Semahengere
JF-Expert Member
- Nov 29, 2020
- 1,186
- 1,966
Compliance kwa untaxable bracket? Yaani mhusika alipe na wasiohusika walipe? Huoni kunaTax cascading hapo?
Siwezi kukujibu, maana huna unalolijua nadhaniKutokujibu swali ni ushamba.
Basi nenda kale. Kujikuta unajibu kila comment kumbe empy headed. Mavi ya kukuSiwezi kukujibu, maana huna unalolijua nadhani
Hawezi kukuelewa huyo pimbi Babati!Kwa hili serikali imefanya vyema sana. Inataka kuwe na compliance kubwa sana, pia administration cost itakuwa negligible kwa sababu the tax will be tapped at source.
Itakuwa na ufanisi kama road licence ambayo inatozwa kwenye mafuta. Hakuna senti inayopotea. Compliance is at excess.
Mwingulu alinzia bandari ushuru 100% sikusikia mtu akilalamika,akaja kwenye mashine za EFD zinawatesa sana wafanya biashara bado sikusikia watu wakikalamika,tatizo la watanzinia tunashindwa kukemea hizi mambo mapema ukishaona mtu wa kaliba hii ukanyamaza kwasabu ajakugusa basi tia maji na bado huyu jamaa aleta mifumo migi sana ya ajabuWaziri wa Fedha na Mipango amesema mfumo wa ulipaji wa kodi ya majengo kwa kutumia mita za LUKU haitawahusu wapangaji bali ni wamiliki wa nyumba husika.
Ametoa mfano wa ilivyokuwa kwamba mpangaji anapokuwa amelipa malipo ya mmiliki huwa anawasiliana na mwenye nyumba wake ili arudishiwe hela yake.
Amesema mambo mengine yote yatakuwa ‘programmed’ vizuri ili kuepusha watu kupanga foleni ya kwenda kulipa kodi ya pango.
Sasa mtu ambae hujui hata Tanesco Wana utaratibu gani mteja anapoenda kuomba umeme, ntakusaidia nini?;!Basi nenda kale. Kujikuta unajibu kila comment kumbe empy headed. Mavi ya kuku
Uwe unatunza virisiti vyote, umpelekee mwenye nyumba akupe refund..! Ukipoteza imekula kwako.Sijaelewa, yani nilipe kodi halafu hela yangu atairudisha mwenye nyumba????!!!!!
Hauna unalojua. Nimekuuliza Tanesco wanachukua ramani ya jengo au mchoro wa wiring?Sasa mtu ambae hujui hata Tanesco Wana utaratibu gani mteja anapoenda kuomba umeme, ntakusaidia nini?;!
We endelea kupingapinga tu
Hahaha.. Hiki kichekeshao bei gani?Waziri wa Fedha na Mipango amesema mfumo wa ulipaji wa kodi ya majengo kwa kutumia mita za LUKU haitawahusu wapangaji bali ni wamiliki wa nyumba husika.
Ametoa mfano wa ilivyokuwa kwamba mpangaji anapokuwa amelipa malipo ya mmiliki huwa anawasiliana na mwenye nyumba wake ili arudishiwe hela yake.
Amesema mambo mengine yote yatakuwa ‘programmed’ vizuri ili kuepusha watu kupanga foleni ya kwenda kulipa kodi ya pango.
Huo mchoro wa wiring unachorwa kwenye ramani ya bichwa lako!!!!Hauna unalojua. Nimekuuliza Tanesco wanachukua ramani ya jengo au mchoro wa wiring?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]huo mchoro wa wiring unachorwa kwenye ramani ya bichwa lako!!!!
Kwa hii comment yako inaonesha dhairi unamiliki nyumba.Mwigulu nilikuwa sikubaliani nawe ktk mengi, ila kwa hili nakuunga mkono, haya malalamiko ni kaupepo tu katapita, Mimi ni muumini wa indirect tax coz maumivu yake huwa hayaumizi kama direct tax,
Kodi ya majengo ni ya nyumba zilizopo kwenye majiji ,manispaa,miji na miji midogo sasa hii italipwa hadi vijijini.Kuna nyumba hazina umeme, wao watalipaje?
Umegusia compliance sasa compliance inataka mhusika atoe kodi ya majengo. Sasa kma hiyo burden ya kodi ya majengo inaenda kulipwa na mtu asiyehusika (mpangaji) ilihali hayo makato hayapo kwenye tax bracket yake je hyo ni compliance au ni cascading (Kulipisha kodi mara mbili mbili)I don't follow if you can come again please!!?
Umefua nguo za shem?Yani wewe ndo jinga kabisa badala ya kuja na mapendekezo ya nini kifanyike kazi yako ni kukejeri, wazo hilo angelitoa mtu kama mbowe ungekuja kusema kuwa mbowe ni akili kubwa shwaini kabisa nyie nyumbu.