cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Kwa mazuri machache, ndio alikuwa hatuletei msosi mezani ila vitu vingi vya kijinga Ali deal navyo effectively bila simile kabisaTumkumbuke kivipi?..kwamba maisha yalikuwa malaini sana kipindi chake au?..