Mwigulu anasema hakuna Mtanzania atagongewa mlango alipe Deni la Taifa, kwani tozo maana yake nini?

Mwigulu anasema hakuna Mtanzania atagongewa mlango alipe Deni la Taifa, kwani tozo maana yake nini?

Mamlaka itengue uteuzi unataka awekwe mjombako? Mwigulu oiga kazi hawa wamezoea vya bure.
Binti, hebu andika taratibu huku ukifikiria kwa makini! Watu wanahoji kuhusu tofauti ya Deni la taifa na Deni la serikali na ni Deni lipi hasa linamhusu mwananchi? Na kwanini mwananchi ayalipie makampuni binafsi Deni lao alilolitaja?
Kama mwigulu hakuweza kuyajibu maswali ya wananchi Basi hafai tu! Kama unampenda Sana mhamishie nyumbani kwenu!
 
Binti, hebu andika taratibu huku ukifikiria kwa makini! Watu wanahoji kuhusu tofauti ya Deni la taifa na Deni la serikali na ni Deni lipi hasa linamhusu mwananchi? Na kwanini mwananchi ayalipie makampuni binafsi Deni lao alilolitaja?
Kama mwigulu hakuweza kuyajibu maswali ya wananchi Basi hafai tu! Kama unampenda Sana mhamishie nyumbani kwenu!
Binti mamako, mshenzi
 
Kwa hiyo we ulitaka u-enjoy huduma za serikali bure, utumie mwendokasi, fly-overs Dsm, unasubiri uje uweke tako lako utambae na SGR, bado unasubiri umeme wa bwawa la Nyerere, uendeke kujipiga selfie daraja la Busisi-Kigogo usikatwe kodi wala tozo? Una mjombako Ulaya? Au una shangazi Marekani? Huna hata aibu, kafanye kazi kodi lazima ulipe na tozo km kawa.
Elewa kwanza hoja yangu ya kugongewa mlanngo ndio ubwatuke kwa stress zako, nevertheless kwani kwenye SGR tutakuwa tunasafiri bure? hata daraja la salenda na kigamboni tunalipia.
 
Sawa lakini kwakuwa yeye 2040 atakuwa amekufa hayupo Tena so anategemea Generation ijayo ita-survive vipi?
 
Mimi ni layman wa uchumi lakini alichoongea leo Mwigulu Nchemba katika kipindi cha 360 Clouds TV ni Doctorial Rubbish, amesema,

"Hakuna siku Mtanzania atakwenda kugongewa mlango kwamba sasa atoe mbuzi alipe Deni la Taifa. Na hakuna siku Mtanzania ataambiwa alipe Deni la Taifa atoe mchango mkubwa. Hiyo inakuwa ni kama mzazi ukikopa mshahara wako hakuna atakwenda kuchukua madaftari ya mwanafunzi". Dkt. Mwigulu Nchemba, Waziri wa Fedha na Mipango.

Ninachojua mimi ukilipa KODI unagongewa mlango ukikatwa TOZO unagongewa mlango, ukilipa USHURU unagongewa mlango.

Mwigulu haoni hizi tozo au anajizima data.

Imethibitishwa Tsh29,000.00 imetumwa kwa 2557xxxxxxxxx - XXXXXX XXXX Tarehe 13/12/22 saa 11:09 AM Jumla ya Ada Tsh686.00 (M-Pesa Ada Tsh380.00 + TOZO ya Serikali Tsh306.00). Salio lako ni Tshxxxxxxx.
Lakin si tutaongezewa makodi kila mahala ili kilipa hayo madeni
 
Mimi ni layman wa uchumi lakini alichoongea leo Mwigulu Nchemba katika kipindi cha 360 Clouds TV ni Doctorial Rubbish, amesema,

"Hakuna siku Mtanzania atakwenda kugongewa mlango kwamba sasa atoe mbuzi alipe Deni la Taifa. Na hakuna siku Mtanzania ataambiwa alipe Deni la Taifa atoe mchango mkubwa. Hiyo inakuwa ni kama mzazi ukikopa mshahara wako hakuna atakwenda kuchukua madaftari ya mwanafunzi". Dkt. Mwigulu Nchemba, Waziri wa Fedha na Mipango.

Ninachojua mimi ukilipa KODI unagongewa mlango ukikatwa TOZO unagongewa mlango, ukilipa USHURU unagongewa mlango.

Mwigulu haoni hizi tozo au anajizima data.

Imethibitishwa Tsh29,000.00 imetumwa kwa 2557xxxxxxxxx - XXXXXX XXXX Tarehe 13/12/22 saa 11:09 AM Jumla ya Ada Tsh686.00 (M-Pesa Ada Tsh380.00 + TOZO ya Serikali Tsh306.00). Salio lako ni Tshxxxxxxx.
Hizi PhD za akina Mwigulu na Samia ni shida tupu, anatufanya sisi mbumbumbu siyo. Kinachofuatia ni ongezeko la kodi na tozo ili kulipa madeni
 
Watanzania tunafurahisha sana, hatuna la kufanya zaidi ya kujadili yapite. Viongozi wetu nao ni wasomi na wanatifahamu zaidi ya tunavyo jifahamu ya kuwa hatuna cha kuwafanya na kwamba hata nchi ikiwa na madeni yatakayo pelekea baadhi ya mali za zetu kushikiliwa hakuna mwananchi atakaye husika kulipa. Acha tuendelee kushangilia tukichoka burundi yatusubiri
 
Mwigulu akili zake bwana😂😂
Sijui hata kama huwa anafikiria kabla ya kuongea.
 
