Tatizo kubwa ni maneno yake dhidi ya raia wenzake kwamba wahamie Burundi.
Katika jamii ya wastaarabu, mashinikizo ya kujiuzulu yasingekoma hadi aachie ngazi.
 
Reactions: Qwy
Anaibusha wanyaturu wenzake , huyu ndio nyaturu mpumbavu kuliko wote duniani
 

Huyu huyu Rais aliyeridhia hiyo levy ya kipumbavu au wewe mwenzetu unamzungumzia Rais gani labda?
 
Mwigulu hana kosa. Ajiuzulu kwa sababu gani? Mnaosema hivyo hamna hoja.

Mnapambana na remote mshika remote mnamuacha ametulia.

Kwann hamsemi Samia ajiuzulu!!?
 
Ummy wizara kubwa sana ile ndo Mana kapoteza direction
Uwezo wake ni mdogo. Halmashauri inaliwa tu na mkurugenzi ambaye ni rafiki yake na lidada limoja ambalo limemuweka mkurugenzi na Ummy mkononi. Yanafanyika mambo ya aibu na yahovyo Tanga
 
Chadema mmeacha madai ya katiba mpya sasa mmehamia kwenye tozo za kodi ya kizalendo, kamwe hamto fanikiwa mnacho kitaka.
Shirikisha halmashauri ya kichwa chako kwanza kabla ya kuandika upuuzi wako.
 
Hafai huyu mshirikina.
 
Kwani hii nchi Kuna wabunge ?
 

Duuuh!!
"Mwanamke mwendawazimu akamzaa injinia ama daktari"!!!!!!
Hivi hii ni kutokana na elimu mliyopata ama ni vichwani empty au ni vyote viwili!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…