Mwenyekiti wa Walimu Wasio Na Ajira (NETO) Joseph Paulo anadaiwa kukamatwa na polisi mkoani Geita

Mwenyekiti wa Walimu Wasio Na Ajira (NETO) Joseph Paulo anadaiwa kukamatwa na polisi mkoani Geita

Hata Alishabab iliinza hivi hivi serikali toeni ajira acheni kununua V8 ilihali vijana wanateseka mtaani.
Watoe ajira zipi tena mkuu, c walimu wanafanya usaili na wanaajiriwa au unataka ajira gn tena?
 
Naomba mfahamu mimi raisi wa chama Cha ma jobless pro max niko salama kabisa.

hao neto sijui neto ni wezi wa sera na jina letu la ma jobless pro max,

Raisi wa chama Cha ma jobless pro max ni Intelligent businessman.
makamu wake ni Bolotoba.

katibu wa ma jobless ni min -me, mratibu wa mipango ni Edo kissy.

Wakili wa ma jobless ni Selikavu
waziri wa mambo ya ndani ni Thecoder, na msemaji wa chama Cha ma jobless pro max ni makutupora.

Kidumu chama Cha ma jobless pro max.
View attachment 3248564
Wana Neto wangepambana kama sisi wenzao kukubali ukweli, mimi kama jobless mwenye degree nimekubali kwenda garage kujifunza, vitu tofauti sahvi naweza kuendesha 👉Ata Costa
👉Bajaji
👉Naweza ufundi wa umeme wa magari
👉Kupaka rangi
👉U-Mc msaidizi

Itabidi waangalie nje ya box
Unaweza kuta wengine walivitupa vipawa vyao, baada ya kupata degree zao and diploma
Waangalie vipaji vyao
 
Labda kuzua taharuki na kusambaza taarifa za uongo mtandaoni. Unajua ukitamka jambo la kitakwimu inabidi uwe makini sana.

Hawa walitakiwa hizo hotuba na maelezo yao yote wapitishe kwenye jopo la mawakili, ili kuangalia madhara na matokeo yake. Hivyo ndio mambo yanapaswa kwenda na sio hivi kwenda kiholela, lazima uzingue tu na unajua Jamhuri haina time na raia mwema (mfuata sheria) tatizo lipo ukijichanganya pahali tu wana wewe.

Huyu jamaa nilimsikiliza kidogo ila nikajua hapa na hapa kazingua na wameruka naye tayari.

Vijana tunataki tujue kuwa tufanye yote ila kamwe tusijaribu kusababisha kitisho kwenye usalama wa hili taifa, utapotea na hakuna atakayejutia. Sasa kutaka kuinua hasira za graduates ni big move inayoitaji akili sana, sio jambo la mchezo au masihara.
Nilijua tu machawa na wajuaji kama nyingi hamuwezi kukosekanaa.
 
Watoe ajira zipi tena mkuu, c walimu wanafanya usaili na wanaajiriwa au unataka ajira gn tena?
Ratio ya graduates na ajira zinazotolewa ni mbingu na nchi...hizo nafasi zote zinajazwa na vyuo vya UDSM, UDOM na SAUT tu, sasa wengine waende wapi, shule za private kutokana na usimamizi mbovu wa serikali wanalipa mpaka laki na nusu, haya ni Matatizo, na hizi Ajira kiduchu kiduchu ndio zinazidi kutia watu Hasira.
 
Ebu kuwa verified user kwanza hapa JF alafu ndio uje tuongee ukiwa jasiri kweli. Unaniita muoga alafu wewe umejificha utambulisho wako, mbona kama hautoshi kuniambia hivyo Mkuu.
Kuwa verified hakuna uhusiano wowote na tunacozungumzia hapa, yapo mengi zaidi ya huo ujingq ulionao unaopelekea tuwe unverified upo we kibanga
 
Nilijua tu machawa na wajuaji kama nyingi hamuwezi kukosekanaa.
Nendeni hapo kituoni mkamsaidieni kijana mwenzenu basi atoke. Nyie mnaongea tu hapa alafu hata chai hamumpelekei hapo kituoni, mnaacha anashughulikiwa na mjomba yake tu.

Kweli mchuma janga, hula na wakwao.
 
Nendeni hapo kituoni mkamsaidieni kijana mwenzenu basi atoke. Nyie mnaongea tu hapa alafu hata chai hamumpelekei hapo kituoni, mnaacha anashughulikiwa na mjomba yake tu.

Kweli mchuma janga, hula na wakwao.
Mijinga kama wewe mpo wengi si ajabu eti na wewe kuna mwanamke au familia inakutegemea
 
Msiwaingilie Mkuu kwakuwa hamuelewi nini wanapitia
Kwani wao pekee ndio wahanga wa ajira?, hata kama wakiwa ni miongoni mwa wahanga hakuna uhalali wa kuvunja sheria yoyote ya nchi.

Uanaharakati bila kujua mifumo inavyofanya kazi ni upuuzi na mwisho wa yote ni maumivu tu.
 
Back
Top Bottom