Joyce joyce
JF-Expert Member
- May 23, 2020
- 457
- 1,973
Labda Kama hujui magufuli ni muuwaji Mkubwa anaajiri magaidi, anaendesha nchi kigaid ipo Siku atatoka AtakionaUongo wenu utakuja julikana tu siku. Mungu anawaona. Msijifanye wajanja wa maneno na kuyumbisha Story.
Ubaya wa CHADEMA unajulikana na matatizo yaliyopo sasa kwenye chama chenu hayo nayo hutaki kuysikia wala kuyaelewa ama kuzungunzia.
Subiri kimbunga kinakuja. Mwogope mtu anaye kaa kimya atakuwa ana mengi anayo yaficha.
Ninauhakika iko siku CHADEMA mtakuja umbuka ile kishenzi.
Kwa style hiyo wataendelea kuomboleza peke yaoUccm ndiyo jadi yao, mtu akifariki wanawahi kufika kwenye msiba na kulifunika jeneza kwa bendera ya chama chao!
Ukweli ni kwamba ccm wanawachukia chadema kuliko chadema tunavyowachukia maccmCCM nao watu ndugu[emoji23]! Hivi CCM wenyewe wanajua kwamba wanachukiwa hivi? Au wanaishi under hallucinations?
Serikali ilikuwa wapi hadi watu wanarushiana mabomu bila uoga ?Magufuli alikuwepo mkirushiana mabomu Arusha enzi za Jk?
Yapi naungana na ww safi sanaKm ni wa ccm ni sawa tu mbona wa upinzani wakiuwawa maccm yanasherehekea!! [emoji848][emoji848]
Maana yake wameendesha ugaid Sana wanahofu kuwa chadema ikiingia madarakani wamekwishaUkweli ni kwamba ccm wanawachukia chadema kuliko chadema tunavyowachukia maccm
To be honest napenda serikali ya chama tofauti ikishika madaraka iwashughulikie wahuni wote , tukianzia na JiweMaana yake wameendesha ugaid Sana wanahofu kuwa chadema ikiingia madarakani wamekwisha
Unajua sasahivi lisu anamiliki mikoa 14 hadi sasa na magufuli 12 ila lisu akiongeza speed kuna mikoa mitatu anaweza pia kumnyanganya magufuli na Zanzibar inaingia Kwa lisu piaTo be honest napenda serikali ya chama tofauti ikishika madaraka iwashughulikie wahuni wote , tukianzia na Jiwe
Nadhani walikuwa wengi wao walikuwa wapenda haki.ila wakazimishwa amigoKwani hai walikua chama gani??
Nyinyi ndio mnafanya wanapata hofu mpaka wako tayari kufanya lolote mradi wasiachie madarakaTo be honest napenda serikali ya chama tofauti ikishika madaraka iwashughulikie wahuni wote , tukianzia na Jiwe
Hawa uvccm si ndio mwenyekiti wao alisema wapinzani wauawe
Tumeishakuambia kuwa hayo mwambie Mwenyekiti wako ndio anaewajua watu wasiojulikana ebbooo, na anawafundisha kuwa wakizingirwa na wananchi Kama ilivyotokea huku tarime tulivyowazingira kumuokoa Peter zakaria wanajisalimisha na kujigeuza kusema kuwa wao ni usalama wa taifa.
Mwenyekiti wenu hajui kuwa huyu ni Ccm wala upinxani yeye ukimpinga Kama kinana na makamba ni kufukuza Halafu anasema kuwa kafukuzwa na Kamati Kuu Wakati kafukuza yeye mwenyewe, ungana na lisu mtaisha nawaambieni haya twende, ulimuona nape jasho lilivyomtoka? Alipoitwa ikulu?