Mwigulu katika kashfa nzito: Atuhumiwa kutumiwa na mkewe kwa maslahi binafsi

Hili lichama limejaa watu wa ajabu mno..

Yako busy kubambikia watu kesi badala ya kushughulika na mambo ya msingi.

Utashangaa hili gazeti linaweza fungiwa.

CCM si chama cha siasa bali ni kikundi cha watu wachache kwa masilahi yao.
Ni kweli ila Chadema nayo is no better tena naweza kusema wao watakuwa balaa zaidi kutokana na kuwa na hasira ya kulipiza kisasi.
 
Though ukiwa ccm upo juu ya Sheria walioifirisi nssf kina dau mbona wanadunda.Anayeshughulikiwa kufungwa na kufukuzwa Kazi ni watumishi wadogo wadogo waliopokea elf 5 au 10 .Majizi makubwa ya ccm huwa yanahamishwa tu wizara.
 
Kwani walikua hawajui kama jamaa ni jizi , kampuni ya mabasi anadai ni ya mkewe kumbe ni yeye na amepora vituo vingi sana vya mafuta kwa kigezo cha kodi kumbe ni janja ili aendeshe yeye, kiufupi jamaa ni crap kama wenzie tu, ndiomaana jana watu walisema kama wachumi wenyewe ndio hawa kamwe tusitegemee lolote la maana kwenye nchi hii, nchi ya majizi manafiki na maongo
 
Hili gazeti la kufungia mihogo ndio liliandika ole sabaya ni billionea , wapuuzi sana linatumiwa na mbowe na genge lake

USSR
Lakini leo sabaya yuko wapi?
 
Hao ndio mafisadi wa CCM. Wako kwenye uongozi kwa ajili ya kujinufaisha. Kwenye bajeti hii wameamua kukarabati viwanja vyao vya mpira wanavyovimiliki ndio maana wakafuta kodi ya nyasi bandia.

Rais HAWEZI MFANYA CHOCHOTE MWIGULU.

Nawaza kwanini Raisi hafanyi lolote juu ya Mwigulu
Mama nyoka unae mfuga ipo siku atakumeza.....
Ni kweli wanawake hatuwezi,am so dissapointed
 
Hili lichama limejaa watu wa ajabu mno.

Yako busy kubambikia watu kesi badala ya kushughulika na mambo ya msingi.

Utashangaa hili gazeti linaweza fungiwa.

CCM si chama cha siasa bali ni kikundi cha watu wachache kwa masilahi yao.
Star TV wapo na Mzee Saidi katika Mada ya Utekelezaji wa maendeleo ya Wananchi.Huyo Mwigulu ni Opportunistic na hajapita katika Tanuru la Uongozi.Uzalendo ni kujitanda Bendera ya Taifa?
 
Hivi ni kingozi gani atakayekaa sekta nyeti kama ya Waziri wa Fedha na kutengeneza sera zinazohitaji maamuzi magumu halafu asitafutiwe zengwe?

Hizi kelele za Mwigulu atumbuliwe ni wivu tu usio na msingi kutoka kwa haters. Kazi kwa mama ni je ataweza kuread through the mind of haters na wanachokitaka? Hao hao wanaomtaka Mwigulu atumbuliwe ndio hao hao wanaomwambia mama ni dikteta kuliko mtangulizi wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…