Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,455
- 73,145
Akiwa Arusha katika mkutano ukumbi wa AICC Mwenyekiti wa UVCCM Kheri James alitoa maelekezo ya kuwashambulia wapinzani wanaoibeza serikali.
Kwa akili yake wapinzani wajibu wao ni kuisifia serikali.
Hata kama Lissu anasema tusameheane, lakini tukio LA Jana kumshambulia Mbowe ni kutokana na hoja hizi hadharani na hatua hazichukuliwi. Lazima hawa tuje tuwawajibishe ili liwe fundisho
Kwa akili yake wapinzani wajibu wao ni kuisifia serikali.
Hata kama Lissu anasema tusameheane, lakini tukio LA Jana kumshambulia Mbowe ni kutokana na hoja hizi hadharani na hatua hazichukuliwi. Lazima hawa tuje tuwawajibishe ili liwe fundisho