Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Yeye hata asihangaike kujiuliza Boda.We mchane boda boda mkuu
Mwambie sitaki kukuona na mke wangu
afu kaa kimya nasisitiza kaa kimya hata akisema nini kaa kimya
Anza kufanya mipango yako kimya kimya akiuliza kaa kimya negotiation za Nini Hawa viumbe wapo billion 4 mkuu
Ni sahihi, achukue hatua mapemaAlafu ukiona Unamwambie Mke wako jambo, alafu halifanyi.
Maana yake hauna mamlaka yoyote juu yake.
Ila Mambo yake ya msingi yataenda Kama anataka hio ifanya kaziAtaonekana fara
Mtishie utakunywa sumu.Wakuu hali ni mbaya sana kiupande wangu, Baada kuona Boda Boda amekua ni kiungo kikubwa kwenye maisha yetu, nilianza kutumia njia za busura kumshauri mwenza wangu aache ku deal nae, Nilivyoona Busara haifanyi kazi nikalazimika kujaribu kutumilia nguvu, ILa hapa kwa kweli nimezidi kuvurugika, Shemeji yenu amegoma kabisa kuacha ki deal na huyo mtu. Amenipa makavu uso kwa uso kua hilo jambo haliwezekani, Mana huyo Boda Boda wake yeye anamfaa sana, mambo yake mengi yanakwenda kwa yeye, bila yeye mambo yatavurugika mambo mengi kwahiyo haiwezekani yeye kuacha ku deal nae.
Nashindwa kupata maamuzi sahihi ya kufanya mpaka muda huu, SImu yake ukiitizama kwa siku moja tu simu wanazopigiana na Boda Boda ni zaidi ya 10. NI nyingi mno kuliko tunazopigiana sisi wenyewe. Hatua ya mwanzo najaribu kumzuia kufanya kazi, ila mlolongo umekua mzito sana kwenye hayo masharti yake ya kukubali kuacha kazi. Lakini kivovote vile ni rahisi yeye kumuachisha kazi lakini suala la Boda Boda hata hata majadiliano alishatoa maamuzi ya No.
NImevurugwa mno kwa kweli. Sijui hata nianzie wapi
Wakuu hali ni mbaya sana kiupande wangu, Baada kuona Boda Boda amekua ni kiungo kikubwa kwenye maisha yetu, nilianza kutumia njia za busura kumshauri mwenza wangu aache ku deal nae, Nilivyoona Busara haifanyi kazi nikalazimika kujaribu kutumilia nguvu, ILa hapa kwa kweli nimezidi kuvurugika, Shemeji yenu amegoma kabisa kuacha ki deal na huyo mtu. Amenipa makavu uso kwa uso kua hilo jambo haliwezekani, Mana huyo Boda Boda wake yeye anamfaa sana, mambo yake mengi yanakwenda kwa yeye, bila yeye mambo yatavurugika mambo mengi kwahiyo haiwezekani yeye kuacha ku deal nae.
Nashindwa kupata maamuzi sahihi ya kufanya mpaka muda huu, SImu yake ukiitizama kwa siku moja tu simu wanazopigiana na Boda Boda ni zaidi ya 10. NI nyingi mno kuliko tunazopigiana sisi wenyewe. Hatua ya mwanzo najaribu kumzuia kufanya kazi, ila mlolongo umekua mzito sana kwenye hayo masharti yake ya kukubali kuacha kazi. Lakini kivovote vile ni rahisi yeye kumuachisha kazi lakini suala la Boda Boda hata hata majadiliano alishatoa maamuzi ya No.
