Tony Laurent
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 5,606
- 7,032
Mtaka amechafukaje tena?Rais ajaye ni Either Mwinyi au Inocent Bashugwa baada ya Mtaka kuchafuka
Kila kitu kinaenda sawa kwenye vetting
Marais wenye asili ya dictator hawatakuja kuongoza tena hii nchi.
Save hii!!!
Mtaka amechafukaje tena?Rais ajaye ni Either Mwinyi au Inocent Bashugwa baada ya Mtaka kuchafuka
Kila kitu kinaenda sawa kwenye vetting
Marais wenye asili ya dictator hawatakuja kuongoza tena hii nchi.
Save hii!!!
Uo Ni mtazamo wako. Lkn Ccm wamemuweka kwenye Wizara muhimu kabisa na kumiliki timu ya Mpira. Na haguswi ujueHaya unaandika ukiwa sawa kichwani..yaani urais ni mambo ya kuchanga karata, mtu hajui hata kupanga maneno ya kusema anaropoka tu..unajua wakati mwingine vzr mtu ujipime kiwango cha akili ulizo nazo kabla ya kuandika lolote watu wasome..
Wewe ni Mwigulu mwenyewe au mke wake? Acha kumpamba/kujipamba kwani hana umaarufu wowote kama unavyolazimisha watu waamini na hata vigogo ndani ya CC hawawezi kuacha 'vijana wao pendwa' wakamng'ang'ania mlugaluga ilhali wameshajifunza baada ya kuonja joto ya jiwe pale usukani unapokuwa mikononi mwa mlugaluga.Na inaonesha wanamkubali Sana na kelele zidi yake Ni za chura
Wanaomchukulia Mwigulu kirahisi rahisi wanakosea Sana.
Siwezi zungumzia uadilifu wake lkn najua anavyojua kusaka pesa akiwa kwenye mamlaka.
Alipokuwa naibu tu Wizara ya fedha kwa miaka 2 tu aliunda pesa za kutosha. Mwaka 2015 Akaanza kampeni za uraisi kirahisi Sana. Akalipia matangazo ya redio na tv karibu zote kutangaza Nia.
Mabango, mawe, Barabara vijiwe vikajaa majina ya Mwigulu Raisi.
Alipeleza pesa kidogo tu.
Alichokosea kidogo alichelewa kuunda timu. Na wenzake hawakujua mfuko wake. Wangejipendekeza Sana tu.
Wakati akina kigwangala wakipambana na Mo awakopeshe pesa za kampeni za ubunge Jamaa alibaki na mzigo wa kutosha. Akatumia helkopta kuzunguka nchi mzima na msafara binafsi. Kupiga kampeni za Uraisi ili ajisibitishie Uwaziri.
Sasa akiweza kufanya urafiki wa kinafiki na wapinzani wake Kama akina mpina, timu Jpm ili kupunguza madongo Basi ndani ya miaka 2 atakuwa na mzigo wa kutosha.
Sijui Kama Ni mfanya biashara Ila chukueni hii. Hii singida big star imeibuka na usajili wa kutosha. Mapesa ya kutosha. Mfupa wa kuendesha timu uliomuumisha kichwa Mo na Manji jamaa kautafuna Kama stake.
Anajua kujenga mifumo inayofanya na kupendezwa nae.
Nazani hatujui nguvu ya Mwigulu lkn naamini 2025 anaweza akawa na zaidi ya Tillion 2 ambazo zitamfanya kuwa na timu yenye nguvu Sana.
Jamaa Anajua watu wa kuweka kwenye timu. Sio ajabu kelele kwa mama haziwezi sikika Sababu washauri wote wa mama Ni timu yake.
Mwigulu ndio Raisi ajae.
Alafu watu wenyewe ni wale wa Kibiti...Mzeeeee Kwan kuua watu 10 uokoe watu million 60 Kuna makosa gaaaan the man was very right lkn cc nyumbu wa kitanzania uelewa wetu Ni mdogo saaana, we are not thinking beyond the reality. Ni hayo tu mkuu!!!!
Kwanini unanisema vibaya ndugu yangu, nimekukosea nini mimi.
Umempiga na kitu kizito Kichwani huyu mshenzi. Watz ni wapumbavu Sana. Huyu anakuwaje waziri wa fedha?Labda kama atakuwa rais wa Singida Big Stars! Ila siyo Tanzania. The man is too arrogant.
Umesema kweli Sana! Hawa mapimbi ccm wala hawaoni! Huyu ni hovyo Sana!Nitahama nchi kabisa. Simkubali hata kidogo huyu mwizi. Sijui alipewaje hata hiyo wizara nyeti hiyo. Ameingia tu na kuanza kuiba moja kwa moja. Bahati ni mshamba,anazuzuka na pesa moja kwa moja anaanza kujionyesha wazi.
Kwa nchi zilizopiga hatua anaweza kuchezea jera vizuri
Una maana gani???Wanaojua bata analokula irene uwoya hawawezi kukubishia tozo zinatafunwa haswa
Rais ajaye ni Either Mwinyi au Inocent Bashugwa baada ya Mtaka kuchafuka
Kila kitu kinaenda sawa kwenye vetting
Marais wenye asili ya dictator hawatakuja kuongoza tena hii nchi.
Save hii!!!
Kama hujui,Mkwere na Mwigulu ni one blood.Mwigulu siyo cc ya ccm. Ili kuwa rais lazima mtu awe chaguo la cc ya ccm.
Kuna watu muhimu ambao ndiyo wataamua mtu awe rais wa nchi hii;-
-Kinana
..Kikwete
-Chongolo
-Shaka
Unajua bila mkapa raisi leo angekuwa LowasaPesa anazo atukatai kuagiza mabasi 60 mapya sio mchezo, ila kuwa Rais wa hii nchi ni kipengele kwa Mwigulu.
Unaota. Uraisi auji hivihivi unatengenezwaRais ajaye baada ya mama atatoka kanda ya kati, kuna wawili mmoja ni mpinyani na mwingine ni wa chama tawala
Sasa ndio kapewa Wizara muhimu. Anauwezo wa kukusanya au kusamehe Kodi. Kuunda kanuni na mifumo. Yani ndio mtafuta hela na mpangaji wa matumizi.Wewe ni Mwigulu mwenyewe au mke wake? Acha kumpamba/kujipamba kwani hana umaarufu wowote kama unavyolazimisha watu waamini na hata vigogo ndani ya CC hawawezi kuacha 'vijana wao pendwa' wakamng'ang'ania mlugaluga ilhali wameshajifunza baada ya kuonja joto ya jiwe pale usukani unapokuwa mikononi mwa mlugaluga.
Kwa sasa hawawezi kuiacha nchi itoke nje ya 'mikono salama'.
Mara mia "gusa ninuke" kuliko huyu anayepigiwa chapuo hapaUnamsahau saana Gusa ninuke. Kurudi nyumbani siyo bure. Subiri kituo cha daladala basi lake laje utapanda tuuu.