Mwigulu hatodumu Wizara ya fedha, hana traits za kuimudu kazi yake

Mwigulu hatodumu Wizara ya fedha, hana traits za kuimudu kazi yake

Kwani nimepata mimi hiyo first class hadi nikutishe nayo. We umeuliza kama mtoa mada amesoma nae hadi ajue uwezo wake, mi nimekujibu taarifa zilizopo mtandaoni.
Kuwa na first class darasani na utekelezaji wa kazi ni vitu viwili tofauti.
Mitandaoni taarifa!
 
Kinachokwenda kutokea ni Makamu wa Rais anakwenda kufanya kazi za Waziri wa Fedha. Swali, kwa malengo ya kisiasa ya Mwigulu atakubali kuongoza na Dr. Mpango? Ukweli ni kwamba hatokubali. So lazima ugomvi utatokea vinginevyo Dr. Mpango achague kukaa kimya
Mwigulu "akikataa maelekezo" safari nje ya Wizara itamhusu. Msimchukulie poa Dr. Mpango na kumbuka hata kwenye lile sakata la Makontena ya Bashite, Mpango alisimama imara
 
Nimemsikiliza huyu jamaa Bwana Madelu Mwigulu Nchemba akiongea na Timu ya Wizara ya Fedha jamaa anaonekana ni mtupu kabisa kichwani kuhusu mambo ya Uchumi!! Sijamsikia akiweka mkakati wowote namna atakavobuni mbinu mpya za kukusanya Kodi au kuongeza Wigo wa kukusanya kodi...!!!

Sana alikuwa anarejea tu hotuba ya Mhe. Mama Samia kasema, kasema, mama kasema na kujirudiarudia kwingi. Nimecheka sana alipotoa mfano wa kijijini kwao Iramba kuhusu Wafugaji wa ng 'ombe kuwa huwa hawakamui maziwa yote mpaka damu itoke....lazima wamwachie ndama naye kidogo!!!!

Huyo ndio Mchumi namba 1 aliyeaminiwa na Mama Samia Suluhu. What a shame to this man?? Bila shaka mama atakuwa ameingizwa choo cha kiume.
Kuna tofauti kubwa sana ya mtu kufaulu darasani with Honours na kile mtu anakwenda kuki-present site katika utekelezaji.

Tusubiri, muda utasema tu!!!
Huyu ataboronga hatariii
Elimu za kuungaunga
Lugha ya Malkia shida
Ubongo mweupeee
Mbinafsi
Hajiamini
Mzaha mwingi
 
Nasisitiza Mwigulu Nchemba ni Mchumi First Class na anaouwezo mkubwa wa kuiongoza Wizara ya Fedha.

Hebu tuondoe chuki na fitna na tumuache afanye kazi yake.

Piga kazi Mh. Waziri watakusifia baadae.
 
Mimi NAOMBA kuuliza swali kwa wanaomfahamu Mh.Mwingulu.KWANI DEGREE YAKE YA KWANZA NA YA PILI KASOMEA MAMBO YA FINANCE NA AU UCHUMI ? JE DEGREE YAKE YA PhD kasomea nini ?
 
Huyu ndy Galasa la Kabinet ya mama...nmewaza sana yeye na linaibu lake wakiwa Interior ministry Watu walipotea sana...Sjui Vetting masters wanakulaga opium au nini??
 
Kwani kuna taabu gani kumweka mtu kama Prof. Mussa Assad the former CAG?

Katika vipindi vya mpito kama hiki sio vibaya kuwatumia watu kama hawa kwa muda fulani ili kurekebisha mambo huku the right person na damu changa ikiandaliwa...

Hata watu kama Zitto Kabwe siyo vibaya kuwatumia. Ni kiasi cha kuruka viunzi vya political barriers vyote ili mradi kuhakikisha mambo yaliyohabiwa na Jiwe yanatengemaa...
 
Kwani kuna taabu gani kumweka mtu kama Prof. Mussa Assad the former CAG?

Katika vipindi vya mpito kama hiki sio vibaya kuwatumia watu kama hawa kwa muda fulani ili kurekebisha mambo huku the right person na damu changa ikiandaliwa...

Hata watu kama Zitto Kabwe siyo vibaya kuwatumia. Ni kiasi cha kuruka viunzi vya political barriers vyote ili mradi kuhakikisha mambo yaliyohabiwa na Jiwe yanatengemaa...

Screenshot_20210402-192032.png
 
Tuache Ramli Chonganishi.

Tumpe Muda, atimize wajibu na majukumu yake kisha Tupime utendaji Wake.
 
Kweli tumelamba udongo jamaa huwa ana panic sana tena ni mbinafsi sana
 
Back
Top Bottom