzania au yeyote aliyomo ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Divide n' Rule hata wao hawatakuwa salama
Acheni kuchochea chuki ndugu kuna maisha baada ya msiba ....