Mwezi wa Ramadhani umeingia Masheikh wako Jela

Hawa akina Sheikh Farid wa uamsho ndiyo wanachafua dini ya Islam uonekane ni ugaidi wakati si KWELI. Kama wanataka wawe wanava combat za guerillas au kiraia kuliko kuvaa mavazi yenye taswira ya kidini wanapotenda maovu yao. Sympathy ya dini isitumike kuona kuwa wanaonewa
 
Hao watu walihoji muungano tu, na kuhamasisha wazanzibar wauangalie muungano kwa jicho la tatu. Kosa lao ndiyo hilo!.

Hawa wanaodai kuwa hao masheikh ni magaidi ni islamophobes tu ambao wanachuki kali ya kimyakimya with anythibg islamic
Mkuu ninachokumbuka nikwamba walikuwa wanadai uhuru kamili wa masuala ya muungano, na pia walikuwa hawataki kusikia kitu chochote kinachoitwa chadema, ccm, cuf etc,walikuwa wakikuta bendera hizi wanashusha wanapandisha nyeupe ya kwao plus maandamano kadha wa kadha kwa lengo la kuisimamisha dini ya Mungu, kipindi hiki ndio makanisa yalichomwa sana moto pamoja na watu kumwagiwa tindikali na watu wasiojulikana, je unadhan tulikokuwa tunaelekea ni sahihi??
 
Hii hali ingeendelea au ingenyamaziwa ingekuwaje mkuu, sikebei ila nataka tujadili kwa facts with vivid evidences.
 
Huyo jamaa ni jinga kabisa, kwa makusudi anapindisha ukweli wa walichofanga uamsho kule zenj.
Huko jela ni sehemu sahihi kwao
 
Unataka kutuamnisha kwamba nchi nzima masheikh ni hao tu wa uamsho wengine sio masheikh? Au na wewe ndio wale mnaoshinda Mozambiq kazi yenu kukata vichwa watu eti mnampigania Allah?
 
Acha uongo wewe, hao masheikh si ndio kundi la akina Sheikh Ilunga, ambaye mafundisho yake mpaka leo ndio yanasumbua vijana kwa wazee wanauawa kuanzia mombasa mpaka Msumbiji wote magaidi wanatumia mafundisho yao, sio watu kabisa hawana hata chembe ya huruma, hivi hii dini shughuli ya kuchinjana ingeingia Afrika miaka 50 iliyopita wewe na wazazi wako ungekua hai? Maana sidhani kama uliupata uislam kamili na wenzako hawa hawa wangekuchinja wewe au baba yako
 
Matendo ya kuchoma makanisa na kuuawa padri huko Zanzibar waliletwa wachunguzi wa kimataifa kuchunguza nadhani ni Scotland yard, Kama ushahidi wa wao kuhusika na vitendo hivyo upo,
kwa nini kesi yao inapigwa kalenda kwa hoja za upelekezi bado haujakamilika!

8 years hakuna ushahidi!
 
HAta hiyo ya kushawishi tu; kwenye sheria hao vingozi wa dini ni raia kama sisi so kwanini useme eti sheikh Abubakari ashawishi fulani na fulani wawekwe ndani?
Kwahiyo Abubakari hana ushawishi kwa serikali kwa nafasi aliyonayo?
 
Hakuna mwenye chuki na uislamu mkuu, ndio maana wewe ni muislamu na hauko jela

Hao mashekh wako jela kwasababu ya matendo yao, uislamu wao si sababu.
 
Hakuna mwenye chuki na uislamu mkuu, ndio maana wewe ni muislamu na hauko jela

Hao mashekh wako jela kwasababu ya matendo yao, uislamu wao si sababu.
Matendo mabaya huletwa ushahidi, sasa ushahidi haupo mwaka wa nane sasa. Huoni kuwa kuna something wrong?
 
Unataka kutuamnisha kwamba nchi nzima masheikh ni hao tu wa uamsho wengine sio masheikh? Au na wewe ndio wale mnaoshinda Mozambiq kazi yenu kukata vichwa watu eti mnampigania Allah?
Kuna Masheikh wengi sana Jela kiuonevu zaidi ya hao
 
Matendo mabaya huletwa ushahidi, sasa ushahidi haupo mwaka wa nane sasa. Huoni kuwa kuna something wrong?
Cha kushangaza, mwendazake aliwaacha mashehe wa watu waendelee kusota sero bila ushahidi wa madai dhidi yao, lakini akawaachia huru kina babu Seya ambao mahakama ilithibitisha pasi na shaka kuwa walikuwa walawiti wa watoto

Afu kuna mijitu inamwita mtetezi wa wanyonge...
 
Matendo mabaya huletwa ushahidi, sasa ushahidi haupo mwaka wa nane sasa. Huoni kuwa kuna something wrong?
Kabla hawajakamatwa tulishuhudia mlolongo wa matukio mengi sana hapo Zanzibar, kuuwawa kwa mapadre, kumwagiwa tindikali nk nk

Lakini baada ya kukamatwa, hatujawahi kusikia tukio lenye viashilia vile tena

Kwa mazingira hayo kwanini tusiamini wao ndo walikua masterplanners wa matukio yale?
 
ila cha motto wamekiona sijui kama watarudia tena ‘uchochezi’ wao, walikuwa wameanza kuota mapembe!
 
Hoja yako haina mashiko!

Zanzibar aliuawa Padri mmoja, na aliuawa mwaka 2013 wakati Masheikh wametiwa ndani mwaka 2012

Sasa Sijui Hao Masheikh walitoka ndani wakafanya tukio kisha wakajirudisha?
 
ila cha motto wamekiona sijui kama watarudia tena ‘uchochezi’ wao, walikuwa wameanza kuota mapembe!
Kwa hoja hizi za Cha Moto wamekiona ndicho hichohicho walichokiona akina Lissu, Ben Saanane, Azory Gwanda etc

Hao Masheikh walitaka Zanzibar huru!, Walitaka Zanzibar isiyokaliwa na Tanganyika.

Kama hilo ni kosa basi washitakiwe kwa kosa hilo(kama lipo kwenye sheria), Kama ni Uhaini basi washitakiwe kwa Uhaini lakini siyo chengachenga za kuwabambikiza makosa yasiyokuwepo huku ushahidi haupo!
 
hao sahau kabisa.......sio leo au keshokutwa......tusiache kuwaombea ni wa-TZ wenzetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…