Mwigulu: Kodi ya majengo kwa kutumia LUKU sio ya Mpangaji ni ya Mmiliki

Mwigulu: Kodi ya majengo kwa kutumia LUKU sio ya Mpangaji ni ya Mmiliki

Mimi nafikiri wakati umefika wa kuweka mfumo wa kuwa na Mawazili wa kununuliwa kutoka nje ya nchi kama wachezaji wa mpira (Professional Ministers) ili tukodishe mawaziri kutoka nchi za kigeni tupate mawazo mapya
 
Kwa hili serikali imefanya vyema sana. Inataka kuwe na compliance kubwa sana, pia administration cost itakuwa negligible kwa sababu the tax will be tapped at source.

Itakuwa na ufanisi kama road licence ambayo inatozwa kwenye mafuta. Hakuna senti inayopotea. Compliance is at excess.
Hawezi kukuelewa huyo pimbi Babati!
 
Waziri wa Fedha na Mipango amesema mfumo wa ulipaji wa kodi ya majengo kwa kutumia mita za LUKU haitawahusu wapangaji bali ni wamiliki wa nyumba husika.

Ametoa mfano wa ilivyokuwa kwamba mpangaji anapokuwa amelipa malipo ya mmiliki huwa anawasiliana na mwenye nyumba wake ili arudishiwe hela yake.

Amesema mambo mengine yote yatakuwa ‘programmed’ vizuri ili kuepusha watu kupanga foleni ya kwenda kulipa kodi ya pango.
Mwingulu alinzia bandari ushuru 100% sikusikia mtu akilalamika,akaja kwenye mashine za EFD zinawatesa sana wafanya biashara bado sikusikia watu wakikalamika,tatizo la watanzinia tunashindwa kukemea hizi mambo mapema ukishaona mtu wa kaliba hii ukanyamaza kwasabu ajakugusa basi tia maji na bado huyu jamaa aleta mifumo migi sana ya ajabu
 
Mwigulu bana.. inabidi watengeneze operational plan ya hii kitu

Nyumba nyingi za kupanga anayelipa luku ni mpangaji mwenyewe tena nyumba moja unaweza kuta wapangaji watatu na kila mmoja ana mita yake.
 
Sijawahi kumuunga mkono Mwigulu ktk harakati zake na ungozi wake kea ujumla lkn kwa hili la kulipia kodi ya Jengo kupitia LUKU Mwigulu anastahiki pongezi.

Vv
 
Hivi waziri alishaweka wazi ni asilimia nagapi ya manunuzi ya Luku itakatwa kama kodi ya jengo?
 
Basi nenda kale. Kujikuta unajibu kila comment kumbe empy headed. Mavi ya kuku
Sasa mtu ambae hujui hata Tanesco Wana utaratibu gani mteja anapoenda kuomba umeme, ntakusaidia nini?;!
We endelea kupingapinga tu
 
Sasa mtu ambae hujui hata Tanesco Wana utaratibu gani mteja anapoenda kuomba umeme, ntakusaidia nini?;!
We endelea kupingapinga tu
Hauna unalojua. Nimekuuliza Tanesco wanachukua ramani ya jengo au mchoro wa wiring?
 
Kama ni lazima kuongeza kodi, basi iongezwe kwenye Umeme tu tujue moja na kila anayetumia umeme alipe accordingly.

Wafanye kama walivyoihamishia road licence kwenye wese
 
Waziri wa Fedha na Mipango amesema mfumo wa ulipaji wa kodi ya majengo kwa kutumia mita za LUKU haitawahusu wapangaji bali ni wamiliki wa nyumba husika.

Ametoa mfano wa ilivyokuwa kwamba mpangaji anapokuwa amelipa malipo ya mmiliki huwa anawasiliana na mwenye nyumba wake ili arudishiwe hela yake.

Amesema mambo mengine yote yatakuwa ‘programmed’ vizuri ili kuepusha watu kupanga foleni ya kwenda kulipa kodi ya pango.
Hahaha.. Hiki kichekeshao bei gani?
 
Mwigulu nilikuwa sikubaliani nawe ktk mengi, ila kwa hili nakuunga mkono, haya malalamiko ni kaupepo tu katapita, Mimi ni muumini wa indirect tax coz maumivu yake huwa hayaumizi kama direct tax,
Kwa hii comment yako inaonesha dhairi unamiliki nyumba.
 
I don't follow if you can come again please!!?
Umegusia compliance sasa compliance inataka mhusika atoe kodi ya majengo. Sasa kma hiyo burden ya kodi ya majengo inaenda kulipwa na mtu asiyehusika (mpangaji) ilihali hayo makato hayapo kwenye tax bracket yake je hyo ni compliance au ni cascading (Kulipisha kodi mara mbili mbili)
 
Back
Top Bottom