Mwezi wa Ramadhan: Zifahamu faida za kisayansi za kufunga kula chakula wasizozifahamu wafungaji

Ah sasa kam mpaka forty ndio madhara yanakuwa basi hapo umenidhibitishia kuwa hizi somjo. Mtu nina 42 nagonga mbususu vilivyo tena double double na nakimbia 5km mara tatu kwa wiki.
Mzeya each one is unique
 
Ah sasa kam mpaka forty ndio madhara yanakuwa basi hapo umenidhibitishia kuwa hizi somjo. Mtu nina 42 nagonga mbususu vilivyo tena double double na nakimbia 5km mara tatu kwa wiki.
Mzeya each one is unique
Endelea kujidanganya, huwezi kwenda haja kubwa mara moja kwa siku halafu ujiite una afya njema ya kufa mtu, nonsense.
 
Endelea kujidanganya, huwezi kwenda haja kubwa mara moja kwa siku halafu ujiite una afya njema ya kufa mtu, nonsense.
Wee bwana ingekuwa hivyo watu wangekufa na miaka 20...tena africa ndio ata miaka mitatu tusingefika
 
♦️Hivyo kwa mujibu wa hili gazeti uliloandika ambalo limejaa maneno ya propaganda ya kidini wanazomezeshwa watoto wadogo unamaanisha

♦️Kwamba wanaofunga ndio wanaishi maisha marefu zaidi hapa Tanzania?

♦️Kwamba kwa faida hizo kedekede ambazo natambua kuwa 90% ya waislamu hufunga , hivyo waliojaa mahospitalini kwa magonjwa mbalimbali ni wasio waislamu pekee?
 
Wee bwana ingekuwa hivyo watu wangekufa na miaka 20...tena africa ndio ata miaka mitatu tusingefika
Sawa lakini ni kweli pia kuwa watu wanaopata magonjwa kansa, damu na moyo ni wengi sana pia, Ni kweli pia kuwa watu wanaokosa nguvu za kiume, kisukari na uzito mkubwa ni wengi, ni kweli pia kuwa watu wanaokufa ghafla ni wengi kwenye jamii. Inshallah na wewe iko siku utaungana nao. Kwani fomular ya kunenepesha kuku, ngurume, ng'ombe na wanyama wengine inafahamika kwa watu wengi, haitofautiani sana na namna unavyosema unakula wewe.
 
Mie mbona sijajinenepea hovyo mzeya...wee tukubaliane kutokukubaliana basi
 

Hiyo ni ngumu kutoa hitimisho kuhusu hili lakini, Fanya utafiti wako mdogo utagundua kitu, Mfano, Mzee Mwinyi anafunga yupo, Mzee Kikwete anafunga nae yupo. Kifo kinaweza kusababishwa na mambo mengi lakini ulaji wa vyakula na mtindo wa maisha vinachangia sana sana sana.
 
Mie mbona sijajinenepea hovyo mzeya...wee tukubaliane kutokukubaliana basi
kama hujanenepeana sana basi mshukuru mungu kuwa unachokula kinatumika chote kwa kazi za mwili, kama siku utashindwa kutumia chakula chote ulichokula basi rudi kwenye uzi huu upate majibu yako
 
Kwa hiyo hao viongozi ndio wenye umri mkubwa kuliko watanzania wote?
 
Kwa hiyo hao viongozi ndio wenye umri mkubwa kuliko watanzania wote?
hapo nimetoa mfano/sample ndogo tu unaofahamika kwa wengi ambao hatutabishana sana. Lakini hata waislamu kuna wanaokula kizembe sana hata kama wanafunga. Lakini amini usiamini kula nyama na wanga pamoja, vinywaji baridi, sukari nyingi, chumvi n Mafuta ni kosa kubwa la kiafya
 
Ah sasa kam mpaka forty ndio madhara yanakuwa basi hapo umenidhibitishia kuwa hizi somjo. Mtu nina 42 nagonga mbususu vilivyo tena double double na nakimbia 5km mara tatu kwa wiki.
Mzeya each one is unique

‘Test your servants please, for ten days, and let us have vegetables to eat and water to drink. And then see how we look and how the boys look who are eating the king’s food, and on the basis of what you see decide what you do with your servants.’

Book of Daniel 1:12-16
 
Kwa hiyo nisile nyama ama?
 
