Mimi ni layman wa uchumi lakini alichoongea leo Mwigulu Nchemba katika kipindi cha 360 Clouds TV ni Doctorial Rubbish, amesema,
"Hakuna siku Mtanzania atakwenda kugongewa mlango kwamba sasa atoe mbuzi alipe Deni la Taifa. Na hakuna siku Mtanzania ataambiwa alipe Deni la Taifa atoe mchango mkubwa. Hiyo inakuwa ni kama mzazi ukikopa mshahara wako hakuna atakwenda kuchukua madaftari ya mwanafunzi". Dkt. Mwigulu Nchemba, Waziri wa Fedha na Mipango.
Ninachojua mimi ukilipa KODI unagongewa mlango ukikatwa TOZO unagongewa mlango, ukilipa USHURU unagongewa mlango.
Mwigulu haoni hizi tozo au anajizima data.
Imethibitishwa Tsh29,000.00 imetumwa kwa 2557xxxxxxxxx - XXXXXX XXXX Tarehe 13/12/22 saa 11:09 AM Jumla ya Ada Tsh686.00 (M-Pesa Ada Tsh380.00 + TOZO ya Serikali Tsh306.00). Salio lako ni Tshxxxxxxx.
"Hakuna siku Mtanzania atakwenda kugongewa mlango kwamba sasa atoe mbuzi alipe Deni la Taifa. Na hakuna siku Mtanzania ataambiwa alipe Deni la Taifa atoe mchango mkubwa. Hiyo inakuwa ni kama mzazi ukikopa mshahara wako hakuna atakwenda kuchukua madaftari ya mwanafunzi". Dkt. Mwigulu Nchemba, Waziri wa Fedha na Mipango.
Ninachojua mimi ukilipa KODI unagongewa mlango ukikatwa TOZO unagongewa mlango, ukilipa USHURU unagongewa mlango.
Mwigulu haoni hizi tozo au anajizima data.
Imethibitishwa Tsh29,000.00 imetumwa kwa 2557xxxxxxxxx - XXXXXX XXXX Tarehe 13/12/22 saa 11:09 AM Jumla ya Ada Tsh686.00 (M-Pesa Ada Tsh380.00 + TOZO ya Serikali Tsh306.00). Salio lako ni Tshxxxxxxx.