Nilitamani sana huu uzi wachangie watu wazima wenye uelewa na mambo haya bahati mbaya hakuna jinsi ya kuwazuia wenye mambo ya kitoto kama wewe. Uko huru kusema loloteSasa hii id nikiona inacomment kwenye post za watu wenye ushababi wao.. ntaona kama mbu anapita kwenye sikio tu.
Ntu Nzima unaandika ujinga Ntupu...
Asante sana mkuu nisingesema nisingejua hili 😀 Hapa kuna usiri wake mkuu ndomana tunafunguka mambo kama haya, ukipeleka mtaani jambo kama hili basi utarajie kutangazwa na vijana kuanza kumfukuzia mkeo kujaribu mzigo ukitiki kwao basi umekwisha.Tatizo dogo Kama hili unalileta hapa mjukuu wangu?
Kwa kuanzia fanya hivi...
Kila simu yako ikiita ichukue fasta ukaongee ukiwa nje au mbali na wife.
Chelewa kurudi.
Thank me later
Nimeona umuhimu wa kufunguka hapa japokuwa kuna changamoto ya watoto kuvamia uzi na kuleta kejeli naona kabisa mwanga, asante sana mkuu. Ni kweli alikuwa na vijiti ametoa mwaka huu baada ya muda wake kuisha sasaivi anatumia vidongeMke wako kama anatumia implant (kijiti cha mkononi) kwa ajili ya uzazi wa mpango mwambie akijtoe kwan sometimes huwa kina suppress libido kwa wanawake. Kile kipindi cha ujauzito alipokuwa hana hamu shida ilikuwa ni ys ki- hormone, so tafuta cause mzee, usimlaumu bure
Point ya kwanza nakutana na hoja za msingi sana, asante sana mkuu.
Kwenye kumridhisha sina shida labda niongeze mbinu za kumfikisha maana nguvu za kiume si tatizo kwangu.
Kuna jambo pia hapa umenifumbua, ukweli sasaivi nimeyumba kidogo kiuchumi. Nilikuwa na tabia ya kumpa kiasi cha pesa kila mwezi kwa matumizi yake binafsi lakini kwa sasa nimepunguza kiwango na kuna mwezi unapita bila bila na hili la kumtoa out naona ni muhimu pia nitalifanyia kazi asipobadilika nafata hatua ya mwisho NATAFUTA
Mi nnachoona ni kwamba wanawake mkishaolewa baada ya mda mnawakinai waume zenu, na sio kwamba ni hamu ya tendo inakata. Vingi vinavyosemwa hapa sijui matunzo, zawadi, outing ni visingizio tuu.mwanamke akishazaa vitu vingi vinabadilika sana wachache waliojalia hawaangukii hapa kwenye mabadiliko ya kimaumbile ile hamu inakata ongezea na njia za uzazi wa mpango ndo kabisa.
Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
thubutu weee wanakwambia mume anaumaSasa wairoga michepuko ya nini jamani....wee unatakiwa ushukuru kuwa wanakupunguzia idadi ya magoli unayofungwa na mumeo
Unalilia mbunye wanaume wa Dar bhana [emoji23][emoji23][emoji23]
Sawa mkuu wacha niongeze juhudi japokuwa kuhusu kumuandaa nipo vizuri huwa namuandaa hadi anasema mwenyewe 'basi weka baba'. Issue ya kamoja na kualala sipo hivyo, wakati nalewa nilikuwa nachelewa sana kumwaga cha kwanza lakini nilikuwa siwezi kuendelea muda huo hadi nipumzike kidogo. Sasaivi nimeacha pombe la kwanza nawahi sana lakini najitahidi hasa akinipa ushirikiano narudi tena fasta round ya pili hapa huwa nachelewa sana hadi ananiomba tupumzike kidogo. Na maranyingi huwa namuuliza kama amefika kabla ya kulalaMkuu pole lakini jitahidi kuongeza utundu na ujuzi wako. Inawezekana anachoka na huduma hafifu kwenye huo mchezo manake wanaume wengi mkishaoa basi maandaliz kwa mke yanakua zero unataka ukishika sekunde tu uchomeke mkuyenge umwage. Jambo ambalo linawakera wanawake wengi sana.
