econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Kila siku serikali inatoa ufafanuzi cjui kwa nini?
Ukiona mtu anatumia muda mwingi kujielezea ujue Kuna shida.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila siku serikali inatoa ufafanuzi cjui kwa nini?
NCHI NGUMU SANA HII NA INA VIONGOZI WAGUMU PIAMimi ni layman wa uchumi lakini alichoongea leo Mwigulu Nchemba katika kipindi cha 360 Clouds TV ni Doctorial Rubbish, amesema,
"Hakuna siku Mtanzania atakwenda kugongewa mlango kwamba sasa atoe mbuzi alipe Deni la Taifa. Na hakuna siku Mtanzania ataambiwa alipe Deni la Taifa atoe mchango mkubwa. Hiyo inakuwa ni kama mzazi ukikopa mshahara wako hakuna atakwenda kuchukua madaftari ya mwanafunzi". Dkt. Mwigulu Nchemba, Waziri wa Fedha na Mipango.
Ninachojua mimi ukilipa KODI unagongewa mlango ukikatwa TOZO unagongewa mlango, ukilipa USHURU unagongewa mlango.
Mwigulu haoni hizi tozo au anajizima data.
Imethibitishwa Tsh29,000.00 imetumwa kwa 2557xxxxxxxxx - XXXXXX XXXX Tarehe 13/12/22 saa 11:09 AM Jumla ya Ada Tsh686.00 (M-Pesa Ada Tsh380.00 + TOZO ya Serikali Tsh306.00). Salio lako ni Tshxxxxxxx.
Hata Mimi nilishangaa pia, madeni ya private sectors yanajumuishwa kwenye deni ta Taifa.Kuna mjadala umekuwa ukiendelea kwa nini deni la taifa linaongezeka
Naona kuna kiongozi akasema deni la taifa linajumuisha mikopo ya serikali na mikopo ya sekta binafsiii .... binafsi sikuelewa hili jamboo .... inakuwaje ukopaji wa sekta binafsi uwe sehemu ya deni la taifa
Mimi ni layman wa uchumi lakini alichoongea leo Mwigulu Nchemba katika kipindi cha 360 Clouds TV ni Doctorial Rubbish, amesema,
"Hakuna siku Mtanzania atakwenda kugongewa mlango kwamba sasa atoe mbuzi alipe Deni la Taifa. Na hakuna siku Mtanzania ataambiwa alipe Deni la Taifa atoe mchango mkubwa. Hiyo inakuwa ni kama mzazi ukikopa mshahara wako hakuna atakwenda kuchukua madaftari ya mwanafunzi". Dkt. Mwigulu Nchemba, Waziri wa Fedha na Mipango.
Ninachojua mimi ukilipa KODI unagongewa mlango ukikatwa TOZO unagongewa mlango, ukilipa USHURU unagongewa mlango.
Mwigulu haoni hizi tozo au anajizima data.
Imethibitishwa Tsh29,000.00 imetumwa kwa 2557xxxxxxxxx - XXXXXX XXXX Tarehe 13/12/22 saa 11:09 AM Jumla ya Ada Tsh686.00 (M-Pesa Ada Tsh380.00 + TOZO ya Serikali Tsh306.00). Salio lako ni Tshxxxxxxx.
Huyu ndo alimshauri mama Machinga wanunue EFD?Mimi ni layman wa uchumi lakini alichoongea leo Mwigulu Nchemba katika kipindi cha 360 Clouds TV ni Doctorial Rubbish, amesema,
"Hakuna siku Mtanzania atakwenda kugongewa mlango kwamba sasa atoe mbuzi alipe Deni la Taifa. Na hakuna siku Mtanzania ataambiwa alipe Deni la Taifa atoe mchango mkubwa. Hiyo inakuwa ni kama mzazi ukikopa mshahara wako hakuna atakwenda kuchukua madaftari ya mwanafunzi". Dkt. Mwigulu Nchemba, Waziri wa Fedha na Mipango.
Ninachojua mimi ukilipa KODI unagongewa mlango ukikatwa TOZO unagongewa mlango, ukilipa USHURU unagongewa mlango.
Mwigulu haoni hizi tozo au anajizima data.
Imethibitishwa Tsh29,000.00 imetumwa kwa 2557xxxxxxxxx - XXXXXX XXXX Tarehe 13/12/22 saa 11:09 AM Jumla ya Ada Tsh686.00 (M-Pesa Ada Tsh380.00 + TOZO ya Serikali Tsh306.00). Salio lako ni Tshxxxxxxx.
