Mwigulu, it's enough. You MUST resign!
F6C92176-71F7-482C-B74B-EA241F5E3F6F.jpeg
EF5F130A-0CDD-4AB3-93DB-968040175B18.jpeg
 
Rais samia hawezi kumtumbua mwigulu kwa sababu ya chuki zenu binafsi dhidi yake labda kuwe na sababu nyingine tofauti nje ya kodi ya miamala
 
Itakuwa wamemuonea tu. Bajeti na tozo hiz vimependekezwa na wataalamu wa wizara, kisha wakapelekewa wadau then makatibu wakuu wote wakajadili.

Halafu yakapelekwa kwenye baraza la Mawaziri chini ya uenyekiti wa SSH, likabariki yaende bungeni. Nako huko wakaridhia yapitishwe.

Kosa la Mwigulu liko wapi??
 
Akiondolewa halafu tozo nazo zikaondolewa hii serikali itakuwa ya kwanza kwa upumbavu na udhaifu kiwahi kuwako hapa duniani!

Itakuwa-kuwa Rais alikuwa out of function and responsiveness
 
Itakuwa wamemuonea tu. Bajeti na tozo hiz vimependekezwa na wataalamu wa wizara, kisha wakapelekewa wadau then makatibu wakuu wote wakajadili.

Halafu yakapelekwa kwenye baraza la Mawaziri chini ya uenyekiti wa SSH, likabariki yaende bungeni. Nako huko wakaridhia yapitishwe.

Kosa la Mwigulu liko wapi??
Sindo hapo
 
Itakuwa wamemuonea tu. Bajeti na tozo hiz vimependekezwa na wataalamu wa wizara, kisha wakapelekewa wadau then makatibu wakuu wote wakajadili.

Halafu yakapelekwa kwenye baraza la Mawaziri chini ya uenyekiti wa SSH, likabariki yaende bungeni. Nako huko wakaridhia yapitishwe.

Kosa la Mwigulu liko wapi??
Utakuwa uonevu mmkubwa mno kwa kweli. Kitu kama hiki hakiwezi kuwepo bila baraka za Rais. Kufukuza waziri ni uonevu.....labda amfukuze kwa kutuambia tuhamie burundi lakini kama ni tozo hapana
 
Rais samia hawezi kumtumbua mwigulu kwa sababu ya chuki zenu binafsi dhidi yake labda kuwe na sababu nyingine tofauti nje ya kodi ya miamala

Labda ashindwe kumtumbua kwakuwa ni mchawi, lakini kiuwezo ameprove failure.
 
Itakuwa wamemuonea tu. Bajeti na tozo hiz vimependekezwa na wataalamu wa wizara, kisha wakapelekewa wadau then makatibu wakuu wote wakajadili.

Halafu yakapelekwa kwenye baraza la Mawaziri chini ya uenyekiti wa SSH, likabariki yaende bungeni. Nako huko wakaridhia yapitishwe.

Kosa la Mwigulu liko wapi??
Kwahiyo huko kwenye baraza ndio walimtuma awaambie watanzania wasiotaka kulipa hiyo kodi wahamie Burundi?
 
Hatutushangaa, kwa mtu makini kabisa hawezi kufanyq kazi na huyu mzee wa wagumashi - mzee wa kujikomba komba.
 
Kwa hiyo mzee wa Benki ndani ya nyumba?? Yule mzee aliyepata kura 150 za ubunge....kweli ......maajabu yapo TZ.
 
Back
Top Bottom