Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
Tueleweshe
Ukinunua vocha unakatwa VAT inakuuma? Tofauti na ukitoa kama unalipa indirect is better
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tueleweshe
Ndio maana nimeusifu huu utaratibu kwangu itakuwa sherehe, hii direct tax wengine tulikuwa tunabambikiwa kulipa elf60 kwa mwaka, mie maafisa wa mapato walinikadiria hivyo kisa nyumba ina fremu za biashara nne mbele.Acha kupotosha wew elfu 60 gani ?
Wanakata buku kwa mwezi hivyo kufanya 12k kwa mwaka mmoja na sio kama unavyodai wew
Aisee watu wagumu kuelewa sana,wamebakia kulalama, wanalalamika hospitalini madawa hamna, serikali inabuni vyanzo vya mapato ili kuboresha baadhi ya huduma za kijamii, lakini bado majitu yanapingaMimi nashangaa watu kulalamika tu utasema hiyo alfu 6 watu watakufa njaa isipolipwa kwa Luku italipwa tu kwa njia nyingine huwezi kuikwepa na bado nyumba zenye wapangaji ndio kabisa labda utajikuta unachangia shilling 100 tu na mwenye nyumba atafanya reconciliation kuwarudisha Shilling 100 bado mnataka nini?
Kama system inajali nyumba tu, haingalii mambo ya nyumba ina frem sijui ngapi naomba huu utaratibu uhalakishwe make wengine tulikuwa tunapgwa au afisa anaamua kukukomoa tu bila Sababu za msingi.Acha kupotosha wew elfu 60 gani ?
Wanakata buku kwa mwezi hivyo kufanya 12k kwa mwaka mmoja na sio kama unavyodai wew
Sisi wa Tanzania hii ndio shida yetu kubwa unaweza kumchukia mtu lakini kama anataka kufanya jambo zuri lazima tumuunge mkono mambo ya kizamani kupiga foleni kulipa kodi ndogondogo yamepitwa na wakati unalipa bila hata kujuwa umelipa. Kodi ni lazima tulipe na hapa hii wala sio kodi mpya bali imeboreshwa tu katika ulipaji lakini tunalalamika.aisee watu wagumu kuelewa sana,wamebakia kulalama, wanalalamika hospitalini madawa hamna, serikali inabuni vyanzo vya mapato ili kuboresha baadhi ya huduma za kijamii, lakini bado majitu yanapinga
Naona yanafanyika maandalizi ya pambano la masumbwi kati ya mpangaji na mwenyenyumba kugombea mkanda wa "kurejesheana" hela.Mimi nashangaa watu kulalamika tu utasema hiyo alfu 6 watu watakufa njaa isipolipwa kwa Luku italipwa tu kwa njia nyingine huwezi kuikwepa na bado nyumba zenye wapangaji ndio kabisa labda utajikuta unachangia shilling 100 tu na mwenye nyumba atafanya reconciliation kuwarudisha Shilling 100 bado mnataka nini?
Yani wewe ndo jinga kabisa badala ya kuja na mapendekezo ya nini kifanyike kazi yako ni kukejeri, wazo hilo angelitoa mtu kama mbowe ungekuja kusema kuwa mbowe ni akili kubwa shwaini kabisa nyie nyumbu.Waziri wa hovyo kabisa kuwahi kutokea
Kwani mwenye nyumba akisema napandisha kodi alfu 1kila mpangaji kuna mtu atakataa?Naona yanafanyika maandalizi ya pambano la masumbwi kati ya mpangaji na mwenyenyumba kugombea mkanda wa "kurejesheana" hela.
Nadhani we ujajenga bado, ila wenye vibanda tunajua ukienda kuomba umeme Tanesco ,lazima uambatanishe na mchoro wa jengo husikaIssue ni system za Tanesco zitajuaje hii ni mita ya nyumba ya kawaida ikatwe buku na hili ni ghorofa ikatwe buku 5. Ndio kubambikiwa una ghorofa kumbe kibanda [emoji3][emoji3][emoji3]
Kwa nyie mliojenga miaka hii labda. Mimi sikupeleka mchoro na umeme upo. Wewe ghorofa lako ulijenga lini? Na unazungumzia mchoro wa wiring au ramani ya jengo? Chunga sanaNadhani we ujajenga bado, ila wenye vibanda tunajua ukienda kuomba umeme Tanesco ,lazima uambatanishe na mchoro wa jengo husika
eti ukinunua umeme wa buku mbili unakatwa mia mbili kodi ya jengo alafu wewe unampigia simu mwenye nyumba wako unamdai hiyo mia mbili uliyokatwaSijaelewa
Compliance kwa untaxable bracket? Yaani mhusika alipe na wasiohusika walipe? Huoni kunaTax cascading hapo?Compliance is at excess
Jinga wewe, wai kwa shemeji ugali tayari, .Kwa nyie mliojenga miaka hii labda. Mimi sikupeleka mchoro na umeme upo. Wewe ghorofa lako ulijenga lini? Na unazungumzia mchoro wa wiring au ramani ya jengo? Chunga sana
Kugoma nchi nzima hakuna kununua umeme vocha wa mafuta kwa muda wa mwezi moja tu tuone balaa lake kazi ndogo sana kugoma wote nchi nzima ccm wananunue wao tukiona nyumba inawaka umeme tutajua nikwakada wa ccmCCM ni kansa.
Kutokujibu swali ni ushamba.Jinga wewe, wai kwa shemeji ugali tayari, .