Mwigulu anasema hakuna Mtanzania atagongewa mlango alipe Deni la Taifa, kwani tozo maana yake nini?

Mwigulu anasema hakuna Mtanzania atagongewa mlango alipe Deni la Taifa, kwani tozo maana yake nini?

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
Mimi ni layman wa uchumi lakini alichoongea leo Mwigulu Nchemba katika kipindi cha 360 Clouds TV ni Doctorial Rubbish, amesema,

"Hakuna siku Mtanzania atakwenda kugongewa mlango kwamba sasa atoe mbuzi alipe Deni la Taifa. Na hakuna siku Mtanzania ataambiwa alipe Deni la Taifa atoe mchango mkubwa. Hiyo inakuwa ni kama mzazi ukikopa mshahara wako hakuna atakwenda kuchukua madaftari ya mwanafunzi". Dkt. Mwigulu Nchemba, Waziri wa Fedha na Mipango.

Ninachojua mimi ukilipa KODI unagongewa mlango ukikatwa TOZO unagongewa mlango, ukilipa USHURU unagongewa mlango.

Mwigulu haoni hizi tozo au anajizima data.

Imethibitishwa Tsh29,000.00 imetumwa kwa 2557xxxxxxxxx - XXXXXX XXXX Tarehe 13/12/22 saa 11:09 AM Jumla ya Ada Tsh686.00 (M-Pesa Ada Tsh380.00 + TOZO ya Serikali Tsh306.00). Salio lako ni Tshxxxxxxx.
 
Kuna mjadala umekuwa ukiendelea kwa nini deni la taifa linaongezeka

Naona kuna kiongozi akasema deni la taifa linajumuisha mikopo ya serikali na mikopo ya sekta binafsiii .... binafsi sikuelewa hili jamboo .... inakuwaje ukopaji wa sekta binafsi uwe sehemu ya deni la taifa
 
Mpaka sasa sijajua kwa uhakika pale Udsm huwa wanazalisha wataalamu wa Kitu gani wanaweza kujisifia

Maana kila sekta huibuka na kauli tata na kutuacha na mshangao

Christmas njema!
Anajua anachoanisha na pia anajua fika hakuna kitu mnaqeza fanya, haya.matamshi nchi nyingine kwa sasa Raia wangekuwa Barabarani
 
Mimi ni layman wa uchumi lakini alichoongea leo ni Doctorial Rubbish.

Leo Mwigulu Nchemba akihojiwa katika kipindi cha 360 Clouds TV, amesema,

"Hakuna siku Mtanzania atakwenda kugongewa mlango kwamba sasa atoe mbuzi alipe Deni la Taifa. Na hakuna siku Mtanzania ataambiwa alipe Deni la Taifa atoe mchango mkubwa. Hiyo inakuwa ni kama mzazi ukikopa mshahara wako hakuna atakwenda kuchukua madaftari ya mwanafunzi". Dkt. Mwigulu Nchemba, Waziri wa Fedha na Mipango.

Ninachojua mimi ukilipa KODI unagongewa mlango ukikatwa TOZO unagongewa mlango, ukilipa USHURU unagongewa mlango.
Vitu vinapanda bei madukani kwa sababu kodi zinaongezeka na huko ni kugongewa mlango tena sana !!
 
Vitu vinapanda bei madukani kwa sababu kodi zinaongezeka na huko ni kugongewa mlango tena sana !!
Hata ukinunua LUKU ni kugongewa mlango ufungue tena kwa lazima.

LUKU
4536796427975467532
11.3KWH

6875 8862 3421 9746 5534

Cost 3,278.69
VAT 18% 590.16
EWURA 1% 32.79
REA 3% 98.36
TOTAL 4,000.00
 
Back
Top Bottom