Mimi ni layman wa uchumi lakini alichoongea leo Mwigulu Nchemba katika kipindi cha 360 Clouds TV ni Doctorial Rubbish, amesema,

"Hakuna siku Mtanzania atakwenda kugongewa mlango kwamba sasa atoe mbuzi alipe Deni la Taifa. Na hakuna siku Mtanzania ataambiwa alipe Deni la Taifa atoe mchango mkubwa. Hiyo inakuwa ni kama mzazi ukikopa mshahara wako hakuna atakwenda kuchukua madaftari ya mwanafunzi". Dkt. Mwigulu Nchemba, Waziri wa Fedha na Mipango.

Ninachojua mimi ukilipa KODI unagongewa mlango ukikatwa TOZO unagongewa mlango, ukilipa USHURU unagongewa mlango.

Mwigulu haoni hizi tozo au anajizima data.

Imethibitishwa Tsh29,000.00 imetumwa kwa 2557xxxxxxxxx - XXXXXX XXXX Tarehe 13/12/22 saa 11:09 AM Jumla ya Ada Tsh686.00 (M-Pesa Ada Tsh380.00 + TOZO ya Serikali Tsh306.00). Salio lako ni Tshxxxxxxx.
Atakuwa kalewa huyu
 
Mimi ni layman wa uchumi lakini alichoongea leo Mwigulu Nchemba katika kipindi cha 360 Clouds TV ni Doctorial Rubbish, amesema,

"Hakuna siku Mtanzania atakwenda kugongewa mlango kwamba sasa atoe mbuzi alipe Deni la Taifa. Na hakuna siku Mtanzania ataambiwa alipe Deni la Taifa atoe mchango mkubwa. Hiyo inakuwa ni kama mzazi ukikopa mshahara wako hakuna atakwenda kuchukua madaftari ya mwanafunzi". Dkt. Mwigulu Nchemba, Waziri wa Fedha na Mipango.

Ninachojua mimi ukilipa KODI unagongewa mlango ukikatwa TOZO unagongewa mlango, ukilipa USHURU unagongewa mlango.

Mwigulu haoni hizi tozo au anajizima data.

Imethibitishwa Tsh29,000.00 imetumwa kwa 2557xxxxxxxxx - XXXXXX XXXX Tarehe 13/12/22 saa 11:09 AM Jumla ya Ada Tsh686.00 (M-Pesa Ada Tsh380.00 + TOZO ya Serikali Tsh306.00). Salio lako ni Tshxxxxxxx.
🤔🤔🤔🤔🤔 doooh
 
Hii PHD ya huyu mtu ameiokota barabarani?
Anaitumia Phd yake kama chambo ya kuwavua samaki wadogo (masikini) kwa porojo za mdomo..

Mark my words..


Kwa kuendelea kuwa na mchumi kiongozi kama yeye hii nchi hili deni haliwezi lipika tusubir wadeni wetu waje wachague cha kuuza (kama siyo nchi) ili wajilipe
 
Kuna mjadala umekuwa ukiendelea kwa nini deni la taifa linaongezeka

Naona kuna kiongozi akasema deni la taifa linajumuisha mikopo ya serikali na mikopo ya sekta binafsiii .... binafsi sikuelewa hili jamboo .... inakuwaje ukopaji wa sekta binafsi uwe sehemu ya deni la taifa
Na leo kakazia eti Mo na Bakhresa wakikopa nje hilo ni deni la taifa 😪😪

Hiyo ni kauli tu ya kujipatia kibari cha kuifirisi nchi...yaani eti nchi ilipe madeni ya mo na bakresa hakika tz ni mazuzu...!
 
Sio kama hajui anachoo ongea,nijeuritu ya kuvimbiwa dharau kwa wananchi.
 
Kuna mjadala umekuwa ukiendelea kwa nini deni la taifa linaongezeka

Naona kuna kiongozi akasema deni la taifa linajumuisha mikopo ya serikali na mikopo ya sekta binafsiii .... binafsi sikuelewa hili jamboo .... inakuwaje ukopaji wa sekta binafsi uwe sehemu ya deni la taifa
Inadhamini.
 
Mimi ni layman wa uchumi lakini alichoongea leo Mwigulu Nchemba katika kipindi cha 360 Clouds TV ni Doctorial Rubbish, amesema,

"Hakuna siku Mtanzania atakwenda kugongewa mlango kwamba sasa atoe mbuzi alipe Deni la Taifa. Na hakuna siku Mtanzania ataambiwa alipe Deni la Taifa atoe mchango mkubwa. Hiyo inakuwa ni kama mzazi ukikopa mshahara wako hakuna atakwenda kuchukua madaftari ya mwanafunzi". Dkt. Mwigulu Nchemba, Waziri wa Fedha na Mipango.

Ninachojua mimi ukilipa KODI unagongewa mlango ukikatwa TOZO unagongewa mlango, ukilipa USHURU unagongewa mlango.

Mwigulu haoni hizi tozo au anajizima data.

Imethibitishwa Tsh29,000.00 imetumwa kwa 2557xxxxxxxxx - XXXXXX XXXX Tarehe 13/12/22 saa 11:09 AM Jumla ya Ada Tsh686.00 (M-Pesa Ada Tsh380.00 + TOZO ya Serikali Tsh306.00). Salio lako ni Tshxxxxxxx.
Tugongewe mara mbili akati jana

Kuna tozo kibao ambazo hazina kichwa wala miguu

Hakuna watu wanaokota kama huyu waziri

Ana laana ya kukataliwaa ndio kinachomuandama huyu na kale kasambaa
 
Back
Top Bottom