Mwigulu Akiendelea kuwa waziri Basi ndie Rais ajae tutake tusitake. Atakuwa na timu Bora na zaidi ya Tillion 2 kibindoni

Hilo Ni kwa jicho lako. Kwa jicho la Taifa Ni mzalendo, mpigania haki na mchapakazi na anayechukiwa na wasiompenda Raisi. Anajua kuzichanga karata ndio maana Ni waziri maarufu mpaka leo
 
Rais ajaye ni Either Mwinyi au Inocent Bashugwa baada ya Mtaka kuchafuka

Kila kitu kinaenda sawa kwenye vetting

Marais wenye asili ya dictator hawatakuja kuongoza tena hii nchi.

Save hii!!!
Ndio wanaotakiwa na nchi za kikomunist Kama China na Russia na ndio wanaipaga mbinu ccm
 
Hakuna Taarifa aweza kuja kuwa Rais wa Taifa la Tz. May be ktk kusadikika. Japo pia kuna Mungu so let keep...
 
Hilo Ni kwa jicho lako. Kwa jicho la Taifa Ni mzalendo, mpigania haki na mchapakazi na anayechukiwa na wasiompenda Raisi. Anajua kuzichanga karata ndio maana Ni waziri maarufu mpaka leo
Haya unaandika ukiwa sawa kichwani..yaani urais ni mambo ya kuchanga karata, mtu hajui hata kupanga maneno ya kusema anaropoka tu..unajua wakati mwingine vzr mtu ujipime kiwango cha akili ulizo nazo kabla ya kuandika lolote watu wasome..
 
Duuh.

Kwahiyo umeleta hii mada ututishie au unahalalisha fedha za umma??

Maana kutuambia kwamba atakua na Trilioni 2 bila kutupa vyanzo vyake vya mapato ni kutuambia kuwa atatumia nafasi aliyonayo kuipata hiyo fedha.

Sidhani kama ni sahihi kuendelea kumuacha katika hiyo nafasi ili achukue hizo pesa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…