Ndio mnavokaa mnadanganyanaUnajua sasahivi lisu anamiliki mikoa 14 hadi sasa na magufuli 12 ila lisu akiongeza speed kuna mikoa mitatu anaweza pia kumnyanganya magufuli na Zanzibar inaingia Kwa lisu pia
Hivi we mbona unaongea sana, we kama nani kwanza?Unajua Hawa watu ndio dawa yao, wakivamia sisi tuwe tunafanya kweli, tusiogope, haata Mandela aliokoa taifa lake kwa kujitoa lazima mtu akivamia mkutano wetu tunamyooosha hapo hapo asipotepeta tunamfuata huko kwake usiku, maaana tunajuana na tunaishi humu humu wote ndio Dawa yao hao wavuta bangi kudhani kuwa polis wanatembea nao mfukoni
Polisi waanze na waliowaua kina Mawazo, Ben sa8, Azori na wengineo! Akifa wa upinzani huwa mnajifanya hamuoni! R.i. p kijana, sinaga uchungu na ccm kwa kweli!Hivi we mbuzi mbona unaongea usenge sana,we kama nani kwanza?
Kwahiyo mmemuua huyu kijana ili msingizie Ccm?
Jiandae ulipo ukaisaidie polisi pumbavu kabisa
Sasa unabishana na ukweli??.Ndio mnavokaa mnadanganyana.
Naona ameisoma namba, Lissu alisema hakuna aliye salama hawakuelewa sasa they learn the hard way.
Katika hao wanaobishana kuhusu siasa, kuna hata mmoja alikuja kukuomba hela ya chakula wewe unayefanya kazi ?wabongo muda wote mnazungumzia siasa, na kujibishana, kutusiana na kuongea visivyonamaana, Fanyeni kazi mlee familia zenu, siasa zitawamaliza. Au mliambiwa bila siasa hamtaishi!
Waachie wasiachie ilo laoNyinyi ndio mnafanya wanapata hofu mpaka wako tayari kufanya lolote mradi wasiachie madaraka
Kwa kuwa hamna akili hamuelewi
Alitaka kuhama akashughulikiwa ama?RIP maana hii tabia hii ya kuuana kwa sababu ya tofauti za kisiasa imejaa sana zama hiziNdugu wana CCM,
Ndugu yetu, kijana wetu Emmanuel Polykap Mlelwa hatunae tena. Nimepigiwa simu na baba yake mzazi, Diwani mstaafu wa kata ya Madope-Ludewa kuwa ameuwa na watu wasiojulikana eneo la Kibena.
Mwili wake ulihifadhiwa hospitali ya Kibena leo ni siku ya sita ndiyo umetambuliwa.
Hakika nikiwa kama sehemu ya familia, hakika nipigo kwa familia, pia ni pigo kwa CCM[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24].
Haya ni matukio mabaya sana yanayoendelea kutokea katika nchi yetu na yanatakiwa kukemewa na kila mwenye akili.
Sasa hiyo ngumi anamtisha nani, Lissu! Angeachana na CCM yasingemtokea hata na bahati mbaya maisha hayana kuriwaindi.
Waliomtandika Lissu risasi wako wapiHivi wewe dada unajielewa kichwani,kwa huu muandiko wako inaelekea una msongo wa ugumba wa maisha wewe.
Mwenyekiti wako wewe unajua wangapi kawafukuza kwenye chama chake kwa kumpinga tu.
Unaijua historia za zitto kabwe kutoka chadema na kwenda kuanzisha ACT.
Huu ni uzi wa msiba hizo kelele zako kama mwanamke aliokopwa penzi peleka ufipa
Haya sasa wale ambao mlikuwa hamwajui wasiojulikana hao sasa mmeoneshwa na kiongozi wao Mkuu yuko kwenye Gari kasimama juuHawa ndio wasiojulikana
Hivi we mbuzi mbona unaongea usenge sana,we kama nani kwanza?
Kwahiyo mmemuua huyu kijana ili msingizie Ccm?
Jiandae ulipo ukaisaidie polisi pumbavu kabisa
Kwa kuwa ni CCM acha aende.Rip Mwenyekiti. Watu wakatili wamezima ndoto za kijana huyu
Kazi ya bwana yule hainaga makosa.
Kumbe na wewe ni CCM! Nakuombea DDDDKiukweli ni kijana niliemjua kwa muda mchache wa mwaka mmoja, na pia alikuwa rafiki yangu na alikuwa kijana aliefanya siasa zake vizuri ila sijui ni nini kimemkuta mpaka sasa sijapata majibu , ulale mahali pema peponi jamaa yangu ,,,emmanuel mlelwa ,,,anyway ngoja tuhudhurie mazishi tupate kupoa