Mwenzako akinyolewa wewe zako tia maji

Mwenzako akinyolewa wewe zako tia maji

Food Security= National Security
Vetting ifanyike sana Kwa anateuliwa Kulead Hio Ministry mpaka Mkuu kuunda Tume maalumu ya Kumshauri kuhusu mambo ya Msosi hio inatoa Red alarm, Theory Nyingi kwenye Chakula zitatukwisha, Mtu mwenye njaa ya Chakula hatawaliki
 
Wewe unaangalia orodha gani ya nchi masikini zinazodaiwa sana na TANZANIA haimo! Do not give yourself phsycological food, soon this country is going to default on its debt payment like its neighbour to the south! Serikali haitaki watu wafahamu hilo ndio maana wapambe wao wanawaomba wananchi wawaombee.
Labda, mikopo itakayo mature iwe ili ya kijinga ya awamu ya tano, maana alizuiwa, kwa sera mbovu, akawa anakopa bila mpangilio kwa kulazimisha na mariba makubwa ya kibenki, full of nonsense!
 
Igweeeeeeeee! Tetesi ni kwamba Watanzania tujiandae kisaikolojia na kama vile wahenga walivyowahi sema "Ukiona mwenzako ananyolewa basi wewe zako tia maji".

Ndugu za Watanzania, hapo nchi jirani pametokea jambo la kushangaza kidogo. Jambo ambalo kama ukiliangalia kwa jicho la tatu huwezi kusita kusema na mimi yanipasa kujianda kama Mtanzania. Kuna mambo yaweza kuwa ya kawaida ila kuna mambo yaweza kuwa sio ya kawaida katika Taifa na hatupaswi kufunga macho na kuimba mapambio wakati mambo sivyo kama yalivyo.

Samahani sitaki kumtaja jina, ila kwa mara ya kwanza nimesikia kiongozi mmoja mkubwa mstaafu alikisema tumuombe Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. Mimi moyoni nikasema Mh! Ni masikio yangu au naota? Well nikasema sina cha kushangaa ila najua yalishasemwa na wenye macho ya kuona mbele ya Taifa hili ila wakakejeliwa na kwa busara zao wakasema endeleeni.

Kiufupi, hawa ni miamba isiotikisika wala kutafuta
kupeleka bakuli ikulu kuomba msaada, either kwa watoto wao au familia zao. Nembo yao ni Jamuhuri, damu yao ni Jamuhuri chakula chao ni Jamuhuri na malazi yao ni Jamuhuri.

Kuna watu wapo usingizi wa pono ila huko vijijini wameuza mpaka na makopa ya mihogo na mtama, yaani hamna kitu. Mtu mmoja kwa tambwe kubwa amelifikisha Taifa kwenye mahali hakuna wakusema neno ila nikilio tu.

Unauza chakula cha familia kwa jirani tena kwa bei ndogo halafu unaenda kukinunua kwa Dola mbali zaidi, then unakuja kukiuza kwa bei ya chini ili watu wako wasife njaa! Halafu mtu bado ako ofisini anajiona Genius! Serikali ipo, Rais yupo, bunge lipo na usalama wapo. Sawa nisiandike sana.

Mataifa ya jirani wana njaa, hawana ukwasi kwenye serikali zao, na watu hawana nguvu ya kununua kiasi Taifa moja hata magari watu wameshindwa kununua, jambo ambalo limefanya wanunuzi kutekeleza magari bandarini. Sio hilo tu maisha yamepanda kiasi hata mishahara serikali ameshindwa kulipa kwa miezi mitatu, na sio hivyo tu serikali imesema ikiona vipi watapunguza watumishi.

Tofauti na nchi ya Kusadikika, data sio mali ya wananchi wala hakuna jicho la tatu kuangalia ukwasi na mali ya wana kusadikika kutokana na sababu ambazo zipo nje ya uwezo wa wana kusadikika.

Hakuna jicho la tatu katika chungu, hivyo akikwambia ana pesa wewe unakubali mwanakusadikia lakini ikumbukwe uchumi sio siasa na kamwe haiwezi kuwa siasa. Ila siasa nzuri zinaendana na uchumi mzuri japo siasa chafu huaribu uchumi.

Wanakusadikika msifikiri/asifikiri kile kimetokea nyumba ya jirani hakitowakut!a Ni dhahiri shahiri kujianda, tena kujiandaa sasa sio kesho.

Tetesi zinaonyesha hilo Taifa la klKusadikika ndio linalofuata, wala hupaswi kubeza maneno haya. Najua Wanakusadikika macho yao yapo Mei Mosi japo huenda nyota wa Kusadikika asiwepo kwenye hizo sherehe na kutuma mwakilishi.

Tetesi zinasema kwamba Wanakusadikika wanasubiri kwa hamu kuongezewa mishahara ila ukweli ni kwamba huenda, naomba msininukuu, huenda hilo lisiwepo kutokana na sababu siwezi ziandika hapa kutokana na bado hazijakuwa wazi katika tetesi hizi.