Huyu jamaa,huwa anaongea,akifikiri wabongo wote ni wajinga kama yeye,Mimi ni layman wa uchumi lakini alichoongea leo Mwigulu Nchemba katika kipindi cha 360 Clouds TV ni Doctorial Rubbish, amesema,
"Hakuna siku Mtanzania atakwenda kugongewa mlango kwamba sasa atoe mbuzi alipe Deni la Taifa. Na hakuna siku Mtanzania ataambiwa alipe Deni la Taifa atoe mchango mkubwa. Hiyo inakuwa ni kama mzazi ukikopa mshahara wako hakuna atakwenda kuchukua madaftari ya mwanafunzi". Dkt. Mwigulu Nchemba, Waziri wa Fedha na Mipango.
Ninachojua mimi ukilipa KODI unagongewa mlango ukikatwa TOZO unagongewa mlango, ukilipa USHURU unagongewa mlango.
Mwigulu haoni hizi tozo au anajizima data.
Imethibitishwa Tsh29,000.00 imetumwa kwa 2557xxxxxxxxx - XXXXXX XXXX Tarehe 13/12/22 saa 11:09 AM Jumla ya Ada Tsh686.00 (M-Pesa Ada Tsh380.00 + TOZO ya Serikali Tsh306.00). Salio lako ni Tshxxxxxxx.
Huwa yanamchanganya mwenyewe kwanza.Kama ni Hivyo, atueleze kwa lugha Rahisi hiyo hiyo ni kwa namna gani hizo hela zilizokopwa zitakavyolipwa? Asitumie maneno ya "trat na trab" kwenye maelezo yake maana yatatuchanganya.
Kwa hiyo we ulitaka u-enjoy huduma za serikali bure, utumie mwendokasi, fly-overs Dsm, unasubiri uje uweke tako lako utambae na SGR, bado unasubiri umeme wa bwawa la Nyerere, uendeke kujipiga selfie daraja la Busisi-Kigogo usikatwe kodi wala tozo? Una mjombako Ulaya? Au una shangazi Marekani? Huna hata aibu, kafanye kazi kodi lazima ulipe na tozo km kawa.Mimi ni layman wa uchumi lakini alichoongea leo Mwigulu Nchemba katika kipindi cha 360 Clouds TV ni Doctorial Rubbish, amesema,
"Hakuna siku Mtanzania atakwenda kugongewa mlango kwamba sasa atoe mbuzi alipe Deni la Taifa. Na hakuna siku Mtanzania ataambiwa alipe Deni la Taifa atoe mchango mkubwa. Hiyo inakuwa ni kama mzazi ukikopa mshahara wako hakuna atakwenda kuchukua madaftari ya mwanafunzi". Dkt. Mwigulu Nchemba, Waziri wa Fedha na Mipango.
Ninachojua mimi ukilipa KODI unagongewa mlango ukikatwa TOZO unagongewa mlango, ukilipa USHURU unagongewa mlango.
Mwigulu haoni hizi tozo au anajizima data.
Imethibitishwa Tsh29,000.00 imetumwa kwa 2557xxxxxxxxx - XXXXXX XXXX Tarehe 13/12/22 saa 11:09 AM Jumla ya Ada Tsh686.00 (M-Pesa Ada Tsh380.00 + TOZO ya Serikali Tsh306.00). Salio lako ni Tshxxxxxxx.
Mamlaka itengue uteuzi unataka awekwe mjombako? Mwigulu oiga kazi hawa wamezoea vya bure.Mwigulu toka uteuzi wake kila kukicha anatoa sababu mpya ya kudhihirishia ulimwengu kuwa hakupaswa kuwa waziri. Hili liko wazi kabisa.
Kisichoeleweka mpaka muda huu ni kwanini mamlaka iliyomteua inaogopa/inasita kutengua uteuzi wake.
Ni aidha ana kitu dhidi ya waliomteua kiasi kwamba wanahofu ya kumtengua ama wana maslahi ya moja kwa moja kupitia uwepo wake kama waziri.
Hili la pili linaogopesha zaidi kuona utawala wa juu umedhamiria kufanya maisha ya raia wa chini kuwa magumu kila kukicha.
