Binti, hebu andika taratibu huku ukifikiria kwa makini! Watu wanahoji kuhusu tofauti ya Deni la taifa na Deni la serikali na ni Deni lipi hasa linamhusu mwananchi? Na kwanini mwananchi ayalipie makampuni binafsi Deni lao alilolitaja?Mamlaka itengue uteuzi unataka awekwe mjombako? Mwigulu oiga kazi hawa wamezoea vya bure.
Binti mamako, mshenziBinti, hebu andika taratibu huku ukifikiria kwa makini! Watu wanahoji kuhusu tofauti ya Deni la taifa na Deni la serikali na ni Deni lipi hasa linamhusu mwananchi? Na kwanini mwananchi ayalipie makampuni binafsi Deni lao alilolitaja?
Kama mwigulu hakuweza kuyajibu maswali ya wananchi Basi hafai tu! Kama unampenda Sana mhamishie nyumbani kwenu!
Ni kweli mamangu ni binti. Kwani mamako ni mwanaume? Mpuuzi kuliko upuuzi wenyewe!Binti mamako, mshenzi
Elewa kwanza hoja yangu ya kugongewa mlanngo ndio ubwatuke kwa stress zako, nevertheless kwani kwenye SGR tutakuwa tunasafiri bure? hata daraja la salenda na kigamboni tunalipia.Kwa hiyo we ulitaka u-enjoy huduma za serikali bure, utumie mwendokasi, fly-overs Dsm, unasubiri uje uweke tako lako utambae na SGR, bado unasubiri umeme wa bwawa la Nyerere, uendeke kujipiga selfie daraja la Busisi-Kigogo usikatwe kodi wala tozo? Una mjombako Ulaya? Au una shangazi Marekani? Huna hata aibu, kafanye kazi kodi lazima ulipe na tozo km kawa.
[emoji106][emoji106][emoji106].watu wana lalaa na njaaaa/ufukaraaA wao,wakitegemea Mungu ashuke kuwateteaa!!!!!!Mungu huwatetea wanao jitetea, Mungu sio mjinga wakuja kutetea raia mazezeta
Lakin si tutaongezewa makodi kila mahala ili kilipa hayo madeniMimi ni layman wa uchumi lakini alichoongea leo Mwigulu Nchemba katika kipindi cha 360 Clouds TV ni Doctorial Rubbish, amesema,
"Hakuna siku Mtanzania atakwenda kugongewa mlango kwamba sasa atoe mbuzi alipe Deni la Taifa. Na hakuna siku Mtanzania ataambiwa alipe Deni la Taifa atoe mchango mkubwa. Hiyo inakuwa ni kama mzazi ukikopa mshahara wako hakuna atakwenda kuchukua madaftari ya mwanafunzi". Dkt. Mwigulu Nchemba, Waziri wa Fedha na Mipango.
Ninachojua mimi ukilipa KODI unagongewa mlango ukikatwa TOZO unagongewa mlango, ukilipa USHURU unagongewa mlango.
Mwigulu haoni hizi tozo au anajizima data.
Imethibitishwa Tsh29,000.00 imetumwa kwa 2557xxxxxxxxx - XXXXXX XXXX Tarehe 13/12/22 saa 11:09 AM Jumla ya Ada Tsh686.00 (M-Pesa Ada Tsh380.00 + TOZO ya Serikali Tsh306.00). Salio lako ni Tshxxxxxxx.
Hizi PhD za akina Mwigulu na Samia ni shida tupu, anatufanya sisi mbumbumbu siyo. Kinachofuatia ni ongezeko la kodi na tozo ili kulipa madeniMimi ni layman wa uchumi lakini alichoongea leo Mwigulu Nchemba katika kipindi cha 360 Clouds TV ni Doctorial Rubbish, amesema,
"Hakuna siku Mtanzania atakwenda kugongewa mlango kwamba sasa atoe mbuzi alipe Deni la Taifa. Na hakuna siku Mtanzania ataambiwa alipe Deni la Taifa atoe mchango mkubwa. Hiyo inakuwa ni kama mzazi ukikopa mshahara wako hakuna atakwenda kuchukua madaftari ya mwanafunzi". Dkt. Mwigulu Nchemba, Waziri wa Fedha na Mipango.
Ninachojua mimi ukilipa KODI unagongewa mlango ukikatwa TOZO unagongewa mlango, ukilipa USHURU unagongewa mlango.
Mwigulu haoni hizi tozo au anajizima data.
Imethibitishwa Tsh29,000.00 imetumwa kwa 2557xxxxxxxxx - XXXXXX XXXX Tarehe 13/12/22 saa 11:09 AM Jumla ya Ada Tsh686.00 (M-Pesa Ada Tsh380.00 + TOZO ya Serikali Tsh306.00). Salio lako ni Tshxxxxxxx.