Wanakusadikika wanashauriwa ni lazima wajiandae Kisaikolojia kama wenzao nchi ya jirani, tena wao kilio chao kitakuwa cha ndani kwa ndani maana hakuna chombo kitarusha habari ya ndani ya Kusadikika kama vile hakuna chombo kinajua habari ya chungu.

Tetesi zinasema kwamba Wanakusadikika wajiandae kwa kuweka vyakula na kupunguza matumizi yasio ya lazima. Wanakusadikika wanashauriwa kusikiliza Vyombo vya Habari na kufungua akaunti kwa wingi JamiiForums, maana jogoo atakapowika mara ya kwanza mpaka ya tatu taarifa hiyo itavuja kwa mara ya kwanza kwenye mtandao wa JamiiForums.

Mwisho, Wanakusadikika wanashauriwa kuto sadiki kila kitu na akili yakuambiwa wachanganye na za kwao.😭🙏🙏🙏📜✉️📨🤐🤐🤐
Asante kwa taarifa!!

Kuna mbinyo wa njaa kali miaka mitatu na nusu huko mbeleni!!na hayo yataanza hivi karibuni!

Wapigaji wanapiga sana kama hawatopiga tena!

Maamuzi mabovu kunako wizara ya chakula yataligharimu taifa!

Nimeandika sana hilo serikali ifunge mipaka hata haikusikia kabisa!!

Ngoja ninunue chakula cha kutosha niweke ndani!!

Mungu ibariki TANZANIA!!
 
Kuna mtu alikuwa anafanya siasa kwenye chakula na matokeo tayari yapo hadharani, jana nimepita sokoni mchele kilo 3,700/=, sembe kilo 5 kwa mangi elfu 11, chakula kinaenda kuwa anasa kama kwa majirani ambapo bei ya unga ni moja ya ajenda ya maandamano.
 
Yule alisema tumuombee.... Ili utulivu uendelee kuwepo, nikabaki kukuna KICHWA....

Hivi, mwenye njaa ya kumkaribia kufa,anapataje utulivu!!!!!

Pia 2023 recession imetabiriwa kuzikumba Nchi nyingi duniani,

Cha kushangaza Badala ya kukopa kuimarisha Uchumi, pesa zinaibwa tena.

Hayana budi Kutokea kama yalivyotabiriwa.
 
Igweeeeeeeee! Tetesi ni kwamba Watanzania tujiandae kisaikolojia na kama vile wahenga walivyowahi sema "Ukiona mwenzako ananyolewa basi wewe zako tia maji".

Ndugu za Watanzania, hapo nchi jirani pametokea jambo la kushangaza kidogo. Jambo ambalo kama ukiliangalia kwa jicho la tatu huwezi kusita kusema na mimi yanipasa kujianda kama Mtanzania. Kuna mambo yaweza kuwa ya kawaida ila kuna mambo yaweza kuwa sio ya kawaida katika Taifa na hatupaswi kufunga macho na kuimba mapambio wakati mambo sivyo kama yalivyo.

Samahani sitaki kumtaja jina, ila kwa mara ya kwanza nimesikia kiongozi mmoja mkubwa mstaafu alikisema tumuombe Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. Mimi moyoni nikasema Mh! Ni masikio yangu au naota? Well nikasema sina cha kushangaa ila najua yalishasemwa na wenye macho ya kuona mbele ya Taifa hili ila wakakejeliwa na kwa busara zao wakasema endeleeni.

Kiufupi, hawa ni miamba isiotikisika wala kutafuta
kupeleka bakuli ikulu kuomba msaada, either kwa watoto wao au familia zao. Nembo yao ni Jamuhuri, damu yao ni Jamuhuri chakula chao ni Jamuhuri na malazi yao ni Jamuhuri.

Kuna watu wapo usingizi wa pono ila huko vijijini wameuza mpaka na makopa ya mihogo na mtama, yaani hamna kitu. Mtu mmoja kwa tambwe kubwa amelifikisha Taifa kwenye mahali hakuna wakusema neno ila nikilio tu.

Unauza chakula cha familia kwa jirani tena kwa bei ndogo halafu unaenda kukinunua kwa Dola mbali zaidi, then unakuja kukiuza kwa bei ya chini ili watu wako wasife njaa! Halafu mtu bado ako ofisini anajiona Genius! Serikali ipo, Rais yupo, bunge lipo na usalama wapo. Sawa nisiandike sana.

Mataifa ya jirani wana njaa, hawana ukwasi kwenye serikali zao, na watu hawana nguvu ya kununua kiasi Taifa moja hata magari watu wameshindwa kununua, jambo ambalo limefanya wanunuzi kutekeleza magari bandarini. Sio hilo tu maisha yamepanda kiasi hata mishahara serikali ameshindwa kulipa kwa miezi mitatu, na sio hivyo tu serikali imesema ikiona vipi watapunguza watumishi.

