Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Mmmh hawaendi kushtaki kwa Mungu bali wanakwenda KUWAROGA......waroge tu....Nilivyo muelewa siku anaongea mbele ya Kasim nikwamba, kama serikali imeshindwa basi wao Tanga wataenda kushtaki kwa Allah.
Mwigulu yupo.....
Mbarawa yupo....