NImevurugwa mno kwa kweli. Sijui hata nianzie wapi
Sijui nikuite zuzu au nikuite jina gani? Yaani unakosa busara na akili za kuamua. Hivi mnapata wapi ujinga huu. Fukuza sana sana atakuletea maradhiWakuu hali ni mbaya sana kiupande wangu, Baada kuona Boda Boda amekua ni kiungo kikubwa kwenye maisha yetu, nilianza kutumia njia za busura kumshauri mwenza wangu aache ku deal nae, Nilivyoona Busara haifanyi kazi nikalazimika kujaribu kutumilia nguvu, ILa hapa kwa kweli nimezidi kuvurugika, Shemeji yenu amegoma kabisa kuacha ki deal na huyo mtu. Amenipa makavu uso kwa uso kua hilo jambo haliwezekani, Mana huyo Boda Boda wake yeye anamfaa sana, mambo yake mengi yanakwenda kwa yeye, bila yeye mambo yatavurugika mambo mengi kwahiyo haiwezekani yeye kuacha ku deal nae.
Nashindwa kupata maamuzi sahihi ya kufanya mpaka muda huu, SImu yake ukiitizama kwa siku moja tu simu wanazopigiana na Boda Boda ni zaidi ya 10. NI nyingi mno kuliko tunazopigiana sisi wenyewe. Hatua ya mwanzo najaribu kumzuia kufanya kazi, ila mlolongo umekua mzito sana kwenye hayo masharti yake ya kukubali kuacha kazi. Lakini kivovote vile ni rahisi yeye kumuachisha kazi lakini suala la Boda Boda hata hata majadiliano alishatoa maamuzi ya No.
NImevurugwa mno kwa kweli. Sijui hata nianzie wapi
Au,akimuona anakuja nyumbani,ajiangushe chini na kuanza kusigina miguu mchangani huku analia kwa sauti ya juu.Yani huyu mwanamke amekupanda kichwani kiasi kwamba jambo dogo kama hili limekushinda?
Huyo mwanamke si anaweza kukupiga wewe?
Nakushauri umwambie mara yamwisho kuwa ana muda wa siku moja wa kuchagua kuwa nawewe au kuwa na huyo boda•
Usikubali mwanamke uliye muoa akuendeshe namna hii...hakikisha umembadilikia hadi aone kama yuko jehanamu yani mchimbe mkwara kweli na ikiwezekana muite na huyo boda umchane live.
Acha kulia lia huyu mwanamke mtandike hata vibao inaonekana anakuona wewe mwanamke mwenzie.....
Wanaume wa miaka hii tumepatwa na nini? Hivi kweli karli pitas tuliemsoma kwenye historia au mudijinga mkwawa wakifufuka leo si watatuoa cc wakidhani ni mademu?Wakuu hali ni mbaya sana kiupande wangu, Baada kuona Boda Boda amekua ni kiungo kikubwa kwenye maisha yetu, nilianza kutumia njia za busura kumshauri mwenza wangu aache ku deal nae, Nilivyoona Busara haifanyi kazi nikalazimika kujaribu kutumilia nguvu, ILa hapa kwa kweli nimezidi kuvurugika, Shemeji yenu amegoma kabisa kuacha ki deal na huyo mtu. Amenipa makavu uso kwa uso kua hilo jambo haliwezekani, Mana huyo Boda Boda wake yeye anamfaa sana, mambo yake mengi yanakwenda kwa yeye, bila yeye mambo yatavurugika mambo mengi kwahiyo haiwezekani yeye kuacha ku deal nae.
Nashindwa kupata maamuzi sahihi ya kufanya mpaka muda huu, SImu yake ukiitizama kwa siku moja tu simu wanazopigiana na Boda Boda ni zaidi ya 10. NI nyingi mno kuliko tunazopigiana sisi wenyewe. Hatua ya mwanzo najaribu kumzuia kufanya kazi, ila mlolongo umekua mzito sana kwenye hayo masharti yake ya kukubali kuacha kazi. Lakini kivovote vile ni rahisi yeye kumuachisha kazi lakini suala la Boda Boda hata hata majadiliano alishatoa maamuzi ya No.
NImevurugwa mno kwa kweli. Sijui hata nianzie wapi
Umepata boda boda wako?[emoji16] mkeo ana bodaboda wake??
cc The Boss