Tofauti na nchi ya Kusadikika, data sio mali ya wananchi wala hakuna jicho la tatu kuangalia ukwasi na mali ya wana kusadikika kutokana na sababu ambazo zipo nje ya uwezo wa wana kusadikika.

Hakuna jicho la tatu katika chungu, hivyo akikwambia ana pesa wewe unakubali mwanakusadikia lakini ikumbukwe uchumi sio siasa na kamwe haiwezi kuwa siasa. Ila siasa nzuri zinaendana na uchumi mzuri japo siasa chafu huaribu uchumi.

Wanakusadikika msifikiri/asifikiri kile kimetokea nyumba ya jirani hakitowakut!a Ni dhahiri shahiri kujianda, tena kujiandaa sasa sio kesho.

Tetesi zinaonyesha hilo Taifa la klKusadikika ndio linalofuata, wala hupaswi kubeza maneno haya. Najua Wanakusadikika macho yao yapo Mei Mosi japo huenda nyota wa Kusadikika asiwepo kwenye hizo sherehe na kutuma mwakilishi.

Tetesi zinasema kwamba Wanakusadikika wanasubiri kwa hamu kuongezewa mishahara ila ukweli ni kwamba huenda, naomba msininukuu, huenda hilo lisiwepo kutokana na sababu siwezi ziandika hapa kutokana na bado hazijakuwa wazi katika tetesi hizi.

Wanakusadikika wanashauriwa ni lazima wajiandae Kisaikolojia kama wenzao nchi ya jirani, tena wao kilio chao kitakuwa cha ndani kwa ndani maana hakuna chombo kitarusha habari ya ndani ya Kusadikika kama vile hakuna chombo kinajua habari ya chungu.

Tetesi zinasema kwamba Wanakusadikika wajiandae kwa kuweka vyakula na kupunguza matumizi yasio ya lazima. Wanakusadikika wanashauriwa kusikiliza Vyombo vya Habari na kufungua akaunti kwa wingi JamiiForums, maana jogoo atakapowika mara ya kwanza mpaka ya tatu taarifa hiyo itavuja kwa mara ya kwanza kwenye mtandao wa JamiiForums.

Mwisho, Wanakusadikika wanashauriwa kuto sadiki kila kitu na akili yakuambiwa wachanganye na za kwao.😭🙏🙏🙏📜✉️📨🤐🤐🤐
Hatutashangaa,ukishirikiana na Shetani,na wewe lazima utakuwa na tabia za kishetani.Mimi bado najiuliza hivi kwa nini Kamala Harris aliitembelea Tanzania?Maana kama yanayotokea Marekani ndiyo wanayotaka yatokee Tanzania,tumekwisha.
 
Hiyo nchi ya jirani rais aliyondoka madarakani hakuacha akiba yoyote zaidi ya madeni yaliyoiva na lazima yalipwe kutokupoteza credit worthness halafu mambo yaendelee , hailingani na hali ya Bongo.
Kama ni mishara miaka mingapi Nduli hakuongeza na tupo tuu
 
Labda, mikopo itakayo mature iwe ili ya kijinga ya awamu ya tano, maana alizuiwa, kwa sera mbovu, akawa anakopa bila mpangilio kwa kulazimisha na mariba makubwa ya kibenki, full of nonsense!

Samia toka ameingia muda wa miaka miwili amekopa kiasi gani na kwa masharti yapi? Unaijua mikataba aliyo sign Rostam AZIZ alipoongozana nae kule U.S.A ilikuwa ni ya nini? Kukaa pembeni wakati Rostam ana sign ile mikataba maana yake yeye kama RAIS{ na hivyo Nchi] ndio inatoa guarantee ya hiyo mikataba!! Iwapo kutatokea lolote nchi ndio itabeba huo mzigo!!
Samia ni lazima awe muangalifu na hii mikataba kwani kuna vipengele nyeti huwa vinafichwa kwa kuandikwa kwa herufi ndogo hivyo kuwa vigumu kuvisoma na hivyo ndio baadae nchi inalazimika kulipa fidia kubwa sana mambo yakiharibika!
 
Tuwaite wakuu 'MTAZAMO, JITEGEMEE na wengieo zaidi ya wanne walio'penda' yaliyoandikwa hapo waje watoe ufafanuzi wa taarifa za majungu kama hii.

Huyu mwandishi anajulikana kwa habari za kizushi zisizokuwa na msingi wowote, tena anazungukazunguka sana kupoteza lengo hata katika taarifa hizo za kizushi.

Ni kupoteza muda tu kusoma takataka za namna hii.
Lakini Jukwaa hili linakuwa Jukwaa kutokana na uwepo wa watu wa aina hii.
Kalamu Asante.
 
Bingwa wa hekaya za Juma na Uledi katika ubora wake, usipokuwa makini unaweza kumuita nabii lakini ni Mzee wa kamba hajawahi kutokea.
20230423_064931.jpg
 
Je asilimia kubwa ya msosi ktk nchi hiyo ya Kusadikika unanunuliwa nje au unatoka mashambani mwa wananchi?
 
Back
Top Bottom