Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
🤓🤓🤓🤓Ndo mana wanamahaka ya kadhi mahakama ya kidini... na si kila kitu albadir isipokua yale yaliyoshindikana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤓🤓🤓🤓Ndo mana wanamahaka ya kadhi mahakama ya kidini... na si kila kitu albadir isipokua yale yaliyoshindikana
Binafsi yangu, mafisadi kiukweli ni wauwaji wa mamilioni ya watu! Hawastahili waishi, bus kukwepa mtu mtu ili likapate ajali na kuteketeza abiria zaidi ya 60 huko, huo ni upumbavu
Katibu wa Jumuiya ya Wafanyabiashara mkoa wa Tanga,Ismail Masoud amesema kama wananchi wanaumizwa na ubadhirifu wa fedha za umma unaofanyika Serikalini na kuwa watafanya dua ya Albadiri kwa wote waliotajwa kwenye ripoti ya CAG.
Huyu anakuwa mtanzania wa pili kutangaza kufanya maamuzi magumu dhidi ya waliotajwa kwenye ripoti ya CAG ikiwa ni siku chache tangu Mtanzania mwingine Mkulima kuwafikisha Mahakamani Dk. Mwigulu Nchemba, Januari Makamba, Prof. Makame Mbarawa kutokana na kashfa za ubadhirifu wa mali za umma.
Acheni upumbavu nyinyimasheikh kutoka maeneo mbalimbali nchini nasikia watakuwepo