Huenda 2019 ndio alimtumia SMS ila hakumjib ila alipofuatilia comments zake akaona atest tena jamaa akajaa bac akamfungulia moyo huo mwak 2020Tunataka aweke mambo sawa....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huenda 2019 ndio alimtumia SMS ila hakumjib ila alipofuatilia comments zake akaona atest tena jamaa akajaa bac akamfungulia moyo huo mwak 2020Tunataka aweke mambo sawa....
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Ana weeks anaanza kutupigia kelele; Mimi mpaka ndoa Ina miaka 10 ilikuwa paradise; sasa hivi nakaangika
Kweli mkuu kwan sio kila mtu anatabia za kihuni wngn hawana muda wakutongoza mitaani hivyo anapat muda wakuzungumza na watu wamitndaon akiamn atapat mtu sahih ila nawengn sio wema hivyo tuwe makin tuAchana na huyo nahisi ana wivu hizo changamoto za kawaida, la msingi nikupongeze sana kwa hatua hiyo,zaidi nafurahi kuona JF inazidi kuaminika. Umefanya jambo jema sana kuleta mrejesho na iwe funzo kwa mabinti/vijana wengine wasikariri kuwa wote waliomo JF ni waongo au wahuni kuna wengi wenye dhati ya moyo kwa kila wanachokisema na kukitenda. Nakutakia ndoa yenye kila mafanikio
Watu wanamakasiriko na maisha yaoTutafika paradiso tumekata moto.
Eeeh tusipojipa promo nani atatupa?[emoji1] [emoji1] naona promo imeanza
Namtakia kila la kheriHuenda 2019 ndio alimtumia SMS ila hakumjib ila alipofuatilia comments zake akaona atest tena jamaa akajaa bac akamfungulia moyo huo mwak 2020
Ngumu sana inasikitisha.Naona watu badala ya kutoa pongezi wanatoa vitisho...nchi ngumu hii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aisee! Nchi ngumu sana hii, na unaweza kuta ni dume anainjoy wanajf.
Hawez na hatakaa ajibu, humu akili kubwa zishamdaka uongo wake kakimbiaHata mimi nimeona kabisa bado anajifariji ndio mana baadhi ya koment za kuhoji hajibu anajibu tu za hongera
Hongera sana bana achana nae huyoSo una taka kusema nimekosea kuwapa mrejesho?
Uto kama Uttoh,,, ni mbaya jamaangu?Ana weeks anaanza kutupigia kelele; Mimi mpaka ndoa Ina miaka 10 ilikuwa paradise; sasa hivi nakaangika
All the bestSeptember 28 ,2019 nikiwa nimekosa uelekeo wa maisha ya kimahusiano nilikuja hapa jukwaani ,Nikasema natafuta Mume ,kiukweli uhitaji nilikiwa nao lakini sikuwa naamini kama huku nitapata mtu,pili niliogopa ningeonekana kuhuni au kutoaminika so ilikuwa kama njia TU ya kujiondolea stress walikuja watu wengi sana Pm Kwa sababu sikuweka vigezo hivyo sikuweza kumjibu yeyote.Niliamuwa kupost tena na kuchanganua nini nataka ,wapo wengi sana walinifata tena ,nilikuwa napitia post ya mtu mmoja baad ya mwingine katika wote nilijibu post Moja tu nayo iliandikwa hivi
Habari Mimi naitwa Frank nipo Dar naomba tufahamiane
Hii post ilikamata Moyo Wangu Kwa namna ambayo sikujuwa Kwa nini nilimjibu na baada ya siku kadhaa alireply ,tukapeana mawasiliano tukaonana.
Nilipomuona tu, nilijuwa nimemuona mume wangu, uwiiii he was so romantic,he was so caring he was so humble , handsome na Kila kitu (pita kwenye post zangu za nyuma).
Tumekaa kwenye mahusiano Toka 2019 mpaka tarehe 13/11/2021 tulipofunga pingu za maisha.
Nina mwezi mmoja Sasa kwenye Ndoa Namshukuru sana Mungu,Kwa kunipa mume mwenye Hofu ya Mungu na mwenye mapenzi ya dhati.
Mume wangu najuwa upo busy lakini Kuna siku utasoma huu ujumbe nashukuru Kwa kuniamini , nashukuru Kwa kunipenda nashukuru Kwa kuniowa.Isingekuwa rahisi kuaminika.
Moral of the story:Mtandaoni Kuna watu waongo ,waharibifu na walioshindikana lakini pamoja na hayo Kuna watu waaminifu na wazuri sana ,inakutaka kutulia kumuomba Mungu kabla ya kujiingiza kwenye mahusiano ya Mtandaoni.
Asante kama una swali uliza ,nipo free Leo nitamjibu kila mtu.
#Ukipitia post zangu za nyuma utaweza kuelewa zaidi.
Aisee ongera sana, JF ni nzuri sana ukiitumia vyema kuna kila aina ya watu humu, ngoja nitoe kamkasa changu kidg kipindi natafuta kaz humu nilifanikiwa kuitwa moja ya interview zangu huko utumishi kiukwel nilikuwa sijui chochote ilinibid niingie jukwaa la ajira na kaz nilifukunyua lile jukwaa huwez amin nilipata nondo zote mtian wote ulikuwa JF, nini namaanisha hapa tutumie vzur jf inafaida sana wananzengo wenzangu pia siku moja nitauanzisha uzi tuombe uzimaSeptember 28 ,2019 nikiwa nimekosa uelekeo wa maisha ya kimahusiano nilikuja hapa jukwaani ,Nikasema natafuta Mume ,kiukweli uhitaji nilikiwa nao lakini sikuwa naamini kama huku nitapata mtu,pili niliogopa ningeonekana kuhuni au kutoaminika so ilikuwa kama njia TU ya kujiondolea stress walikuja watu wengi sana Pm Kwa sababu sikuweka vigezo hivyo sikuweza kumjibu yeyote.Niliamuwa kupost tena na kuchanganua nini nataka ,wapo wengi sana walinifata tena ,nilikuwa napitia post ya mtu mmoja baad ya mwingine katika wote nilijibu post Moja tu nayo iliandikwa hivi
Habari Mimi naitwa Frank nipo Dar naomba tufahamiane
Hii post ilikamata Moyo Wangu Kwa namna ambayo sikujuwa Kwa nini nilimjibu na baada ya siku kadhaa alireply ,tukapeana mawasiliano tukaonana.
Nilipomuona tu, nilijuwa nimemuona mume wangu, uwiiii he was so romantic,he was so caring he was so humble , handsome na Kila kitu (pita kwenye post zangu za nyuma).
Tumekaa kwenye mahusiano Toka 2019 mpaka tarehe 13/11/2021 tulipofunga pingu za maisha.
Nina mwezi mmoja Sasa kwenye Ndoa Namshukuru sana Mungu,Kwa kunipa mume mwenye Hofu ya Mungu na mwenye mapenzi ya dhati.
Mume wangu najuwa upo busy lakini Kuna siku utasoma huu ujumbe nashukuru Kwa kuniamini , nashukuru Kwa kunipenda nashukuru Kwa kuniowa.Isingekuwa rahisi kuaminika.
Moral of the story:Mtandaoni Kuna watu waongo ,waharibifu na walioshindikana lakini pamoja na hayo Kuna watu waaminifu na wazuri sana ,inakutaka kutulia kumuomba Mungu kabla ya kujiingiza kwenye mahusiano ya Mtandaoni.
Asante kama una swali uliza ,nipo free Leo nitamjibu kila mtu.
#Ukipitia post zangu za nyuma utaweza kuelewa zaidi.