Ng'wigulu hana akiliMimi ni layman wa uchumi lakini alichoongea leo Mwigulu Nchemba katika kipindi cha 360 Clouds TV ni Doctorial Rubbish, amesema,
"Hakuna siku Mtanzania atakwenda kugongewa mlango kwamba sasa atoe mbuzi alipe Deni la Taifa. Na hakuna siku Mtanzania ataambiwa alipe Deni la Taifa atoe mchango mkubwa. Hiyo inakuwa ni kama mzazi ukikopa mshahara wako hakuna atakwenda kuchukua madaftari ya mwanafunzi". Dkt. Mwigulu Nchemba, Waziri wa Fedha na Mipango.
Ninachojua mimi ukilipa KODI unagongewa mlango ukikatwa TOZO unagongewa mlango, ukilipa USHURU unagongewa mlango.
Mwigulu haoni hizi tozo au anajizima data.
Imethibitishwa Tsh29,000.00 imetumwa kwa 2557xxxxxxxxx - XXXXXX XXXX Tarehe 13/12/22 saa 11:09 AM Jumla ya Ada Tsh686.00 (M-Pesa Ada Tsh380.00 + TOZO ya Serikali Tsh306.00). Salio lako ni Tshxxxxxxx.
Chief taratibu, kuwa na staha, mahaba yako kwa Mwigulu yasikutoe ufahamu. Mambo ya mjomba na shangazi yanatokea wapi hapa?Mamlaka itengue uteuzi unataka awekwe mjombako? Mwigulu oiga kazi hawa wamezoea vya bure.
Deni private linalipwa private na deni la serikali ndio linalipwa na serikaliMbona anamdhalilisha Bakhresa?. Kwamba naye ni mmoja waliokopa Trilioni 20?. Sasa Kama Bakhresa kakopa Trilioni moja, Hilo Deni ni la Bakhresa au Tanzania Kama taifa. Na atakaye lipa ni Bakhresa au sisi wa wananchi.
Ninachojua mimi ukilipa KODI unagongewa mlango ukikatwa TOZO unagongewa mlango, ukilipa USHURU unagongewa mlango.Mimi ni layman wa uchumi lakini alichoongea leo Mwigulu Nchemba katika kipindi cha 360 Clouds TV ni Doctorial Rubbish, amesema,
"Hakuna siku Mtanzania atakwenda kugongewa mlango kwamba sasa atoe mbuzi alipe Deni la Taifa. Na hakuna siku Mtanzania ataambiwa alipe Deni la Taifa atoe mchango mkubwa. Hiyo inakuwa ni kama mzazi ukikopa mshahara wako hakuna atakwenda kuchukua madaftari ya mwanafunzi". Dkt. Mwigulu Nchemba, Waziri wa Fedha na Mipango.
Ninachojua mimi ukilipa KODI unagongewa mlango ukikatwa TOZO unagongewa mlango, ukilipa USHURU unagongewa mlango.
Mwigulu haoni hizi tozo au anajizima data.
Imethibitishwa Tsh29,000.00 imetumwa kwa 2557xxxxxxxxx - XXXXXX XXXX Tarehe 13/12/22 saa 11:09 AM Jumla ya Ada Tsh686.00 (M-Pesa Ada Tsh380.00 + TOZO ya Serikali Tsh306.00). Salio lako ni Tshxxxxxxx.
Hakuna taifa linaloongozwa bila mikopo kwaiyo Tanzania lazima tukope kwaajili ya maendeleo na uzuri wa Rais Samia Suluhu yeye anakopa kwa uwazi na maendeleo yanaonekanaMimi ni layman wa uchumi lakini alichoongea leo Mwigulu Nchemba katika kipindi cha 360 Clouds TV ni Doctorial Rubbish, amesema,
"Hakuna siku Mtanzania atakwenda kugongewa mlango kwamba sasa atoe mbuzi alipe Deni la Taifa. Na hakuna siku Mtanzania ataambiwa alipe Deni la Taifa atoe mchango mkubwa. Hiyo inakuwa ni kama mzazi ukikopa mshahara wako hakuna atakwenda kuchukua madaftari ya mwanafunzi". Dkt. Mwigulu Nchemba, Waziri wa Fedha na Mipango.
Ninachojua mimi ukilipa KODI unagongewa mlango ukikatwa TOZO unagongewa mlango, ukilipa USHURU unagongewa mlango.
Mwigulu haoni hizi tozo au anajizima data.
Imethibitishwa Tsh29,000.00 imetumwa kwa 2557xxxxxxxxx - XXXXXX XXXX Tarehe 13/12/22 saa 11:09 AM Jumla ya Ada Tsh686.00 (M-Pesa Ada Tsh380.00 + TOZO ya Serikali Tsh306.00). Salio lako ni Tshxxxxxxx.