Semahengere
JF-Expert Member
- Nov 29, 2020
- 1,186
- 1,966
Mimi nafikiri wakati umefika wa kuweka mfumo wa kuwa na Mawazili wa kununuliwa kutoka nje ya nchi kama wachezaji wa mpira (Professional Ministers) ili tukodishe mawaziri kutoka nchi za kigeni tupate mawazo mapya