Kwa hiyo hao viongozi ndio wenye umri mkubwa kuliko watanzania wote?
Naomba unitafutie wazee 3 tu mtaani kwako ambao wana miaka 70 wenye vitambi.

Mzee binadamu anamalizwa na ulaji mbaya wa vyakula, nyama, sukari, mafuta, chumvi na vinywaji baridi ndio adui mkuu wa afya na umri wake. Kumbuka hata wanyama porini wanaishi bila kuhudhuria hospitali kwakuwa hawachanganyi vyakula, hawali sukari, chumvi wala kunywa maji baridi.

Hata ng'ombe ukitaka anenepe na kuwa kuwa mgonjwa mchanganyie nyama, sukari, mashudu na majani kwenye chakula chake.
 
Wewe unaumwa au hujawahi kusafiri, nikupe kazi rahisi tengeneza safari ya vijiji vya kilamanjaro na Arusha , kule ambako nguruwe ndio nyama yao ya asili na vinjwaji vyao ni mbege na bia , tembelea kila nyumba yenye babu , uwaone kwanza walivyo , hutohitaji kuuliza umei wao, wapo wazee kibao wana miaka 120 + na wanadunda
 
Jibu maswali haya tafadhali

1. Je, Wanakula hiyo nyama ya nguruwe pamoja na ugali/wali?
2, Je, wanakula kila siku?
3. Je, baada ya kula wanakwenda kufanya kazi gani?
4, Je, wana vitambi?
5. Je, nguvu zao za kiume wanazo za kutosha? (waulize wake zao tafadhali swali hili ili upate ukweli)
6, Je, wanakula kiasi gani (kilo) hiyo nyama?
7. Je, wanakula na kunywa bia baridi kutoka kwenye friji?
 
Kwa hiyo nisile nyama ama?
Miili yetu haihitaji nyama kabisaam hata aina ya neno yetu (dental formula) sio ya kula nyama kama yale meno ya mbwa, paka, chui, duma, simba, fisi, mbweha, nk. Meno yetu na utumbo wetu sisi ni maalum kwa kula mihogo, matunda, mayai na nafaka tu baasi. Ndio maana tunashauri namna ya kula nyama kama unataka kula nyama.
 
Tupe ujuzi wa kula nyama maana hot chair choma mtamu balaa ukiweka na kuku choma ndio kabisaaa.
 
Tupe ujuzi wa kula nyama maana hot chair choma mtamu balaa ukiweka na kuku choma ndio kabisaaa.
Kiti moto haifai sio kwamba ni dhambi kuila, no. Ndio maana hata watu wa dini wameipiga ban na kuozingizia kuwa ni haramu au mapemo yamekimbilia kwenye nguruwe, nk. Ukweli ni kwamba nyama ya nguruwe Ina sumu nyingi sana, kutona na nguruwe kutokuchagua vyakula. Yaani anakula kila kitu nakusababisha mwili wake kijaa sumu.

Hata binadamu anaekula kila kitu yaani nyama , ubwabwa, mayai, majani, sukari, mafuta, vitunguu, soda, bia na maji baridi hapohapo mwili wake unabeba sumu nyingi sana. Mtu anaekula hivyo kwanza mwili wake unafubaa, unawasha, allergies, una fungus na jasho lenye harufu mbaya sana. Yaani ni kama mzoga unaotembea.

Kama unataka kula kiti moto angalau basi choma kwenye jiko ili mafuta na serum na majimaji mengine yadondoke. Yaani usiroast au kupikia. Hata kama unataka kula nyama ya ng'ombe chagua nyama ambayo imening'inizwa kwa muda mrefu kudondosha damu na majimaji yake, yaani nenda kanunue nyama jioni Chama iliyochinjwa asubihi.

Kula nyama bila kuongeza chumvi Wala kula na ugali. Fakamia nyama yenyewe TU bila chakula, kula nyama ya kuchoma usinywe mchuzi/supu. Wazee wetu walikuwa wanachoma au kuaniaka nyama juani hadi itoke maji yote ndio wanakula.
 
Sawa nimekupata wacha sasa nikaweke oda yangu ya kitimoto choma na sprite baridi sana
 
Nashukuru kwa Muongozo huu...Ngija nikaongeze madini kwa Dr Sebi (The Geniuous of Human Health aliyewatingisha Wamarekani na Big Pharmaceutical Industries)..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…