Atakuwa kalewa huyuMimi ni layman wa uchumi lakini alichoongea leo Mwigulu Nchemba katika kipindi cha 360 Clouds TV ni Doctorial Rubbish, amesema,
"Hakuna siku Mtanzania atakwenda kugongewa mlango kwamba sasa atoe mbuzi alipe Deni la Taifa. Na hakuna siku Mtanzania ataambiwa alipe Deni la Taifa atoe mchango mkubwa. Hiyo inakuwa ni kama mzazi ukikopa mshahara wako hakuna atakwenda kuchukua madaftari ya mwanafunzi". Dkt. Mwigulu Nchemba, Waziri wa Fedha na Mipango.
Ninachojua mimi ukilipa KODI unagongewa mlango ukikatwa TOZO unagongewa mlango, ukilipa USHURU unagongewa mlango.
Mwigulu haoni hizi tozo au anajizima data.
Imethibitishwa Tsh29,000.00 imetumwa kwa 2557xxxxxxxxx - XXXXXX XXXX Tarehe 13/12/22 saa 11:09 AM Jumla ya Ada Tsh686.00 (M-Pesa Ada Tsh380.00 + TOZO ya Serikali Tsh306.00). Salio lako ni Tshxxxxxxx.
π€π€π€π€π€ dooohMimi ni layman wa uchumi lakini alichoongea leo Mwigulu Nchemba katika kipindi cha 360 Clouds TV ni Doctorial Rubbish, amesema,
"Hakuna siku Mtanzania atakwenda kugongewa mlango kwamba sasa atoe mbuzi alipe Deni la Taifa. Na hakuna siku Mtanzania ataambiwa alipe Deni la Taifa atoe mchango mkubwa. Hiyo inakuwa ni kama mzazi ukikopa mshahara wako hakuna atakwenda kuchukua madaftari ya mwanafunzi". Dkt. Mwigulu Nchemba, Waziri wa Fedha na Mipango.
Ninachojua mimi ukilipa KODI unagongewa mlango ukikatwa TOZO unagongewa mlango, ukilipa USHURU unagongewa mlango.
Mwigulu haoni hizi tozo au anajizima data.
Imethibitishwa Tsh29,000.00 imetumwa kwa 2557xxxxxxxxx - XXXXXX XXXX Tarehe 13/12/22 saa 11:09 AM Jumla ya Ada Tsh686.00 (M-Pesa Ada Tsh380.00 + TOZO ya Serikali Tsh306.00). Salio lako ni Tshxxxxxxx.
Anaitumia Phd yake kama chambo ya kuwavua samaki wadogo (masikini) kwa porojo za mdomo..Hii PHD ya huyu mtu ameiokota barabarani?
Na leo kakazia eti Mo na Bakhresa wakikopa nje hilo ni deni la taifa πͺπͺKuna mjadala umekuwa ukiendelea kwa nini deni la taifa linaongezeka
Naona kuna kiongozi akasema deni la taifa linajumuisha mikopo ya serikali na mikopo ya sekta binafsiii .... binafsi sikuelewa hili jamboo .... inakuwaje ukopaji wa sekta binafsi uwe sehemu ya deni la taifa
Inadhamini.Kuna mjadala umekuwa ukiendelea kwa nini deni la taifa linaongezeka
Naona kuna kiongozi akasema deni la taifa linajumuisha mikopo ya serikali na mikopo ya sekta binafsiii .... binafsi sikuelewa hili jamboo .... inakuwaje ukopaji wa sekta binafsi uwe sehemu ya deni la taifa
Tugongewe mara mbili akati janaMimi ni layman wa uchumi lakini alichoongea leo Mwigulu Nchemba katika kipindi cha 360 Clouds TV ni Doctorial Rubbish, amesema,
"Hakuna siku Mtanzania atakwenda kugongewa mlango kwamba sasa atoe mbuzi alipe Deni la Taifa. Na hakuna siku Mtanzania ataambiwa alipe Deni la Taifa atoe mchango mkubwa. Hiyo inakuwa ni kama mzazi ukikopa mshahara wako hakuna atakwenda kuchukua madaftari ya mwanafunzi". Dkt. Mwigulu Nchemba, Waziri wa Fedha na Mipango.
Ninachojua mimi ukilipa KODI unagongewa mlango ukikatwa TOZO unagongewa mlango, ukilipa USHURU unagongewa mlango.
Mwigulu haoni hizi tozo au anajizima data.
Imethibitishwa Tsh29,000.00 imetumwa kwa 2557xxxxxxxxx - XXXXXX XXXX Tarehe 13/12/22 saa 11:09 AM Jumla ya Ada Tsh686.00 (M-Pesa Ada Tsh380.00 + TOZO ya Serikali Tsh306.00). Salio lako ni Tshxxxxxxx.