Mwigulu hatodumu Wizara ya fedha, hana traits za kuimudu kazi yake

Mwigulu hatodumu Wizara ya fedha, hana traits za kuimudu kazi yake

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2019
Posts
762
Reaction score
6,984
Mataifa makubwa ikiwemo S. Africa kauli ya Waziri wa Fedha inaweza kuchangia positively or negatively kwenye uchumi. Waziri wa Fedha akizungumza Jambo watu hupima mapokeo kwa kuhojiana na Wafanyabiashara, wachumi na pia kuangalia trend ya soko la hisa la nchi husika.

Nikimwangalia nakumsikiliza Mwigulu, nikiangalia historia yake kwenye hii nchi ninakiri hana uwezo wa kuongoza wizara ya fedha. Ana uwezo mkubwa darasani lakini siyo mbunifu, Ni mtu anayefaa kuajiriwa na kusimamiwa siyo kusimamia.

Kinachokwenda kutokea ni Makamu wa Rais anakwenda kufanya kazi za Waziri wa Fedha. Swali, kwa malengo ya kisiasa ya Mwigulu atakubali kuongoza na Dr. Mpango? Ukweli ni kwamba hatokubali. So lazima ugomvi utatokea vinginevyo Dr. Mpango achague kukaa kimya Jambo ambalo ni gumu kwa sababu Mhe Rais ameshamkabidhi jukumu la kumsimamia na kumwongoza Mwigulu.

Mhe. Rais alipompa jukumu la wizara ya fedha Makamu wa Rais alijua kabisa Waziri na Naibu ni wachanga kwenye Wizara hii.
 
Nimemsikiliza huyu jamaa Bwana Madelu Mwigulu Nchemba akiongea na Timu ya Wizara ya Fedha jamaa anaonekana ni mtupu kabisa kichwani kuhusu mambo ya Uchumi!! Sijamsikia akiweka mkakati wowote namna atakavobuni mbinu mpya za kukusanya Kodi au kuongeza Wigo wa kukusanya kodi...!!!

Sana alikuwa anarejea tu hotuba ya Mhe. Mama Samia kasema, kasema, mama kasema na kujirudiarudia kwingi. Nimecheka sana alipotoa mfano wa kijijini kwao Iramba kuhusu Wafugaji wa ng 'ombe kuwa huwa hawakamui maziwa yote mpaka damu itoke....lazima wamwachie ndama naye kidogo!!!!

Huyo ndio Mchumi namba 1 aliyeaminiwa na Mama Samia Suluhu. What a shame to this man?? Bila shaka mama atakuwa ameingizwa choo cha kiume.
Kuna tofauti kubwa sana ya mtu kufaulu darasani with Honours na kile mtu anakwenda kuki-present site katika utekelezaji.

Tusubiri, muda utasema tu!!!
 
Ni kweli!

Mwigulu sijawahi kumwona akifaa kwenye wizara yoyote ile, tokea zamani.

Nashangaa bado tu anapewa nafasi za juu kana kwamba utendaji wake ni stellar kivile!


Huyu jamaa amesoma Udaktari wa Uchumi lakini HAJAELIMIKA kabisa...!!
Hapa hatuna Waziri wa Fedha tuna mganga njaa tu!!
Ukimsikiliza kwa makini kabisa unaona huyu....!!!??Mtu anahaha kutafuta maneno ya kichumi kuwaambia Watz....!!!!Waziri wa Fedha bado.......Time will tell!
 
Hii nchi hii ili ufanikiwe kuiongoza inabidi uwe bandidu kiasi
 
Ninyi watu humu mna habari madame President yumo humu anatusoma? Hili la madelu na ndugulile atalifanyia kazi mapema baada ya kikao Cha bajeti kuisha! Kipimo pekee Cha madelu ni jinsi atakavyojibu maswali kwenye kikao Cha bajeti! Tumuombe madame President afya njema ili aweze kumtafakari vizuri huyu njemba mgonga punda! Hamalizi mwaka huu pale hazina!
 
Hii ndiyo mada Yangu Bora ya mwezi huu.
mtoa mada hii mada yako itakuja kufanya kazi vizuri siku ambayo mwigulu atakuwa ametumbuliwa,kila mtu atasoma huu utabiri wako...

acha tusubiri hiyo siku
 
Mataifa makubwa ikiwemo S.Africa kauli ya Waziri wa Fedha inaweza kuchangia positively or negatively kwenye uchumi. Waziri wa Fedha akizungumza Jambo watu hupima mapokeo kwa kuhojiana na Wafanyabiashara, wachumi na pia kuangalia trend ya soko la hisa la nchi husika.

Nikimwangalia nakumsikiliza Mwigulu, nikiangalia historia yake kwenye hii nchi ninakiri hana uwezo wa kuongoza wizara ya fedha. Ana uwezo mkubwa darasani lakini siyo mbunifu, Ni mtu anayefaa kuajiriwa na kusimamiwa siyo kusimamia.

Kinachokwenda kutokea ni Makamu wa Rais anakwenda kufanya kazi za Waziri wa Fedha. Swali, kwa malengo ya kisiasa ya Mwigulu atakubali kuongoza na Dr. Mpango? Ukweli ni kwamba hatokubali. So lazima ugomvi utatokea vinginevyo Dr. Mpango achague kukaa kimya Jambo ambalo ni gumu kwa sababu Mhe Rais ameshamkabidhi jukumu la kumsimamia na kumwongoza Mwigulu.

Mhe. Rais alipompa jukumu la wizara ya fedha Makamu wa Rais alijua kabisa Waziri na Naibu ni wachanga kwenye Wizara hii.
Ana uwezo darasani we ulisoma nae ukampima?
 
Mataifa makubwa ikiwemo S.Africa kauli ya Waziri wa Fedha inaweza kuchangia positively or negatively kwenye uchumi. Waziri wa Fedha akizungumza Jambo watu hupima mapokeo kwa kuhojiana na Wafanyabiashara, wachumi na pia kuangalia trend ya soko la hisa la nchi husika.

Nikimwangalia nakumsikiliza Mwigulu, nikiangalia historia yake kwenye hii nchi ninakiri hana uwezo wa kuongoza wizara ya fedha. Ana uwezo mkubwa darasani lakini siyo mbunifu, Ni mtu anayefaa kuajiriwa na kusimamiwa siyo kusimamia.

Kinachokwenda kutokea ni Makamu wa Rais anakwenda kufanya kazi za Waziri wa Fedha. Swali, kwa malengo ya kisiasa ya Mwigulu atakubali kuongoza na Dr. Mpango? Ukweli ni kwamba hatokubali. So lazima ugomvi utatokea vinginevyo Dr. Mpango achague kukaa kimya Jambo ambalo ni gumu kwa sababu Mhe Rais ameshamkabidhi jukumu la kumsimamia na kumwongoza Mwigulu.

Mhe. Rais alipompa jukumu la wizara ya fedha Makamu wa Rais alijua kabisa Waziri na Naibu ni wachanga kwenye Wizara hii.
Hujui utawala wa nchi hii. Kazi kubwa ya Dr Mpango ni kumwakilisha Samia. Acheni kuandika kila upupu ujao kichwani
 
Back
Top Bottom