Stanley.
JF-Expert Member
- Sep 6, 2011
- 659
- 298
Hii inamzuia kufanya kazi za utumishi ila za kisiasa kama uwaziri anaweza lakini sio katibu mkuu au afisa mwandamizi serikalini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii inamzuia kufanya kazi za utumishi ila za kisiasa kama uwaziri anaweza lakini sio katibu mkuu au afisa mwandamizi serikalini
Mkuu nini ubaya wa mfano wa ng'ombe alioutowa Mh. Waziri? Auulitaka atoe mfano Uingereza ndiyo uelewe?Nimemsikiliza huyu jamaa Bwana Madelu Mwigulu Nchemba akiongea na Timu ya Wizara ya Fedha jamaa anaonekana ni mtupu kabisa kichwani kuhusu mambo ya Uchumi!! Sijamsikia akiweka mkakati wowote namna atakavobuni mbinu mpya za kukusanya Kodi au kuongeza Wigo wa kukusanya kodi...!!!
Sana alikuwa anarejea tu hotuba ya Mhe. Mama Samia kasema, kasema, mama kasema na kujirudiarudia kwingi. Nimecheka sana alipotoa mfano wa kijijini kwao Iramba kuhusu Wafugaji wa ng 'ombe kuwa huwa hawakamui maziwa yote mpaka damu itoke....lazima wamwachie ndama naye kidogo!!!!
Huyo ndio Mchumi namba 1 aliyeaminiwa na Mama Samia Suluhu. What a shame to this man?? Bila shaka mama atakuwa ameingizwa choo cha kiume.
Kuna tofauti kubwa sana ya mtu kufaulu darasani with Honours na kile mtu anakwenda kuki-present site katika utekelezaji.
Tusubiri, muda utasema tu!!!
Mbona wako "madokta" wengi tu hawajui Kiingereza. Kwa mfano, Dk. Kangi Lugola, Mollel na Mwigulu n.k. hao wote ni maboya tu.Mkuu mtu Dokta halafu lugha ya malkia iwe shida, inawezekana hii kweli?
Huyo jamaa mugonga Punda a.k.a Fusso hapashwi kudumu ofisi ile hata kwa sekunde 1...!!!Yaelekea madame hamjui vzr jamaa ! Bila shaka atakapo ona graph ya Uchumi inadorora ndipo atajua ingawa atakuwa amechelewa sana🤩🤩Ninyi watu humu mna habari madame President yumo humu anatusoma? Hili la madelu na ndugulile atalifanyia kazi mapema baada ya kikao Cha bajeti kuisha! Kipimo pekee Cha madelu ni jinsi atakavyojibu maswali kwenye kikao Cha bajeti! Tumuombe madame President afya njema ili aweze kumtafakari vizuri huyu njemba mgonga punda! Hamalizi mwaka huu pale hazina!
Mzee Ndugai alisema Waziri wa Fedha anshitajika sana kipindi hiki lakini hapohapo akasema sasa hivi tunaye Mwigulu alafu akacheka sikumwelewa Cheka take lakini muhusika alimwelewaMataifa makubwa ikiwemo S.Africa kauli ya Waziri wa Fedha inaweza kuchangia positively or negatively kwenye uchumi. Waziri wa Fedha akizungumza Jambo watu hupima mapokeo kwa kuhojiana na Wafanyabiashara, wachumi na pia kuangalia trend ya soko la hisa la nchi husika.
Nikimwangalia nakumsikiliza Mwigulu, nikiangalia historia yake kwenye hii nchi ninakiri hana uwezo wa kuongoza wizara ya fedha. Ana uwezo mkubwa darasani lakini siyo mbunifu, Ni mtu anayefaa kuajiriwa na kusimamiwa siyo kusimamia.
Kinachokwenda kutokea ni Makamu wa Rais anakwenda kufanya kazi za Waziri wa Fedha. Swali, kwa malengo ya kisiasa ya Mwigulu atakubali kuongoza na Dr. Mpango? Ukweli ni kwamba hatokubali. So lazima ugomvi utatokea vinginevyo Dr. Mpango achague kukaa kimya Jambo ambalo ni gumu kwa sababu Mhe Rais ameshamkabidhi jukumu la kumsimamia na kumwongoza Mwigulu.
Mhe. Rais alipompa jukumu la wizara ya fedha Makamu wa Rais alijua kabisa Waziri na Naibu ni wachanga kwenye Wizara hii.
Kazi sana, yaani wewe unamfahamu saaana? Nyinyi watu inaonekana mmeaminishwa tofauti hasa kiutendaji na alivyo.Mataifa makubwa ikiwemo S.Africa kauli ya Waziri wa Fedha inaweza kuchangia positively or negatively kwenye uchumi. Waziri wa Fedha akizungumza Jambo watu hupima mapokeo kwa kuhojiana na Wafanyabiashara, wachumi na pia kuangalia trend ya soko la hisa la nchi husika.
Nikimwangalia nakumsikiliza Mwigulu, nikiangalia historia yake kwenye hii nchi ninakiri hana uwezo wa kuongoza wizara ya fedha. Ana uwezo mkubwa darasani lakini siyo mbunifu, Ni mtu anayefaa kuajiriwa na kusimamiwa siyo kusimamia.
Kinachokwenda kutokea ni Makamu wa Rais anakwenda kufanya kazi za Waziri wa Fedha. Swali, kwa malengo ya kisiasa ya Mwigulu atakubali kuongoza na Dr. Mpango? Ukweli ni kwamba hatokubali. So lazima ugomvi utatokea vinginevyo Dr. Mpango achague kukaa kimya Jambo ambalo ni gumu kwa sababu Mhe Rais ameshamkabidhi jukumu la kumsimamia na kumwongoza Mwigulu.
Mhe. Rais alipompa jukumu la wizara ya fedha Makamu wa Rais alijua kabisa Waziri na Naibu ni wachanga kwenye Wizara hii.
Umemjibu fresh hatari