Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Shem katoka nini mkuu, naona upo huru sn leo. Pika watu waje waleHawezi kukuelewa huyo pimbi Babati!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shem katoka nini mkuu, naona upo huru sn leo. Pika watu waje waleHawezi kukuelewa huyo pimbi Babati!
Hakuna mtu pale! Yaani anajikanyaga kanyaga tu!Waziri wa hovyo kabisa kuwahi kutokea
wewe na huyu waziri wako mbumbumbu kamuambie nyumba moja ya mmiliki mmoja yaweza kua na meter za luku kama kumi na tano eneo Hilo hilo sababu kila mpangaji ana luku yake.Kwa hili serikali imefanya vyema sana. Inataka kuwe na compliance kubwa sana, pia administration cost itakuwa negligible kwa sababu the tax will be tapped at source.
Itakuwa na ufanisi kama road licence ambayo inatozwa kwenye mafuta. Hakuna senti inayopotea. Compliance is at excess.
ni ngumu mwenye nyumba hatakubaliIla nyie watu Wengine Ni wagumu kuelewa aisee,
Uyo mpangaji unaesema kanunua Luku yake, siataikata kwenye Kodi yake, Kama kwa miezi sita Laki sita, siatalipa Tsh. 594000.......mbona simple
Lile ni bumunda tupuHakuna mtu pale! Yaani anajikanyaga kanyaga tu!
Ok,Hama NchiLile ni bumunda tupu
Unajua sahivi nipo wapi?Ok,Hama Nchi
eti ukinunua umeme wa buku mbili unakatwa mia mbili kodi ya jengo alafu wewe unampigia simu mwenye nyumba wako unamdai hiyo mia mbili uliyokatwa
Umegusia compliance sasa compliance inataka mhusika atoe kodi ya majengo. Sasa kma hiyo burden ya kodi ya majengo inaenda kulipwa na mtu asiyehusika (mpangaji) ilihali hayo makato hayapo kwenye tax bracket yake je hyo ni compliance au ni cascading (Kulipisha kodi mara mbili mbili)