Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yale Yale ya mwenzetu wa mwongozo[emoji4]
Naona watu badala ya kutoa pongezi wanatoa vitisho...nchi ngumu hii
Balaaa yani watu wanajikuta hawapendi tuuNaona watu badala ya kutoa pongezi wanatoa vitisho...nchi ngumu hii
Naomba niwe sababu ya ndoa yako kuvunjika (mchepuko wako)September 28 ,2019 nikiwa nimekosa uelekeo wa maisha ya kimahusiano nilikuja hapa jukwaani ,Nikasema natafuta Mume ,kiukweli uhitaji nilikiwa nao lakini sikuwa naamini kama huku nitapata mtu,pili niliogopa ningeonekana kuhuni au kutoaminika so ilikuwa kama njia TU ya kujiondolea stress
Tumuache Kwanza, tusimwambie chochote bado yupo honeymoonTathimini ya ndoa unaweza ifanya ndani ya miezi 2 au mmoja ?? Hapa sijakuelewa ..lakini hongera
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole mkuuAna weeks anaanza kutupigia kelele; Mimi mpaka ndoa Ina miaka 10 ilikuwa paradise; sasa hivi nakaangika
Hakika, hongera nyingi kwao
Achana na huyo nahisi ana wivu hizo changamoto za kawaida, la msingi nikupongeze sana kwa hatua hiyo,zaidi nafurahi kuona JF inazidi kuaminika. Umefanya jambo jema sana kuleta mrejesho na iwe funzo kwa mabinti/vijana wengine wasikariri kuwa wote waliomo JF ni waongo au wahuni kuna wengi wenye dhati ya moyo kwa kila wanachokisema na kukitenda. Nakutakia ndoa yenye kila mafanikioSo una taka kusema nimekosea kuwapa mrejesho?
Achana na huyo nahisi ana wivu hizo changamoto za kawaida, la msingi nikupongeze sana kwa hatua hiyo,zaidi nafurahi kuona JF inazidi kuaminika. Umefanya jambo jema sana kuleta mrejesho na iwe funzo kwa mabinti/vijana wengine wasikariri kuwa wote waliomo JF ni waongo au wahuni kuna wengi wenye dhati ya moyo kwa kila wanachokisema na kukitenda. Nakutakia ndoa yenye kila mafanikio
Kushukuru hakujlhitaji miaka 10 mkuu,Mapema mno subiri miaka 10 ndio utasema
Hongera sana kwa kupata hi itaji la moyo wako,
Sema na nyie mnaopata wapenzi humu, kwann msiwe mnatualika sisi members/mods tujumuike pamoja Kwenye izo harus zenu?
Hongera sana kwa kupata hi itaji la moyo wako,
Sema na nyie mnaopata wapenzi humu, kwann msiwe mnatualika sisi members/mods tujumuike pamoja Kwenye izo harus zenu?
Very wise.Sawa,lakini ni vizuri kuishi leo
Tutafika paradiso tumekata moto.Naona watu badala ya kutoa pongezi wanatoa vitisho...nchi ngumu hii