Jina?Nimepokea taaria muda huu kuwa mwenyekiti wa UVCCM tawi la vyuo vikuu mkoa wa Iringa ameuawa kwa sababu za kisiasa. Bado taarifa kamili hazijatolewa ila za awali ni kuwa ameuawa baada ya kuvamia mkutano usiomuhusu!
Magufuli alikuwepo mkirushiana mabomu Arusha enzi za Jk?Watu wasiojulikana wameajiriwa na Mwenyekiti wao Saasa unamlaumu Nani? Wewe Kama unataka hao watu waishe ungana na lisu basi hiyo ndio suruhisho la watu wasiojulikana na Kwa taarifa yako usinyione kuwa uko Salama kisa uko Ccm no hao wanauwa pande zote Mkuu, ukikosoa tu wako na wewe, na usiposifia ukanuna wamekudaka, Mimi naawaambia Magufuli kaharibu saana hiii nchi ila hamsikii na bado Sana
GoodWatu wasiojulikana wameajiriwa na Mwenyekiti wao Saasa unamlaumu Nani? Wewe Kama unataka hao watu waishe ungana na lisu basi hiyo ndio suruhisho la watu wasiojulikana na Kwa taarifa yako usinyione kuwa uko Salama kisa uko Ccm no hao wanauwa pande zote Mkuu, ukikosoa tu wako na wewe, na usiposifia ukanuna wamekudaka, Mimi naawaambia Magufuli kaharibu saana hiii nchi ila hamsikii na bado Sana
Acha dawa iingiePoleni kwa msiba mkuu
Ila jaribu kuondoa uccm kwenye uzi wako ili kuepusha bias wakati wa usomaji.
Na alipewa zawadi ya ukuu wa wilaya mojawapo mkoani Arusha!Kumbe kweli hadi jambo likufike ndio ujue uchungu wake. Wakati akina Mawazo wanauawa hatukusikia hizi laana. Nchi iliharibika kitambo mkawa mnakejeli watu wanajiteka. Kuna kijana wa UVCCM Mkoa wa Iringa aliomba ruhusa kwa mwenyekiti wa CCM taifa waruhusiwe wavunje watu miguu au wawauwe kabisa. R.I.P. kijana.
Hao uvccm ni wepesi Kama Maji Ya mlenda tukiamua kuwasilisha adhabu wataisha nchi nzima Kwa Siku tano tu, wapo wachache Sana, wanashindwa Kuelewa kuwa upande wa pili wako wengi ni zaid ya asilimia 80 , wanaowachukia sio chadema Pekee no kuna ACT, kuna na wasio na chama wote hao wakiamua watawapepeta na hata hao polis hawatawasaidia, wao wanadhani polis anaweza kuwalinda had makwao? Tunaweza amua tukawatafuta hata usiku tukawashikisha adhabu na huko ndiko tunakoelekea wasubirie tarehe 28 Kama watajiingiza kumtetea huyo muhutu waoNa alipewa zawadi ya ukuu wa wilaya mojawapo mkoani Arusha!
Kumbe ni lisisiemu 😏
Kijana mdogo tu bado; Rest In Peace
daaa 🙆♂️🙆♂️Alikuwa anatumia vipodozi?
UNYAMA HUU PIA ALIFANYIWA LISSU NA WATANZANIA WENGINE.INASIKITISHA SANA.HATUJUI KESHO NI ZAMU YA NANINdugu wana CCM,
Ndugu yetu, kijana wetu Emmanuel Polykap Mlelwa hatunae tena. Nimepigiwa simu na baba yake mzazi, Diwani mstaafu wa kata ya Madope-Ludewa kuwa ameuwa na watu wasiojulikana eneo la Kibena.
Mwili wake ulihifadhiwa hospitali ya Kibena leo ni siku ya sita ndiyo umetambuliwa.
Hakika nikiwa kama sehemu ya familia, hakika nipigo kwa familia, pia ni pigo kwa CCM[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24].
Haya ni matukio mabaya sana yanayoendelea kutokea katika nchi yetu na yanatakiwa kukemewa na kila mwenye akili.
Kwani hai walikua chama gani??,bado Tupi tunatuma lambilambi kwa akina Akwilina,mawazo,azor,saanane.n.k
Acha wazikane nao pia.cjutii
Ben Saanane, Mawazo, Akwilina RIPNdugu wana CCM,
Ndugu yetu, kijana wetu Emmanuel Polykap Mlelwa hatunae tena. Nimepigiwa simu na baba yake mzazi, Diwani mstaafu wa kata ya Madope-Ludewa kuwa ameuwa na watu wasiojulikana eneo la Kibena.
Mwili wake ulihifadhiwa hospitali ya Kibena leo ni siku ya sita ndiyo umetambuliwa.
Hakika nikiwa kama sehemu ya familia, hakika nipigo kwa familia, pia ni pigo kwa CCM[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24].
Haya ni matukio mabaya sana yanayoendelea kutokea katika nchi yetu na yanatakiwa kukemewa na kila mwenye akili.
Uongo wenu utakuja julikana tu siku. Mungu anawaona. Msijifanye wajanja wa maneno na kuyumbisha Story.Watu wasiojulikana wameajiriwa na Mwenyekiti wao Saasa unamlaumu Nani? Wewe Kama unataka hao watu waishe ungana na lisu basi hiyo ndio suruhisho la watu wasiojulikana na Kwa taarifa yako usinyione kuwa uko Salama kisa uko Ccm no hao wanauwa pande zote Mkuu, ukikosoa tu wako na wewe, na usiposifia ukanuna wamekudaka, Mimi naawaambia Magufuli kaharibu saana hiii nchi ila hamsikii na bado Sana
Sasa unataka useme kuwa watu wasiojulikana wameajiriwa na chadema? Kwa hiyo wako chadema Lakini wakitenda kosa la kuuwa, kukamata na kuteka usalama unakataa kufanya uchunguzi ili kumtetea chadema? Daaah unaumri gani Kwanzaa? Nisije nikawa namaliza bando kumjibu MtotoUongo wenu utakuja julikana tu siku. Mungu anawaona. Msijifanye wajanja wa maneno na kuyumbisha Story.
Ubaya wa CHADEMA unajulikana na matatizo yaliyopo sasa kwenye chama chenu hayo nayo hutaki kuysikia wala kuyaelewa ama kuzungunzia.
Subiri kimbunga kinakuja. Mwogope mtu anaye kaa kimya atakuwa ana mengi anayo yaficha.
Ninauhakika iko siku CHADEMA mtakuja umbuka ile kishenzi.