Mwezi mmoja wa Ndoa Sasa Tangu niolewe na mwanaume ambaye nilimpata kupitia JF

Kweli mkuu kwan sio kila mtu anatabia za kihuni wngn hawana muda wakutongoza mitaani hivyo anapat muda wakuzungumza na watu wamitndaon akiamn atapat mtu sahih ila nawengn sio wema hivyo tuwe makin tu
 
Alafu huyo jamaa inaelekea hakuwepo kwenye kile kikao cha wajumbe eehhhh...😕 Maana hatukua tumekubaliana hivi...😎
 
Huu mrejesho uwe chachu kwa wadada wengine wasibadili ID wakija kwa hili swala.

Ila wakuu tuwe tu naanza na neno habari alafu lifuate jina na tumalizie na tunapoishi zaidi ya yote iwe Dar [emoji23]
 
Naona wadau wamempa vitisho dada wa watu akaamua kuutelekeza uzi wake...mabaharia sio watu wazuri!

Nasiche rudi shem kwenye uzi.
 
All the best

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Aisee ongera sana, JF ni nzuri sana ukiitumia vyema kuna kila aina ya watu humu, ngoja nitoe kamkasa changu kidg kipindi natafuta kaz humu nilifanikiwa kuitwa moja ya interview zangu huko utumishi kiukwel nilikuwa sijui chochote ilinibid niingie jukwaa la ajira na kaz nilifukunyua lile jukwaa huwez amin nilipata nondo zote mtian wote ulikuwa JF, nini namaanisha hapa tutumie vzur jf inafaida sana wananzengo wenzangu pia siku moja nitauanzisha uzi tuombe uzima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…