Jitahidi pia kumtimizia mahitaji mengine na pia hata kumtoa out kwenye viwanja vipya mechi huchezwa vizuri sana
😀 😀 😀 😀mwanamke haulizwi kama amefikaaa... utamuona tuu sema mwanamke uchawi hela na kingine mwanaume huwezi kuwa na hela muda wote so kuwa na mwanamke anaekupenda na kukuelewa.Sawa mkuu wacha niongeze juhudi japokuwa kuhusu kumuandaa nipo vizuri huwa namuandaa hadi anasema mwenyewe 'basi weka baba'. Issue ya kamoja na kualala sipo hivyo, wakati nalewa nilikuwa nachelewa sana kumwaga cha kwanza lakini nilikuwa siwezi kuendelea muda huo hadi nipumzike kidogo. Sasaivi nimeacha pombe la kwanza nawahi sana lakini najitahidi hasa akinipa ushirikiano narudi tena fasta round ya pili hapa huwa nachelewa sana hadi ananiomba tupumzike kidogo. Na maranyingi huwa namuuliza kama amefika kabla ya kulala
Kuna madini ya maana sana nakutana nayo hapa leo, nashukuru sana mkuu na pia najishukuru kwa kupata ujasiri wa kupost uzi huuVijana mnakariri vibaya, mwanamke akikosa furaha ys moyo mambo ya kukojoleshwa ni hadithi za abunuasi.
-Jifunzeni kumpa maneno mazuri mwanamke.
- Toa out nzuri mara moja moja.
- msikilize na jadilianeni mambo yenu pamoja.
- ukiwa na uwezo mpe anachohitaji.
Kukojolesha ni hatua ya mwisho kabisa wakati moyo wake umeridhia kupanua mapaja kwa ridhas na fura.
Evelyn Salt njoo ujazie mwalimu wangu
Hili nalo pia jambo la msingi, nafikiri kama anaona kuna changamoto upande wangu zinazomsababishia haya ni vizuri angefunguka pia.It aint normal when sex drive is low...
Bahati mbaya huyo mwanamama haoneshi ushirikiano kwa jamaa, kujaribu kutafuta utatuzi kwa pamoja...
Ungekuwa mke wangu walahi nisingechepuka kamwe. Nikipewa k kwa upendo huwa nafurahi kupita maelezo na chochote utakacho utapataYani nyumbani hamna kero ndogo ndogo, kila kitu kipo levo??? Atateleza hadi aseme basi dada sitaki tena uchhhh niache nipumue
Wazazi wake wote walifariki akiwa mdogo sana amelelewa na kaka yake mkubwa, sina historia yake ya unyanyasaji wa kijinsia labda nichunguze hili.Mimi naomba kuuliza tu huyo mkeo ni kabila gani?
Je ana historia yoyote ya kufanyiwa unyanyasaji wa kijinsia kabla hamjaoana?
Kumbeee....mnataka kumilikiwa lakini kwa nini mnaletaga maringo tukiwatakathubutu weee wanakwambia mume anauma
Last week nilikuwa safari nimefika nyumbani Jumapili jioni sikujali uchovu wangu nikaomba mzigo ndio nikajua yupo kwenye siku zake. Hatahivyo siku zake zimevurugika sababu ya matumizi ya dawa za uzazi wa mpango.Mkeo yuko kwenye siku zake na wewe hujuI..hayo mahusiano yana shida kubwa zaidi ya tendo la ndoa
Kingine kumbuka kwenye nyuzi kama hizi watu wengi hua hawasemi ukweli wa tatizo lilipo, hasa hasa wanawake wanapenda kuji defend na kuhamishia tatizo kwa mwanaume kwamba ooh hanibembelezi, ooh hanitoi out, ooh hanipi zawadi nk.Nimeona umuhimu wa kufunguka hapa japokuwa kuna changamoto ya watoto kuvamia uzi na kuleta kejeli naona kabisa mwanga, asante sana mkuu.
pruuu hadi makaYani nyumbani hamna kero ndogo ndogo, kila kitu kipo levo??? Atateleza hadi aseme basi dada sitaki tena uchhhh niache nipumue