Standards Person
JF-Expert Member
- Apr 22, 2021
- 672
- 860
Mwigulu aungane na vuvuzela Ummy mpiga kelele,anambwembwe ili abakie pale.Mamlaka ya uteuzi tuseme Sasa imetoshaaaaa
Tozo ya Mafuta juu
Tozo ya Fedha mitandaoni juu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwigulu aungane na vuvuzela Ummy mpiga kelele,anambwembwe ili abakie pale.Mamlaka ya uteuzi tuseme Sasa imetoshaaaaa
Tozo ya Mafuta juu
Tozo ya Fedha mitandaoni juu...
Ummy wizara kubwa sana ile ndo Mana kapoteza directionMwigulu aungane na vuvuzela Ummy mpiga kelele,anambwembwe ili abakie pale.
Sindo hapoItakuwa wamemuonea tu. Bajeti na tozo hiz vimependekezwa na wataalamu wa wizara, kisha wakapelekewa wadau then makatibu wakuu wote wakajadili.
Halafu yakapelekwa kwenye baraza la Mawaziri chini ya uenyekiti wa SSH, likabariki yaende bungeni. Nako huko wakaridhia yapitishwe.
Kosa la Mwigulu liko wapi??
Utakuwa uonevu mmkubwa mno kwa kweli. Kitu kama hiki hakiwezi kuwepo bila baraka za Rais. Kufukuza waziri ni uonevu.....labda amfukuze kwa kutuambia tuhamie burundi lakini kama ni tozo hapanaItakuwa wamemuonea tu. Bajeti na tozo hiz vimependekezwa na wataalamu wa wizara, kisha wakapelekewa wadau then makatibu wakuu wote wakajadili.
Halafu yakapelekwa kwenye baraza la Mawaziri chini ya uenyekiti wa SSH, likabariki yaende bungeni. Nako huko wakaridhia yapitishwe.
Kosa la Mwigulu liko wapi??
Rais samia hawezi kumtumbua mwigulu kwa sababu ya chuki zenu binafsi dhidi yake labda kuwe na sababu nyingine tofauti nje ya kodi ya miamala
Majibu ya bwana nchemba ni takataka kabisa, Phd holder wa vile 😳😳Utakuwa uonevu mmkubwa mno kwa kweli. Kitu kama hiki hakiwezi kuwepo bila baraka za Rais. Kufukuza waziri ni uonevu.....labda amfukuze kwa kutuambia tuhamie burundi lakini kama ni tozo hapana
Nimechukia kweli kusoma comment yako.Rais samia hawezi kumtumbua mwigulu kwa sababu ya chuki zenu binafsi dhidi yake labda kuwe na sababu nyingine tofauti nje ya kodi ya miamala
Kwahiyo huko kwenye baraza ndio walimtuma awaambie watanzania wasiotaka kulipa hiyo kodi wahamie Burundi?Itakuwa wamemuonea tu. Bajeti na tozo hiz vimependekezwa na wataalamu wa wizara, kisha wakapelekewa wadau then makatibu wakuu wote wakajadili.
Halafu yakapelekwa kwenye baraza la Mawaziri chini ya uenyekiti wa SSH, likabariki yaende bungeni. Nako huko wakaridhia yapitishwe.
Kosa la Mwigulu liko wapi??