Mkuki ulikuwa ukirushwa kwa nguruwe, sasa unaelekezwa kwa binadamu.Kumbe kweli hadi jambo likufike ndio ujue uchungu wake. Wakati akina Mawazo wanauawa hatukusikia hizi laana. Nchi iliharibika kitambo mkawa mnakejeli watu wanajiteka. Kuna kijana wa UVCCM Mkoa wa Iringa aliomba ruhusa kwa mwenyekiti wa CCM taifa waruhusiwe wavunje watu miguu au wawauwe kabisa. R.I.P. kijana.
@Joyce joyce wape ado ado bana!Na akichaguliwa tena watu wafaaaa, huyu magufuli ni mtu hatari mno kuliko mnavyofikiria, hivi mtu akamdharirirsha had makamba, nape, kinana bado unampenda? Bado unamshabikia kisa uko Ccm? Utakuwa umerogwa, waliomuweka madarakani akina kikwete akawaita wanawashwa washwa wewe bado uende umpigie kura?
Ccm mmeyalea sana hayaNdugu wana CCM,
Ndugu yetu, kijana wetu Emmanuel Polykap Mlelwa hatunae tena. Nimepigiwa simu na baba yake mzazi, Diwani mstaafu wa kata ya Madope-Ludewa kuwa ameuwa na watu wasiojulikana eneo la Kibena.
Mwili wake ulihifadhiwa hospitali ya Kibena leo ni siku ya sita ndiyo umetambuliwa.
Hakika nikiwa kama sehemu ya familia, hakika nipigo kwa familia, pia ni pigo kwa CCM[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24].
Haya ni matukio mabaya sana yanayoendelea kutokea katika nchi yetu na yanatakiwa kukemewa na kila mwenye akili.
Poleni sana ...si vema kuuliza hili swali lakini ningependa kujua ni mshabiki wa chama ganiNdugu wana CCM,
Ndugu yetu, kijana wetu Emmanuel Polykap Mlelwa hatunae tena. Nimepigiwa simu na baba yake mzazi, Diwani mstaafu wa kata ya Madope-Ludewa kuwa ameuwa na watu wasiojulikana eneo la Kibena.
Mwili wake ulihifadhiwa hospitali ya Kibena leo ni siku ya sita ndiyo umetambuliwa.
Hakika nikiwa kama sehemu ya familia, hakika nipigo kwa familia, pia ni pigo kwa CCM[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24].
Haya ni matukio mabaya sana yanayoendelea kutokea katika nchi yetu na yanatakiwa kukemewa na kila mwenye akili.
Mkuu ni shabiki wa mboga mbogaPoleni sana ...si vema kuuliza hili swali lakini ningependa kujua ni mshabiki wa chama gani
Mungu amrehemuMkuu ni shabiki wa mboga mboga
Nyanda za Juu Kusini uende nao na akili ya ziada
Wazee waliokuwa mbogamboga wengi wao wamestaafu na siasa au walitwaliwa na Bwana sasa vijana wa fursa wanajitutumua bila kusoma historia
Apumzike mwanetu
Alikuwa anatumia vipodozi?
Ni mwanaccmPoleni sana ...si vema kuuliza hili swali lakini ningependa kujua ni mshabiki wa chama gani
Hapo sifaham mkuuAlikuwa anatumia vipodozi?
Kila nyumba italia msiba kaka. Hakuna immunity hapo.Mkuki ulikuwa ukirushwa kwa nguruwe, sasa unaelekezwa kwa binadamu.
Haya yalisemwa siku nyingi sana mkawa manawakejeli waliokua wakiyasema mkafika mbali zaidi mkasema " wapinzani wana jiteka" sasa vipi??? Na huyo kajiteka????Ndugu wana CCM,
Ndugu yetu, kijana wetu Emmanuel Polykap Mlelwa hatunae tena. Nimepigiwa simu na baba yake mzazi, Diwani mstaafu wa kata ya Madope-Ludewa kuwa ameuwa na watu wasiojulikana eneo la Kibena.
Mwili wake ulihifadhiwa hospitali ya Kibena leo ni siku ya sita ndiyo umetambuliwa.
Hakika nikiwa kama sehemu ya familia, hakika nipigo kwa familia, pia ni pigo kwa CCM[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24].
Haya ni matukio mabaya sana yanayoendelea kutokea katika nchi yetu na yanatakiwa kukemewa na kila mwenye akili.
Atakua amwjiteka na kujikata mapanga kama wale wa chadema
Kiukweli ni kijana niliemjua kwa muda mchache wa mwaka mmoja, na pia alikuwa rafiki yangu na alikuwa kijana aliefanya siasa zake vizuri ila sijui ni nini kimemkuta mpaka sasa sijapata majibu , ulale mahali pema peponi jamaa yangu ,,,emmanuel mlelwa ,,,anyway ngoja tuhudhurie mazishi tupate kupoaNdugu wana CCM,
Ndugu yetu, kijana wetu Emmanuel Polykap Mlelwa hatunae tena. Nimepigiwa simu na baba yake mzazi, Diwani mstaafu wa kata ya Madope-Ludewa kuwa ameuwa na watu wasiojulikana eneo la Kibena.
Mwili wake ulihifadhiwa hospitali ya Kibena leo ni siku ya sita ndiyo umetambuliwa.
Hakika nikiwa kama sehemu ya familia, hakika nipigo kwa familia, pia ni pigo kwa CCM[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24].
Haya ni matukio mabaya sana yanayoendelea kutokea katika nchi yetu na yanatakiwa kukemewa na kila mwenye akili.