Waziri wa fedha Mwigulu Nchemba alipokuwa akitoa ufafanuzi kuusu deni la taifa amesema kuwa
“Hakuna Mtanzania atakwenda kugongewa mlango atoe mbuzi alipe Deni la Taifa, hakuna atakayeambiwa alipe Deni la Taifa atoe mchango mkubwa, ni kama Mzazi ukikopa mshahara wako hakuna atakayekwenda kuchukua madaftari ya Mwanafunzi"
kwaiyo watanzania tusiwe na wasiwasi na tuondokane na zile story za vijiweni kwamba nchi itauzwa kutokana na deni kubwa.
Lakini pia amesema "Kuna utofauti kati ya deni la Taifa na deni la serikali, deni la Taifa linahusisha deni la serikali na sekta binafsi, mfano Bakhresa au TBL tunafahamu mitaji na uwekezaji wao ni mikopo, hivyo wakikopa, deni lao linajumuishwa katika deni la Taifa"
“Hakuna Mtanzania atakwenda kugongewa mlango atoe mbuzi alipe Deni la Taifa, hakuna atakayeambiwa alipe Deni la Taifa atoe mchango mkubwa, ni kama Mzazi ukikopa mshahara wako hakuna atakayekwenda kuchukua madaftari ya Mwanafunzi"
kwaiyo watanzania tusiwe na wasiwasi na tuondokane na zile story za vijiweni kwamba nchi itauzwa kutokana na deni kubwa.
Lakini pia amesema "Kuna utofauti kati ya deni la Taifa na deni la serikali, deni la Taifa linahusisha deni la serikali na sekta binafsi, mfano Bakhresa au TBL tunafahamu mitaji na uwekezaji wao ni mikopo, hivyo wakikopa, deni lao linajumuishwa katika deni la Taifa"